Hakuna matengenezo yoyote yaliyofanyika uwanja wa Mkapa

The best 007

JF-Expert Member
Oct 6, 2019
38,142
83,533
Tuliambiwa kuna maboresho makubwa ya uwanja wa Benjamin William Mkapa (BWM) Stadium, lakini kiuhalisia sijaona jipya lolote mpaka jana nilipoenda kuangalia mechi ya wananchi (timu bora Afrika Mashariki na kati kwa sasa).

Uwanja ni mchafu, vyoo vichafu, viti ni vilevile vya kizamani, kwa kifupi hakuna kilichofanyika mpaka sasa licha ya uwanja kufungwa kwa muda mrefu kwa kigezo cha kupisha ukarabati. Watanzania tunauliza shida ni nini? Yani hakuna jipya zaidi ya kuweka vibanda vya benchi la ufundi na screen za matangazo (LED) ambazo pia hazitumiki kwa sasa.

Tulitegemea kuona mpaka sasa sehemu ya kukimbia wanariadha ingekuwa ya blue lkn ni hovyo kabisa, tulitegemea kuona mazingira ya uwanja kuwa safi lakini ni hovyo kabisa, tatizo ni nini? Wakati tulitajiwa mapesa marefu ya ukarabati, je tuhesabu kuwa tumepigwa ama? Naiomba serikali kupitia msemaji mkuu na bodi ya ligi waje na majibu haraka iwezekanavyo mana tunautegemea huu uwanja katika mashindano ya afcon 2027, hii ni aibu.
 
Tuliambiwa kuna maboresho makubwa ya uwanja wa Benjamin William Mkapa (BWM) Stadium, lakini kiuhalisia sijaona jipya lolote mpaka jana nilipoenda kuangalia mechi ya wananchi (timu bora Afrika Mashariki na kati kwa sasa).

Uwanja ni mchafu, vyoo vichafu, viti ni vilevile vya kizamani, kwa kifupi hakuna kilichofanyika mpaka sasa licha ya uwanja kufungwa kwa muda mrefu kwa kigezo cha kupisha ukarabati. Watanzania tunauliza shida ni nini? Yani hakuna jipya zaidi ya kuweka vibanda vya benchi la ufundi na screen za matangazo (LED) ambazo pia hazitumiki kwa sasa.

Tulitegemea kuona mpaka sasa sehemu ya kukimbia wanariadha ingekuwa ya blue lkn ni hovyo kabisa, tulitegemea kuona mazingira ya uwanja kuwa safi lakini ni hovyo kabisa, tatizo ni nini? Wakati tulitajiwa mapesa marefu ya ukarabati, je tuhesabu kuwa tumepigwa ama? Naiomba serikali kupitia msemaji mkuu na bodi ya ligi waje na majibu haraka iwezekanavyo mana tunautegemea huu uwanja katika mashindano ya afcon 2027, hii ni aibu.
Samia kapiga pesa
 
Hakuna Tunaloweza Ndugu.

Uwanja Ulifungiwa Tangu mwaka 2023 july kupisha maandalizi ya AFL.
Arican Footbll league au super cup.

Wanafungia kila siku Lakini hadi leo hakuna jambo lolote lililofganyika.

MAMA ANAUPIGA MWINGI NYOOOK
 
Tuliambiwa kuna maboresho makubwa ya uwanja wa Benjamin William Mkapa (BWM) Stadium, lakini kiuhalisia sijaona jipya lolote mpaka jana nilipoenda kuangalia mechi ya wananchi (timu bora Afrika Mashariki na kati kwa sasa).

Uwanja ni mchafu, vyoo vichafu, viti ni vilevile vya kizamani, kwa kifupi hakuna kilichofanyika mpaka sasa licha ya uwanja kufungwa kwa muda mrefu kwa kigezo cha kupisha ukarabati. Watanzania tunauliza shida ni nini? Yani hakuna jipya zaidi ya kuweka vibanda vya benchi la ufundi na screen za matangazo (LED) ambazo pia hazitumiki kwa sasa.

Tulitegemea kuona mpaka sasa sehemu ya kukimbia wanariadha ingekuwa ya blue lkn ni hovyo kabisa, tulitegemea kuona mazingira ya uwanja kuwa safi lakini ni hovyo kabisa, tatizo ni nini? Wakati tulitajiwa mapesa marefu ya ukarabati, je tuhesabu kuwa tumepigwa ama? Naiomba serikali kupitia msemaji mkuu na bodi ya ligi waje na majibu haraka iwezekanavyo mana tunautegemea huu uwanja katika mashindano ya afcon 2027, hii ni aibu.
Walisema wanabadiri viti vyote🙄
 
Wadanganyika bhna,kwahiyo mkaamini kabisa huo uwanja utafanyiwa marekebisho?
 
Kiukweli tumezidi ujanja ujanja yaani viongozi walitupanga sana lakini hakuna jipya,,,,(walitufanya lunyasi tukahamia polini huko morogoro tukapotelea gerezani)
 
Back
Top Bottom