Kifo cha Nusura: Maswali ya kujiuliza kwenye Ripoti ya Tume ya Uchunguzi

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,212
4,158
1685829918217.png


Ripoti ya THBUB inasema April 27 asubuhi Nusura alisafiri kwa basi la Manning Nice kutoka Dodoma hadi Babati. Kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari kwa basi la Ibra Line hadi Moshi. Lakini taarifa ya VC UDOM (Soma hapa Chuo Kikuu cha Dodoma chatoa taarifa kufuatia kifo cha Nusura) inasema April 27 Nusura alionekana chuoni akiendelea na masomo kama kawaida, pigia mstari neno KUONEKANA. That means alikuwepo na watu wakamuona. Je, inawezekanaje Nusura awe chuoni na safarini kwa wakati mmoja? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

1. Taarifa ya THBUB inasema Nusura alifariki tar. 1 May 2023 lakini taarifa ya UDOM inasema alifariki April 29. Mtu mmoja anawezaje kufa mara mbili? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

2. Taarifa ya THBUB inasema mara ya mwisho Nusura alifanya mawasiliano na rafiki yake anayesoma nae UDOM tar.1 May 2023, lakini taarifa ya UDOM inaeleza alifariki tar.29 April. Mtu aliyefariki anawezaje kufanya mawasiliano kwa simu? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

THBUB imeenda Moshi, Iramba alipozikwa, UDOM na kwa mkemia mkuu wa serikali. Kote huko imewahoji watu mbalimbali. Lakini nadhani management ya UDOM haikuhojiwa vizuri.

Kama THBUB imejiridhisha kuwa Nusura alisafiri tar.27 April kwenda Moshi, ilitakiwa wawaulize UDOM huyo Nusura aliyekua chuoni April 27 akiendelea na masomo ni yupi? Kama UDOM walikosea tarehe waombe radhi na kufuta kauli.

Pia kama THBUB imejiridhisha kuwa Nusura alifariki tar.1 May ilitakiwa wawaulize UDOM huyo Nusura aliyefariki tar.29 April ni yupi? Kama UDOM walikosea tarehe waombe radhi na kufuta kauli. Hii ingesaidia kupunguza doubts.

Lakini taarifa ya THBUB na UDOM kupingana kunaongeza mkanganyiko kuhusu kifo cha huyu binti. Halafu mwisho wa siku mtawalaumu wananchi kwamba wanapotosha, wakati ninyi wenyewe ndio mnawatengenezea mazingira ya upotoshaji kwa kushindwa kujipanga. Plz redo your homework.!

3. Tume inasema Nusura alipanda bus la Manning Nice April 27 hadi Babati, kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari yake kwa Ibra Line hadi Moshi. Lakini hakuna bus la Manning Nice linaloanzia safari asubuhi kutoka Dodoma. Basi hilo huanzia safari Dar kwenda Babati na hupita Dodoma mchana. Hili alilopanda Nusura asubuhi lilitoka wapi?

4. Tume inasema walipeleka matapishi ya Nusura kwa mkemia mkuu wa serikali kujua kama kuna viashiria vya sumu kwenye chakula alichokula. Kumbuka Nusura anadaiwa kutapika akiwa nyumbani kwa Mchumba wake, kabla hajakimbizwa hospitali. Je Mchumba wake aliwezaje kutunza matapishi badala ya kuyafukia? Alijuaje Nusura atakufa na matapishi yake yatahitajika kwa ajili ya vipimo?

5. Nusura alifikia kwa mchumba wake Moshi mjini, lakini eti alipotapika alipelekwa Faraja Dispensary iliyopo Himo. Kwanini hawakumpeleka KCMC, Mawenzi au hospitali kubwa zilizopo Moshi mjini, badala ya kumpeleka Zahanati iliyopo 35Kms nje ya mji?

6. THBUB imeanzishwa chini ya Ibara ya 129(1) ya Katiba ya Jamhuri. Kifungu cha 15 (1) cha Sheria ya haki za binadamu na utawala bora sura ya 391 kimeipa tume mamlaka ya kuanzisha uchunguzi wa malalamiko yanayoashiria uvunjifu wa haki za binadamu. Tume imetumia mamlaka haya ya kisheria kuanzisha uchunguzi wa kifo cha Nusura.

Lakini je kuna matukio mangapi ya uvunjifu wa haki za binadamu Tume haijajishughulisha nayo? Wakati wa Magufuli watu walitekwa na kupotea lakini Tume haikufanya uchunguzi. Maiti ziliokotwa ufukweni kwenye sandarusi lakini Tume ilikaa kimya.

Akina Ben Saanane, Azory Gwanda na wengine walipotea, na mpaka leo hata mifupa yao haijaonekana. Familia zao zina maumivu makali lakini Tume haisikii kilio chao. Lissu na Aquilina walipigwa risasi mchana kweupe, lakini Tume haijafanya uchunguzi wowote.

Sabaya alimkata mtu sikio, akavunja miguu watu wa familia moja na matukio mengine ya kikatili Tume haikutoa tamko. Makonda alivamia Clouds na bunduki Tume ikaufyata. Hata leo bado kuna matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu, lakini Tume haiyaoni. Lakini tukio la Nusura, Tume imejitosa haraka kufanya uchunguzi na kutoa tamko. Je kwanini Nusura na si matukio mengine?

MyTake
Watu walitarajia ripoti ya THBUB ingemaliza mkanganyiko uliokuwepo, lakini ni kama vile mkanganyiko umezidi kuongezeka.

Pia soma:

Credit: Malisa GJ
 
Huyu Nusura kasafiri tarehe 27/4/2023 Asubuhi

Festo Dugange alipata ajali tarehe ngapi na saa ngapi?

Exodus: 23:6-10
Usipotoshe hukumu ya mwenye Haki

Wala Rushwa wamepofushwa macho wasiuone ukweli, Ole wao!
 
Afrika hatujafikia hatua ya uwajibikaji kuwa haki,kama watu wanakwepa kodi na watu wanaua watu na kesi nyingi kibao hazina haki-ndio utagemee kiongozi tena Waziri awajabishwe.
 
Afrika pesa ndio polisi, jaji na mahakama! Ni aibu sana kuzaliwa na kuishi na viongozi weusi wasio na akili.

Binti mzuri kajiendea zake kwa mchumba wake amekufa kiutata inafichwa fichwa wakati ukweli wote upo na unajulikana! kweli nchi za viongozi wajinga ngumu sana kuishi!
 
3. Nusura alifikia kwa mchumba wake Moshi mjini, lakini eti alipotapika alipelekwa Faraja Dispensary iliyopo Himo. Kwanini hawakumpeleka KCMC, Mawenzi au hospitali kubwa zilizopo Moshi mjini, badala ya kumpeleka Zahanati iliyopo 35Kms nje ya mji?​

Credit: Malisa GJ
Hii ni hoja very valid, kwa maoni yangu Tume imetimiza wajibu wake kwenye hili to disconnect kifo hiki na ajali ya Naibu Waziri, lakini kwa maoni yangu, THBUB haina 1. Watu wenye kipaji cha uchunguzi wa ukiukwaji wa haki za binadamu nchini. 2. Haina the ability, the capacity and the capability kuchunguza issues kama ya shambulio la Lissu, kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda and other countless human rights violations kwa sababu ambayo naifahamu lakini siwezi kuitaja kwa kuzingatia kanuni hii Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

Huu udhaifu wa vyombo vyetu vya uchunguzi, nimewahi kuutaja humu WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Pia nimewahi kuuzungumzia mhimili wa Mahakama, Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?

P
 
Kaburi alimozikwa maiti hata kama kwa nje linaoneka ni la thamani, huku likiwa limejengwa kwa gharama kubwa, na kurembwa kwa nakshi na vito vya thamani nyingi, lakini ukweli ni kwamba ndani yake huwa ni maskani ya funza, uozo na harufu mbaya.

1. Tume inasema Nusura alipanda bus la Manning Nice April 27 hadi Babati, kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari yake kwa Ibra Line hadi Moshi. Lakini hakuna bus la Manning Nice linaloanzia safari asubuhi kutoka Dodoma. Basi hilo huanzia safari Dar kwenda Babati na hupita Dodoma mchana. Hili alilopanda Nusura asubuhi lilitoka wapi?

2. Tume inasema walipeleka matapishi ya Nusura kwa mkemia mkuu wa serikali kujua kama kuna viashiria vya sumu kwenye chakula alichokula. Kumbuka Nusura anadaiwa kutapika akiwa nyumbani kwa Mchumba wake, kabla hajakimbizwa hospitali. Je Mchumba wake aliwezaje kutunza matapishi badala ya kuyafukia? Alijuaje Nusura atakufa na matapishi yake yatahitajika kwa ajili ya vipimo?

3. Nusura alifikia kwa mchumba wake Moshi mjini, lakini eti alipotapika alipelekwa Faraja Dispensary iliyopo Himo. Kwanini hawakumpeleka KCMC, Mawenzi au hospitali kubwa zilizopo Moshi mjini, badala ya kumpeleka Zahanati iliyopo 35Kms nje ya mji?

4. THBUB imeanzishwa chini ya Ibara ya 129(1) ya Katiba ya Jamhuri. Kifungu cha 15 (1) cha Sheria ya haki za binadamu na utawala bora sura ya 391 kimeipa tume mamlaka ya kuanzisha uchunguzi wa malalamiko

yanayoashiria uvunjifu wa haki za binadamu. Tume imetumia mamlaka haya ya kisheria kuanzisha uchunguzi wa kifo cha Nusura.

Lakini je kuna matukio mangapi ya uvunjifu wa haki za binadamu Tume haijajishughulisha nayo? Wakati wa Magufuli watu walitekwa na kupotea lakini Tume haikufanya uchunguzi. Maiti ziliokotwa ufukweni kwenye sandarusi lakini Tume ilikaa kimya.

Akina Ben Saanane, Azory Gwanda na wengine walipotea, na mpaka leo hata mifupa yao haijaonekana. Familia zao zina maumivu makali lakini Tume haisikii kilio chao. Lissu na Aquilina walipigwa risasi mchana kweupe, lakini Tume haijafanya uchunguzi wowote.

Sabaya alimkata mtu sikio, akavunja miguu watu wa familia moja na matukio mengine ya kikatili Tume haikutoa tamko. Makonda alivamia Clouds na bunduki Tume ikaufyata. Hata leo bado kuna matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu, lakini Tume haiyaoni. Lakini tukio la Nusura, Tume imejitosa haraka kufanya uchunguzi na kutoa tamko. Je kwanini Nusura na si matukio mengine?

Pia soma: Tume ya Haki za Binadamu yatoa ripoti ya kifo cha Nusura Hassan Abdallah, chasema hakuna uhusiano na ajali ya Waziri Dkt. Festo Dugange

Credit: Malisa GJ
 


Ripoti ya THBUB inasema April 27 asubuhi Nusura alisafiri kwa basi la Manning Nice kutoka Dodoma hadi Babati. Kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari kwa basi la Ibra Line hadi Moshi. Lakini taarifa ya VC UDOM (Soma hapa Chuo Kikuu cha Dodoma chatoa taarifa kufuatia kifo cha Nusura) inasema April 27 Nusura alionekana chuoni akiendelea na masomo kama kawaida, pigia mstari neno KUONEKANA. That means alikuwepo na watu wakamuona. Je, inawezekanaje Nusura awe chuoni na safarini kwa wakati mmoja? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

1. Taarifa ya THBUB inasema Nusura alifariki tar. 1 May 2023 lakini taarifa ya UDOM inasema alifariki April 29. Mtu mmoja anawezaje kufa mara mbili? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

2. Taarifa ya THBUB inasema mara ya mwisho Nusura alifanya mawasiliano na rafiki yake anayesoma nae UDOM tar.1 May 2023, lakini taarifa ya UDOM inaeleza alifariki tar.29 April. Mtu aliyefariki anawezaje kufanya mawasiliano kwa simu? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

THBUB imeenda Moshi, Iramba alipozikwa, UDOM na kwa mkemia mkuu wa serikali. Kote huko imewahoji watu mbalimbali. Lakini nadhani management ya UDOM haikuhojiwa vizuri.

Kama THBUB imejiridhisha kuwa Nusura alisafiri tar.27 April kwenda Moshi, ilitakiwa wawaulize UDOM huyo Nusura aliyekua chuoni April 27 akiendelea na masomo ni yupi? Kama UDOM walikosea tarehe waombe radhi na kufuta kauli.

Pia kama THBUB imejiridhisha kuwa Nusura alifariki tar.1 May ilitakiwa wawaulize UDOM huyo Nusura aliyefariki tar.29 April ni yupi? Kama UDOM walikosea tarehe waombe radhi na kufuta kauli. Hii ingesaidia kupunguza doubts.

Lakini taarifa ya THBUB na UDOM kupingana kunaongeza mkanganyiko kuhusu kifo cha huyu binti. Halafu mwisho wa siku mtawalaumu wananchi kwamba wanapotosha, wakati ninyi wenyewe ndio mnawatengenezea mazingira ya upotoshaji kwa kushindwa kujipanga. Plz redo your homework.!

3. Tume inasema Nusura alipanda bus la Manning Nice April 27 hadi Babati, kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari yake kwa Ibra Line hadi Moshi. Lakini hakuna bus la Manning Nice linaloanzia safari asubuhi kutoka Dodoma. Basi hilo huanzia safari Dar kwenda Babati na hupita Dodoma mchana. Hili alilopanda Nusura asubuhi lilitoka wapi?

4. Tume inasema walipeleka matapishi ya Nusura kwa mkemia mkuu wa serikali kujua kama kuna viashiria vya sumu kwenye chakula alichokula. Kumbuka Nusura anadaiwa kutapika akiwa nyumbani kwa Mchumba wake, kabla hajakimbizwa hospitali. Je Mchumba wake aliwezaje kutunza matapishi badala ya kuyafukia? Alijuaje Nusura atakufa na matapishi yake yatahitajika kwa ajili ya vipimo?

5. Nusura alifikia kwa mchumba wake Moshi mjini, lakini eti alipotapika alipelekwa Faraja Dispensary iliyopo Himo. Kwanini hawakumpeleka KCMC, Mawenzi au hospitali kubwa zilizopo Moshi mjini, badala ya kumpeleka Zahanati iliyopo 35Kms nje ya mji?

6. THBUB imeanzishwa chini ya Ibara ya 129(1) ya Katiba ya Jamhuri. Kifungu cha 15 (1) cha Sheria ya haki za binadamu na utawala bora sura ya 391 kimeipa tume mamlaka ya kuanzisha uchunguzi wa malalamiko yanayoashiria uvunjifu wa haki za binadamu. Tume imetumia mamlaka haya ya kisheria kuanzisha uchunguzi wa kifo cha Nusura.

Lakini je kuna matukio mangapi ya uvunjifu wa haki za binadamu Tume haijajishughulisha nayo? Wakati wa Magufuli watu walitekwa na kupotea lakini Tume haikufanya uchunguzi. Maiti ziliokotwa ufukweni kwenye sandarusi lakini Tume ilikaa kimya.

Akina Ben Saanane, Azory Gwanda na wengine walipotea, na mpaka leo hata mifupa yao haijaonekana. Familia zao zina maumivu makali lakini Tume haisikii kilio chao. Lissu na Aquilina walipigwa risasi mchana kweupe, lakini Tume haijafanya uchunguzi wowote.

Sabaya alimkata mtu sikio, akavunja miguu watu wa familia moja na matukio mengine ya kikatili Tume haikutoa tamko. Makonda alivamia Clouds na bunduki Tume ikaufyata. Hata leo bado kuna matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu, lakini Tume haiyaoni. Lakini tukio la Nusura, Tume imejitosa haraka kufanya uchunguzi na kutoa tamko. Je kwanini Nusura na si matukio mengine?

MyTake
Watu walitarajia ripoti ya THBUB ingemaliza mkanganyiko uliokuwepo, lakini ni kama vile mkanganyiko umezidi kuongezeka.

Pia soma:

Credit: Malisa GJ
Tarehe 27 ni sikuyenye saa 24. Inwezekana kabisa ukahudhuria na ukasafiri kwenda kokote unakotaka hata kabla ya siku haijaisha. Kwa upsnde mwinge upo uwezekano wa wanachuo kuwaripoti wenzao kuwa wako darasani wakati wako safari- hili pia linaweza kueleza huko ALIONEKANA 27. mENGINE YALIYOBAKI NI chuki zako tu
 


Ripoti ya THBUB inasema April 27 asubuhi Nusura alisafiri kwa basi la Manning Nice kutoka Dodoma hadi Babati. Kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari kwa basi la Ibra Line hadi Moshi. Lakini taarifa ya VC UDOM (Soma hapa Chuo Kikuu cha Dodoma chatoa taarifa kufuatia kifo cha Nusura) inasema April 27 Nusura alionekana chuoni akiendelea na masomo kama kawaida, pigia mstari neno KUONEKANA. That means alikuwepo na watu wakamuona. Je, inawezekanaje Nusura awe chuoni na safarini kwa wakati mmoja? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

1. Taarifa ya THBUB inasema Nusura alifariki tar. 1 May 2023 lakini taarifa ya UDOM inasema alifariki April 29. Mtu mmoja anawezaje kufa mara mbili? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

2. Taarifa ya THBUB inasema mara ya mwisho Nusura alifanya mawasiliano na rafiki yake anayesoma nae UDOM tar.1 May 2023, lakini taarifa ya UDOM inaeleza alifariki tar.29 April. Mtu aliyefariki anawezaje kufanya mawasiliano kwa simu? Kati ya THBUB na UDOM kuna mmoja kapotosha. Je ni nani? Na kwa malengo gani?

THBUB imeenda Moshi, Iramba alipozikwa, UDOM na kwa mkemia mkuu wa serikali. Kote huko imewahoji watu mbalimbali. Lakini nadhani management ya UDOM haikuhojiwa vizuri.

Kama THBUB imejiridhisha kuwa Nusura alisafiri tar.27 April kwenda Moshi, ilitakiwa wawaulize UDOM huyo Nusura aliyekua chuoni April 27 akiendelea na masomo ni yupi? Kama UDOM walikosea tarehe waombe radhi na kufuta kauli.

Pia kama THBUB imejiridhisha kuwa Nusura alifariki tar.1 May ilitakiwa wawaulize UDOM huyo Nusura aliyefariki tar.29 April ni yupi? Kama UDOM walikosea tarehe waombe radhi na kufuta kauli. Hii ingesaidia kupunguza doubts.

Lakini taarifa ya THBUB na UDOM kupingana kunaongeza mkanganyiko kuhusu kifo cha huyu binti. Halafu mwisho wa siku mtawalaumu wananchi kwamba wanapotosha, wakati ninyi wenyewe ndio mnawatengenezea mazingira ya upotoshaji kwa kushindwa kujipanga. Plz redo your homework.!

3. Tume inasema Nusura alipanda bus la Manning Nice April 27 hadi Babati, kisha akapanda Coaster hadi Arusha, kabla ya kumalizia safari yake kwa Ibra Line hadi Moshi. Lakini hakuna bus la Manning Nice linaloanzia safari asubuhi kutoka Dodoma. Basi hilo huanzia safari Dar kwenda Babati na hupita Dodoma mchana. Hili alilopanda Nusura asubuhi lilitoka wapi?

4. Tume inasema walipeleka matapishi ya Nusura kwa mkemia mkuu wa serikali kujua kama kuna viashiria vya sumu kwenye chakula alichokula. Kumbuka Nusura anadaiwa kutapika akiwa nyumbani kwa Mchumba wake, kabla hajakimbizwa hospitali. Je Mchumba wake aliwezaje kutunza matapishi badala ya kuyafukia? Alijuaje Nusura atakufa na matapishi yake yatahitajika kwa ajili ya vipimo?

5. Nusura alifikia kwa mchumba wake Moshi mjini, lakini eti alipotapika alipelekwa Faraja Dispensary iliyopo Himo. Kwanini hawakumpeleka KCMC, Mawenzi au hospitali kubwa zilizopo Moshi mjini, badala ya kumpeleka Zahanati iliyopo 35Kms nje ya mji?

6. THBUB imeanzishwa chini ya Ibara ya 129(1) ya Katiba ya Jamhuri. Kifungu cha 15 (1) cha Sheria ya haki za binadamu na utawala bora sura ya 391 kimeipa tume mamlaka ya kuanzisha uchunguzi wa malalamiko yanayoashiria uvunjifu wa haki za binadamu. Tume imetumia mamlaka haya ya kisheria kuanzisha uchunguzi wa kifo cha Nusura.

Lakini je kuna matukio mangapi ya uvunjifu wa haki za binadamu Tume haijajishughulisha nayo? Wakati wa Magufuli watu walitekwa na kupotea lakini Tume haikufanya uchunguzi. Maiti ziliokotwa ufukweni kwenye sandarusi lakini Tume ilikaa kimya.

Akina Ben Saanane, Azory Gwanda na wengine walipotea, na mpaka leo hata mifupa yao haijaonekana. Familia zao zina maumivu makali lakini Tume haisikii kilio chao. Lissu na Aquilina walipigwa risasi mchana kweupe, lakini Tume haijafanya uchunguzi wowote.

Sabaya alimkata mtu sikio, akavunja miguu watu wa familia moja na matukio mengine ya kikatili Tume haikutoa tamko. Makonda alivamia Clouds na bunduki Tume ikaufyata. Hata leo bado kuna matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu, lakini Tume haiyaoni. Lakini tukio la Nusura, Tume imejitosa haraka kufanya uchunguzi na kutoa tamko. Je kwanini Nusura na si matukio mengine?

MyTake
Watu walitarajia ripoti ya THBUB ingemaliza mkanganyiko uliokuwepo, lakini ni kama vile mkanganyiko umezidi kuongezeka.

Pia soma:

Credit: Malisa GJ
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.

Binti alikwenda UDOM kusoma au kusomea?

Ameitia aibu familia yake na ametutia aibu Waislam wote, (either or) .
 
Je Nusura alikuwa diabetic? Her medical history ni vizuri ikajulikana.
 
Back
Top Bottom