Tangu Waziri wa Nishati, Januari Makamba alivyoanza ziara yake ya mikoa 14 ya kugawa majiko ya gesi katika Mkoa wa Mara amekuwa akiandikwa ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanchi peke yake
Kama ziara hii ni ya kiserikali na ni ya kiongozi wa kitaifa kwanini magazeti mengine yakiwemo Nipashe, The Guardian, Daily News, Habari Leo, Uhuru, Mzalendo, Raia Mwema na mengineo hayazipi kipaumbele habari hizo kurasa za mbele?
Fuatilia tangu ameanza ziara yake utakubaliana na facts hizi.
Kama ziara hii ni ya kiserikali na ni ya kiongozi wa kitaifa kwanini magazeti mengine yakiwemo Nipashe, The Guardian, Daily News, Habari Leo, Uhuru, Mzalendo, Raia Mwema na mengineo hayazipi kipaumbele habari hizo kurasa za mbele?
Fuatilia tangu ameanza ziara yake utakubaliana na facts hizi.