Search results

  1. N

    SoC04 Uhakika na Usalama wa Chakula nchini Tanzania

    Yes Jiko Kemia, nashukuru ndugu yangu
  2. N

    SoC04 Uhakika na Usalama wa Chakula nchini Tanzania

    Utangulizi Nazi, Pilipili, Karafuu, Iliki, Uji Lishe, Maziwa, Kisamvu, Mihogo, Mahindi, Mchele, Samaki Wakubwa, Visamaki Vidogo (dagaa na uono), Asali, Sukari, Kuku wa Asili, Nyama ya Ng'ombe Mbuzi na Kondoo, Mayai, Matembele, Mchicha, Machungwa, Mananasi, Maboga, Mboga ya Maboga, Maembe...
  3. N

    SoC04 Harakati ya Kuwawezesha Watoto na Familia za Mitaani

    Utangulizi Wapo watoto wa mitaani lakini pia zipo familia za mitaani. Hizi ni familia zilizokumbwa na majanga asilia kama vile mafuriko, matetemeko ya ardhi, njaa, ukame, umaskini, magonjwa, vimbunga, na kadhalika lakini pia zilizokumbwa na majanga ya kibinadamu kama vile migogoro binafsi na ya...
  4. N

    SoC04 Wageni ni Tunu kwa Taifa

    Karibu sana ndugu yangu
  5. N

    SoC04 Uwekezaji katika nyumba janja za wageni

    Utangulizi Nchini Tanzania, tumekuwa na nyumba nyingi sana za kupokea wageni; nyumba za kitalii, nyumba za kawaida na hata nyumba za asili kwa ajili ya kuwapa huduma mbalimbali wageni wetu mara tu wawasilipo nchini. Nyumba hizi za wageni zimekuwa zikijengwa zaidi katika Majiji ya Dar es Salaam...
  6. N

    SoC04 Wageni ni Tunu kwa Taifa

    Utangulizi Kila mwananchi wa taifa fulani, hupenda kuona taifa lake likiwa kinara kwenye uchumi. Hii ni kwasababu, mafanikio ya taifa lolote duniani huanzia kwenye uimara wa uchumi kwanza, kwani hakuna chochote katika dunia hii unaweza kufanya bila uchumi imara, bila fedha, bila mtaji wa...
  7. N

    SoC04 Uwekezaji wa viwanda vya uzalishaji na utengenezaji simu ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania

    (Chanzo Picha: Global TV) https://youtu.be/o9Mq7PYUjT0?si=dqGLkbmKdalgzyWQ
  8. N

    SoC04 Uwekezaji wa viwanda vya uzalishaji na utengenezaji simu ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania

    Kwa faida ya msomaji wangu, kutokana na andiko hili kuhusu Simu, ipo mada na maswali ambayo yameibuka kupitia andiko hili la VIWANDA VYA SIMU. Mada hii ni mada inayoitwa Semiconductor Industry ambayo kwa mujibu wa andiko letu, inaingia kwenye kundi la viwanda vya hatua ya mwanzo kabisa la mobile...
  9. N

    SoC04 Uwekezaji wa viwanda vya uzalishaji na utengenezaji simu ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania

    Nashukuru sana kwa kuchangia andiko hili na karibu sana ndugu yangu. Kwanza kabisa nadhani semiconductor uliyoimaanisha wewe wanaita "Brains of Modern Electronics" yaani maana yake ndiyo injini yenyewe. Katika andiko hili, ukisoma kile kipengele cha aina za viwanda, kiwanda cha mwanzoni kabisa...
  10. N

    SoC04 Uwekezaji wa viwanda vya uzalishaji na utengenezaji simu ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania

    Hakika, kutokujifunza kwa aliyefanikiwa na kutochukua hatua za mafanikio; matokeo yake ni kuwa funza au chawa kwa huyohuyo aliyefanikiwa.
  11. N

    SoC04 Uwekezaji wa viwanda vya uzalishaji na utengenezaji simu ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania

    Hapana, tunaweza kuanzisha, kutekeleza na kuendeleza aina zote tatu za viwanda vya simu nilivyoviorodhesha, haijalishi raw materials and resources zinatoka wapi, kikubwa ni hapahapa duniani; TUNAWEZA!!!
  12. N

    SoC04 Uwekezaji wa viwanda vya uzalishaji na utengenezaji simu ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania

    Asante sana ndugu yangu kwa kuendelea kutoa maoni yako katika uzi au andiko hili. Kwa namna ambavyo nimewaorodhesha Wajapan, Wamarekani, Wachina, Wakorea, Wajerumani, Wafini, n.k, nimemaanisha tujifunze kutoka kwao na si kushindana nao. Lengo si kushindana nao, bali lengo ni kujifunza kutoka...
  13. N

    SoC04 Uwekezaji wa viwanda vya uzalishaji na utengenezaji simu ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania

    Utangulizi Zipo teknolojia nyingi sana ambazo ni kama zimetupita barani Afrika hususan nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ikiwemo Taifa la Tanzania. Katika teknolojia hizi zilizotupita kidogo, ipo teknolojia ya kifaa cha ajabu ambayo hatupaswi tuendelee kuiacha itupite, na kifaa hiki si...
  14. N

    SoC04 Akufaaye kwa Dhiki ndiye Rafiki

    Karibuni na asanteni nyote mnaoendelea kunipigia kura, kushukuru na kuwasilisha maoni yenu katika andiko hili.
  15. N

    SoC04 Akufaaye kwa Dhiki ndiye Rafiki

    Asante sana ndugu yangu kwa maoni na mawazo haya mazuri. Najua umepitia shairi langu mwanzo mpaka mwisho; Kuna sehemu nimeandika: "Chakula cha Kiswahili tukipeleke Durban." sijasema chakula cha Kizulu kiletwe Dar es Salaam. Hii maana yake ni kwamba, kwenye urafiki maalum 'Special Relationship'...
Back
Top Bottom