MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,289
- 22,820
Jomba mimi kabla ya kununua kitu chochote lazima nijue vipimo vya package. Yaani kabla Silent Ocean hawajanipa bei tayari ninakuwa na makadirio yangu binafsi. Na mara nyingi huwa wako chini zaidi. Ila nashukuru kwa ushauriSiku nyingine usilipe pesa kubwa kama hiyo kwa agent bila ku verify vipimo mwenyewe.
Mimi walinikadiria 1.8mil nikafunga safari kwenda dsm tukapima na tape measure nikiwa naona kumbe watu wao wa china waliover estimate! Badala ya 1.8mil nikalipa 1.3mil! Nika save laki5 nzima!