treni ya umeme

The Dar es Salaam commuter rail, informally known as Treni ya Mwakyembe ("Train of Mwakyembe"), is an urban and suburban commuter rail network serving the Tanzanian commercial city of Dar es Salaam. It is one of the two initiatives taken by the government to ease travel within the congested city; the other being the Dar es Salaam bus rapid transit system. Services are provided by the Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) and Tanzania Railways Limited (TRL).

View More On Wikipedia.org
  1. Kijakazi

    UK tuliwakaribia (treni ya umeme), wacha tupigwe Vita aisee!

    Kumbe ndo maana tunashambuliwa kila mahali na kila kona, nimecheki Uingereza former english empire only 38% ya railway network yake ndio kuna treni ya umeme au electrified na iliyobakia ni diesel engines hivyo > 50% ya treni za UK ni diesel na nchi ya Ireland ndo kabisaa treni ya umeme ni mji...
  2. K

    Mazuri ya treni ya umeme

    Nimefurahishwa sana na majaribio ya treni ya umeme kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma. Kwa kweli imenifurahisha sana kwa muda uliotumika mpaka Dodoma. Pamoja na hayo ninaona changamoto zilizopo huko mbeleni. Kwa Watanzania kama hatutakuwa maakini treni hii haitadumu kama ilivyoanza. Mwanzo...
  3. TODAYS

    Hii ni Off show au itaendelea kudumu?

    Wale wa kwenye ndege wanabeba mabegi makubwa na hawa wababeba madogo kama haya. Swali hii show itadumu au ni kwa ajili ya kupigia picha.
  4. N

    Maoni yangu kuhusu Treni ya umeme

    Habari wakuu! Mimi kama mzalendo jana nimefuatilia majaribio ya treni ya kisasa kutoka Dar to Morogoro, nilichokibaini ni hiki kama kwenye uzinduzi ambao kulikuwa na viongozi ndani yake imetumia masaa mawili kufika Morogoro, tafsiri yake uwezekano wa kutumia masaa manne kwa mfumo wetu wa...
  5. Stephano Mgendanyi

    Vichwa Vipya 3 vya Treni ya Umeme SGR Vyawasili Nchini

    TRC YAPOKEA VICHWA 3 VYA TRENI YA UMEME SGR KUTOKA KOREA KUSINI Shirika la Reli Tanzania limepokea vichwa vipya vitatu (3) vya treni za umeme vilivyoundwa na kampuni ya Hyundai Rotem na mabehewa mapya 27 ya abiria yaliyoundwa na kampuni ya ‘Sung Shin Rolling Stock Technology’ (SSRST) kutoka...
  6. Tanzania Railways Corp

    Kichwa kipya cha treni ya umeme chawasili

    Kichwa kipya cha treni ya umeme chawasili ==== Pia soma: Danadana za Serikali kwenye kuanza kutumika kwa Treni ya SGR kipande cha Dar - Moro, nini kinaendelea pande hizo?
  7. Roving Journalist

    Maharage Chande: Treni ya umeme itatumia umeme wa TANESCO

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande amesema kuwa usafiri wa Treni ya Umeme unaotarajiwa kuanza Nchini utatumia umeme wa shirika hilo. Amesema hayo alipokuwa akizungumza na Wanahabari Ijumaa ya Desemba 16, 2022, Dar es Salaam ambapo ametoa ufafanuzi huo...
  8. kimsboy

    SGR Dar - Moro imeishia wapi? Au ilikua Sinema ya Kihindi?

    Hiyo SGR haikamiliki tu jamani? Hadi leo ni propaganda tu zimebaki mara 2019 itakua tayari,mara 2020 mwezi wa 5, mara August 2021, mara November 2021, mara january 2021,mara august 2021, mara November 2021 Kinara wa hizo propaganda ni majaliwa Mara mradi umefikia asilimia 98 Haya sinema la...
  9. mshale21

    Meneja Mradi SGR: Treni ya umeme haitatumia umeme huu unaokatika mara kwa mara, inajengewa mtandao wa umeme unaojitegemea

    Meneja Mradi wa Treni ya SGR Mhandisi Machibya Masanja, amesema kuwa Treni ya umeme itakapoanza haitatumia umeme huu wa kawaida unaokatika mara kwa mara, bali inajengewa mtandao wa umeme unaojitegemea. Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 30, 2021, wakati wa mahojiano maalum na East Africa TV, na...
  10. William Mshumbusi

    Mradi wa SGR umeendeshwa vibaya na utalitia Taifa hasara kizazi hadi kizazi

    Mwaka 1970-1974 mchina alijenga reli ya Tazara ya kisasa kwa wakati huo na watanzania waliaminishwa makubwa Sana juu ya faida ya mradi husika. Miaka 25 tu baada ya mradi kukamilika reli ikachoka, ikakosa wateja, usimamizi mbovu. Zile hadithi na simulizi tamu za manufaa ya mradi huo...
Back
Top Bottom