Black Opal
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 201
- 263
Wakuu kichwa cha habari nadhani kinajieleza vya kutosha.
Hakuna uharibifu wowote nilioupata upande wa vifaa kutoka na "Hitilafu" hii ya umeme lakini dili zangu zinaharibika sababu ya hitilafu hiyo.
Kazi nyingi zinategemea umeme, unapata dili fresh, unapokea advance na kazi inabidi ikamilike ndani siku mbili halafu kama hivi unakatiwa umeme masaa saba sasa, kazi imeharibika, ugali wako ndio unakuwa rehani hivyo.
Je, kwa hali kama hii nawezaje kuwashtaki TANESCO ?
UKizingatia anayetaka kushtaki hana uwezo wa kulipia Mwanasheria, naamini wapo watu wengi mambo yanaharika kama mimi wanaishia kurusha laana za dunia TANESCO wakati tunaweza kudili nao Kisheria.
Wakuu naomba mwongozo wenu.
Hakuna uharibifu wowote nilioupata upande wa vifaa kutoka na "Hitilafu" hii ya umeme lakini dili zangu zinaharibika sababu ya hitilafu hiyo.
Kazi nyingi zinategemea umeme, unapata dili fresh, unapokea advance na kazi inabidi ikamilike ndani siku mbili halafu kama hivi unakatiwa umeme masaa saba sasa, kazi imeharibika, ugali wako ndio unakuwa rehani hivyo.
Je, kwa hali kama hii nawezaje kuwashtaki TANESCO ?
UKizingatia anayetaka kushtaki hana uwezo wa kulipia Mwanasheria, naamini wapo watu wengi mambo yanaharika kama mimi wanaishia kurusha laana za dunia TANESCO wakati tunaweza kudili nao Kisheria.
Wakuu naomba mwongozo wenu.