Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,691
- 12,051
Kupata mali kwa njia ya majini ambao sio wachafu sio haramu, nitasema na nitaendelea kusemawala siogopi. Wapo Majini ambao wanamiliki mali, inategemea pia mali hizo unazitumia wapi. Ukitumia mali hizo kwa njia yaFreemason unaoza upande moja hiyo ni haramu.
Kama unatumia dua mali na riziki zinafunguka, mali inapatikana wale waliokusahau wanakukumbuka, unaletewa mipango ya biashara inakuja, unatiki moja zinakuja kumi, hizo ntafanya mpaka naondoka duniani, siachi sababu simshirikishi Mungu , mimi natafuta riziki za halali
Ingekuwa naiba ingekuwa skendo Sule mwizi lakini nafanya dua. Namfanyia dua mtu ya kwake yanafunguka ananiletea hela, napata mali hiyo kwangu sio shida.