Hawa kweli ni wanangu?

Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada:

Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu.

Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae.

Bahati nzuri akaja kujifungua tar 30/12/2023 watoto mapacha wa kiume.

Basi kwa kiwa nilitaarifiwa mapema nikawa nimeonesha ushirikiano kuanzia gharama za hospital hadi sasa hivi matumizi.

Ila niwe mkweli tangu day one sijawahi kukubali kutoka moyoni kabisa kwamba hawa ni wanangu.

Mashaka ni mengi na sababu za mashaka ni kama zifuatazo:

1. Siku nimekutana nae nilivaa mpira japo ulikuja kuchomoka baadae.

2. Timing yenyewe ya mimba kuingia hadi kujifungua. Mimba iingie tar 16/4 izaliwe tar 30/4?

Kuna mwanamke nilikutana nae tar 1/4/2023 yaani mwezi ule ule tar 1 ila yeye amekuja kujifungua tar 08/01/2024.

Hii inanifanya nazidi kuwa na mashaka na mimba ya huyu wa mapacha.

3. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.

4. Tabia za huyu mwanamke. Alikuwa na wanaume wengi kiasi kwamba kuna watu kadhaa waliikataa hiyo mimba. Hili nilikuja kulijua baadae.

Uzi huu nimeuleta huku kwenye jukwaa la afya nikihitaji hasa msaada wa wataalam mnisaidie kunipigia hesabu ya hiyo mimba.

Inawezekana mimba mimba kuingia na kuzaliwa ndani ya tarehe tajwa hapo juu?

Maana sotw tunajua mimba ni miezi 9 japo inaweza kuwahi au kuchelewa kidogo.

Msaada kwenu wakuu, maana nipo kwenye wakati mgumu sana na nataka kufanya maamuzi maana nadhani nnaelewa hakuna kitu kinauma kama kulea damu isiyo yako.

Natanguliza shukrani.
Energy never lie hiyo nguvu inayokusukuma kuhisi umepigwa hiyo ndio KWELI.
 
Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada:

Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu.

Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae.

Bahati nzuri akaja kujifungua tar 30/12/2023 watoto mapacha wa kiume.

Basi kwa kiwa nilitaarifiwa mapema nikawa nimeonesha ushirikiano kuanzia gharama za hospital hadi sasa hivi matumizi.

Ila niwe mkweli tangu day one sijawahi kukubali kutoka moyoni kabisa kwamba hawa ni wanangu.

Mashaka ni mengi na sababu za mashaka ni kama zifuatazo:

1. Siku nimekutana nae nilivaa mpira japo ulikuja kuchomoka baadae.

2. Timing yenyewe ya mimba kuingia hadi kujifungua. Mimba iingie tar 16/4 izaliwe tar 30/4?

Kuna mwanamke nilikutana nae tar 1/4/2023 yaani mwezi ule ule tar 1 ila yeye amekuja kujifungua tar 08/01/2024.

Hii inanifanya nazidi kuwa na mashaka na mimba ya huyu wa mapacha.

3. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.

4. Tabia za huyu mwanamke. Alikuwa na wanaume wengi kiasi kwamba kuna watu kadhaa waliikataa hiyo mimba. Hili nilikuja kulijua baadae.

Uzi huu nimeuleta huku kwenye jukwaa la afya nikihitaji hasa msaada wa wataalam mnisaidie kunipigia hesabu ya hiyo mimba.

Inawezekana mimba mimba kuingia na kuzaliwa ndani ya tarehe tajwa hapo juu?

Maana sotw tunajua mimba ni miezi 9 japo inaweza kuwahi au kuchelewa kidogo.

Msaada kwenu wakuu, maana nipo kwenye wakati mgumu sana na nataka kufanya maamuzi maana nadhani nnaelewa hakuna kitu kinauma kama kulea damu isiyo yako.

Natanguliza shukrani.
Wewe ni fala,limbukeni,mzinzi na mpumbavu,endelea kulea hao malaika wa Mzinzi mwenzio
 
Mzee kapime DNA, maisha ya sasa yana gharama sana kulea mtoto, sio kama kipindi kile tunazaliwa tunaambiwa kila mtoto na riziki yake, mbaya zaidi kuna nyakati mwanamke atamuambia janaume lenye watoto wake kuwa wale mapacha ni wako ila acha jamaa alee utakuja kuwachukua tu baa, hivi mnawajua wanawake mnawasikia? Au mmesahau jamaa arusha juzi tu ile ajali ya wanafunzi, jamaa anajua anasomesha ni watoto wake mwisho wa siku mtoto kafariki msalaba umeandikwa jina la baba mwingine na msiba ukatengwa kwa huyo baba mwingine?

Jombaa usikubali kulea bao la mwingine utakuja kutoa mlio baadaye.
 
Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada:

Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu.

Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae.

Bahati nzuri akaja kujifungua tar 30/12/2023 watoto mapacha wa kiume.

Basi kwa kiwa nilitaarifiwa mapema nikawa nimeonesha ushirikiano kuanzia gharama za hospital hadi sasa hivi matumizi.

Ila niwe mkweli tangu day one sijawahi kukubali kutoka moyoni kabisa kwamba hawa ni wanangu.

Mashaka ni mengi na sababu za mashaka ni kama zifuatazo:

1. Siku nimekutana nae nilivaa mpira japo ulikuja kuchomoka baadae.

2. Timing yenyewe ya mimba kuingia hadi kujifungua. Mimba iingie tar 16/4 izaliwe tar 30/4?

Kuna mwanamke nilikutana nae tar 1/4/2023 yaani mwezi ule ule tar 1 ila yeye amekuja kujifungua tar 08/01/2024.

Hii inanifanya nazidi kuwa na mashaka na mimba ya huyu wa mapacha.

3. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.

4. Tabia za huyu mwanamke. Alikuwa na wanaume wengi kiasi kwamba kuna watu kadhaa waliikataa hiyo mimba. Hili nilikuja kulijua baadae.

Uzi huu nimeuleta huku kwenye jukwaa la afya nikihitaji hasa msaada wa wataalam mnisaidie kunipigia hesabu ya hiyo mimba.

Inawezekana mimba mimba kuingia na kuzaliwa ndani ya tarehe tajwa hapo juu?

Maana sotw tunajua mimba ni miezi 9 japo inaweza kuwahi au kuchelewa kidogo.

Msaada kwenu wakuu, maana nipo kwenye wakati mgumu sana na nataka kufanya maamuzi maana nadhani nnaelewa hakuna kitu kinauma kama kulea damu isiyo yako.

Natanguliza shukrani.
Walee,amekupa zawadi wachukue

Watakufaa baadae
 
Ilikupunguza ongezeko la machokoraa na vibaka mtaani naomba umlee huyo mtoto tena uache ujinga
Duhhh!
Majibu yako humu ni kama tulikuwa tunavuta wote kwenye vikao!
Tatizo hizi kenge hazihudhurii vikao halafu wanakuja kulialia humu
 
Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada:

Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu.

Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae.

Bahati nzuri akaja kujifungua tar 30/12/2023 watoto mapacha wa kiume.

Basi kwa kiwa nilitaarifiwa mapema nikawa nimeonesha ushirikiano kuanzia gharama za hospital hadi sasa hivi matumizi.

Ila niwe mkweli tangu day one sijawahi kukubali kutoka moyoni kabisa kwamba hawa ni wanangu.

Mashaka ni mengi na sababu za mashaka ni kama zifuatazo:

1. Siku nimekutana nae nilivaa mpira japo ulikuja kuchomoka baadae.

2. Timing yenyewe ya mimba kuingia hadi kujifungua. Mimba iingie tar 16/4 izaliwe tar 30/4?

Kuna mwanamke nilikutana nae tar 1/4/2023 yaani mwezi ule ule tar 1 ila yeye amekuja kujifungua tar 08/01/2024.

Hii inanifanya nazidi kuwa na mashaka na mimba ya huyu wa mapacha.

3. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.

4. Tabia za huyu mwanamke. Alikuwa na wanaume wengi kiasi kwamba kuna watu kadhaa waliikataa hiyo mimba. Hili nilikuja kulijua baadae.

Uzi huu nimeuleta huku kwenye jukwaa la afya nikihitaji hasa msaada wa wataalam mnisaidie kunipigia hesabu ya hiyo mimba.

Inawezekana mimba mimba kuingia na kuzaliwa ndani ya tarehe tajwa hapo juu?

Maana sotw tunajua mimba ni miezi 9 japo inaweza kuwahi au kuchelewa kidogo.

Msaada kwenu wakuu, maana nipo kwenye wakati mgumu sana na nataka kufanya maamuzi maana nadhani nnaelewa hakuna kitu kinauma kama kulea damu isiyo yako.

Natanguliza shukrani.
Jamaa, unatembea na kila mtu?
 
Msaada juu ya kupima DNA tafadhali waungwana
Tafuta Wakili (kama upo Arusha tuwasiliane) yeye ataandika barua ya kuomba kufanya vipimo. Kila sampuli utalipia laki moja pale kwa mkemia hapo una sampuli nne za kupimwa hivyo kuna laki nne ya sampuli. Bado sasa gharama ya Wakili husika hiyo inategemea na namna anavyotoza wateja wake.

NB: Majibu ya DNA sio mali yako bali ni ya Wakili na yeye ndio atawafahamisha yaliyomo. Mkienda siku ya kwanza mtapewa hiyo semina pale ofisi ya Mkemia. Usiwe na wasi wasii na kila la heri.
 
Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada:

Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu.

Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae.

Bahati nzuri akaja kujifungua tar 30/12/2023 watoto mapacha wa kiume.

Basi kwa kiwa nilitaarifiwa mapema nikawa nimeonesha ushirikiano kuanzia gharama za hospital hadi sasa hivi matumizi.

Ila niwe mkweli tangu day one sijawahi kukubali kutoka moyoni kabisa kwamba hawa ni wanangu.

Mashaka ni mengi na sababu za mashaka ni kama zifuatazo:

1. Siku nimekutana nae nilivaa mpira japo ulikuja kuchomoka baadae.

2. Timing yenyewe ya mimba kuingia hadi kujifungua. Mimba iingie tar 16/4 izaliwe tar 30/4?

Kuna mwanamke nilikutana nae tar 1/4/2023 yaani mwezi ule ule tar 1 ila yeye amekuja kujifungua tar 08/01/2024.

Hii inanifanya nazidi kuwa na mashaka na mimba ya huyu wa mapacha.

3. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.

4. Tabia za huyu mwanamke. Alikuwa na wanaume wengi kiasi kwamba kuna watu kadhaa waliikataa hiyo mimba. Hili nilikuja kulijua baadae.

Uzi huu nimeuleta huku kwenye jukwaa la afya nikihitaji hasa msaada wa wataalam mnisaidie kunipigia hesabu ya hiyo mimba.

Inawezekana mimba mimba kuingia na kuzaliwa ndani ya tarehe tajwa hapo juu?

Maana sotw tunajua mimba ni miezi 9 japo inaweza kuwahi au kuchelewa kidogo.

Msaada kwenu wakuu, maana nipo kwenye wakati mgumu sana na nataka kufanya maamuzi maana nadhani nnaelewa hakuna kitu kinauma kama kulea damu isiyo yako.

Natanguliza shukrani.

Ndugu yangu , chukulia useme wa wahenga “ Kitanda hakizai haramu “ watoto ni zawadi , mshukuru Mungu, chukua watoto Mungu amekupa utawafurahia baadaye !
IMG_2276.jpg
 
Habari wakuu? Moja kwa moja kwenye mada:

Kuna mdada nilikutana nae kimapenzi tarehe 16/04/2023, baadae akadai ana mimba yangu.

Mimi kwa kuwa nilikuwa na mashaka na ile mimba nikajipa muda nione siku atakazokuja kujifungua kama zinaendana na siku nilizokutana nae.

Bahati nzuri akaja kujifungua tar 30/12/2023 watoto mapacha wa kiume.

Basi kwa kiwa nilitaarifiwa mapema nikawa nimeonesha ushirikiano kuanzia gharama za hospital hadi sasa hivi matumizi.

Ila niwe mkweli tangu day one sijawahi kukubali kutoka moyoni kabisa kwamba hawa ni wanangu.

Mashaka ni mengi na sababu za mashaka ni kama zifuatazo:

1. Siku nimekutana nae nilivaa mpira japo ulikuja kuchomoka baadae.

2. Timing yenyewe ya mimba kuingia hadi kujifungua. Mimba iingie tar 16/4 izaliwe tar 30/4?

Kuna mwanamke nilikutana nae tar 1/4/2023 yaani mwezi ule ule tar 1 ila yeye amekuja kujifungua tar 08/01/2024.

Hii inanifanya nazidi kuwa na mashaka na mimba ya huyu wa mapacha.

3. Watoto hawanifanani. Ni weupe sana na mimi ni mweusi na mama yao ni mweusi, chain yetu sote haina watu weupe.

4. Tabia za huyu mwanamke. Alikuwa na wanaume wengi kiasi kwamba kuna watu kadhaa waliikataa hiyo mimba. Hili nilikuja kulijua baadae.

Uzi huu nimeuleta huku kwenye jukwaa la afya nikihitaji hasa msaada wa wataalam mnisaidie kunipigia hesabu ya hiyo mimba.

Inawezekana mimba mimba kuingia na kuzaliwa ndani ya tarehe tajwa hapo juu?

Maana sotw tunajua mimba ni miezi 9 japo inaweza kuwahi au kuchelewa kidogo.

Msaada kwenu wakuu, maana nipo kwenye wakati mgumu sana na nataka kufanya maamuzi maana nadhani nnaelewa hakuna kitu kinauma kama kulea damu isiyo yako.

Natanguliza shukrani.
USITUTAFUTIEEE LAANA HAPA JF WENGINE TUNA 50 PLUS KITANDA AKIZAI HARAMU TUNZA UJE KUTUNZWA WA NANI ULIWAHI ULIZA MZAZI KAMA WEWE N WA KWAKE N KWA NEEMA TU HAO WETU SIO WEWEE DUMBWIZOOO LIKO KOTÈ LEA BANA
 
Back
Top Bottom