Search results

  1. K

    Bei ya mahindi Handeni zinashangaza

    Hifazi mkuu,njaa Haina baunsa yakipanda hata laki watu tutanunua!
  2. K

    Application za kutoa mikopo wanapata wapi haki ya kuingilia faragha kwenye simu ya mteja na kuhack majina?

    Ukichelewesha kuwalipa Wanasema,wewe ni tapeli subiria tukukamate ukakumbane na mahakama !
  3. K

    Application za kutoa mikopo wanapata wapi haki ya kuingilia faragha kwenye simu ya mteja na kuhack majina?

    Pole mkuu,Mimi waliniita tapeli na kuwapigia jamaa zangu na kunitisha wananifuata na kunipeleka mahakamani, Sasa nilitaka kuwalipa, namsubiria hiyo mahakama Yao
  4. K

    Ulishawahi kuishi Maisha ya Kuungaungu Baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Nilikuwa nikubahatisha kula usiku,natamani asubuhi isifike niwe na shida hiyohiyo!Maisha haya we acha tuu
  5. K

    Baada ya Punda kujaa matundu ya Risasi Wananchi wataka kumnunulia Tundu Lisu " Mwanapunda" wa kuingia naye Yerusalem!

    Sabato ni nzuri sana, Sabato ya Bwana ni nzuri sana,moyo wangu wanivuta nije kwako Leo!
  6. K

    Ajali daraja la Nsesi linalounganisha kata za Katumba Songwe na Ngonga wilayani Kyela, leo Mei 9, 2023

    Pia barabara ya Mwakaleli -Katumba mbovu sana kwa Sasa,huko kuna kilimo Cha chai,magimbi,viazi mviringo nk.
  7. K

    Breakfast yako kuu kwa sasa ni ipi?

    Mimi chochote kilichopo mbele yangu hata kipolo Cha ugali!
Back
Top Bottom