Search results

  1. steveachi

    Haya sasa, watumiaji wa iPhone mnaojisikia, someni hii

    Tafiti: Watu wanaopendelea simu za iPhone ni wanawake wasio na wapenzi kati ya umri wa miaka 18-34 ambao mapato yao ni chini na huwa na elimu ya kiwango cha chini ikilinganishwa na watumiaji wa aina nyingine za simu. Chanzo: teknokona #Fahamuzaidi Wakuu, nimeitoa huko utwitani, je kuna ukweli...
  2. steveachi

    Kazi kazi kazi kaziiiiiiiiiiiiii

    Tangazo lenyewe linajieleza,kazi kwenu wenye sifaaaa
  3. steveachi

    Naomba msaada kuhusu uaminifu wa kampuni ya magari kutoka Japan ya Tradecarview

    Wakuu habari za mida hii. Niende moja kwa moja kwenye hoja,kuna jamaa wangu wa karibu sana anataka kuagizia gari Japan kupitia kampuni tajwa hapo juu. Katika kuwasiliana nao wakamtumia invoice isiyo na component ya insurance,yaani badala ya CIF wametumia C&F. Akawauliza endapo meli itadumbukia...
  4. steveachi

    Msaada wa haraka tafadhali kwa kampuni ya kuuza magari ya tradecarview ya Japani

    Wakuu habari za mida hii. Niende moja kwa moja kwenye hoja,kuna jamaa wangu wa karibu sana anataka kuagizia gari Japan kupitia kampuni tajwa hapo juu. Katika kuwasiliana nao wakamtumia invoice isiyo na component ya insurance,yaani badala ya CIF wametumia C&F. Akawauliza endapo meli itadumbukia...
  5. steveachi

    Wanaume wengi wa JF mnatia aibu sana, mnajivua utu wenu mno

    Majuma machache yaliyopita kuliibuka mijadala mikali sana ya kumdhalilisha mwanaume mwenzetu maarufu sana kwenye tasnia ya burudani hapa nchini kwetu Tanzania jina lake nalihifadhi kwa picha iliyorushwa na mwanamke mmoja mjinga jinga mno, mwenye husda za kipuuzi kwa waliofanikiwa zaidi yake...
  6. steveachi

    Car4Sale Kwa wauzaji wa spea za magari nauza vifaa vifuatavyo vya gari

    -Injini ya vitz old model-Tshs.600,000/ = -Milango minne 'complete' pamoja na power windows zake ukiwamo na wa boot na kasoro wa dereva- Tshs.600,000/= -Gearbox-Tshs.200,000/= -Controlbox-Tshs.100,000/= -Regeator-Tshs.100,000/= -Bodi kama screpa natoa bureeeee ukilipia hivyo vitu...
  7. steveachi

    Kwa wauzaji wa spea za magari, nauza vifaa vifuatavyo vya gari

    -Injini ya vitz old model-Tshs.600,000/ = -Milango minne 'complete' pamoja na power windows zake ukiwamo na wa boot na kasoro wa dereva- Tshs.600,000/= -Gearbox-Tshs.200,000/= -Controlbox-Tshs.100,000/= -Regeator-Tshs.100,000/= -Bodi kama screpa natoa bureeeee ukilipia hivyo vitu...
  8. steveachi

    Kwa wauza spea za magari nauza vifaa vifuatavyo vya gari kwa bei poa sana

    - Injini ya vitz old model-Tshs.600,000/= - Milango minne 'complete' pamoja na power windows zake ukiwamo na wa boot na kasoro wa dereva-Tshs.600,000/= - Gearbox-Tshs.200,000/= - Controlbox-Tshs.100,000/= - Regeator-Tshs.100,000/= - Bodi kama screpa natoa bureeeee ukilipia hivyo vitu...
  9. steveachi

    Fundi mahiri wa kunyoosha magari anatafutwa

    Wakuu,nina kavitz changu Old model kilipata ajali mwaka jana na kimekaa juu ya mawe miezi kama 7 hvi bila kuguswa baada ya kuumizwa na hiki kitoroli. Naomba kama kuna fundi magari wa ukweli atakayeweza kuitengeneza gari hii na awe mkweli kama gari itapona au niiuze kama sckrepa kama...
  10. steveachi

    Cheap used toyota harrier(lexus) for sale

    PRICE TZS 22,000,000 Location: Dar Es Salaam ABOUT 1998 TOYOTA HARRIER Negotiable: Yesssss Vehicle Type: SUV & 4WD Kilometers: 79,150 Transmission: Automatic Four Wheel Drive: No Vehicle Current Location: Available For Import Import Duty is Paid: No Options:A/C , Airbag , Alloy...
  11. steveachi

    Hii nchi kweli ni kichwa cha mwendawazimu

    Yaani dah, leo katika pitia pitia yangu ya mitandaoni DOLA ya Kimarekani imerudi vile vile kama wiki 2,3 za nyuma,sasa hivi kwa mujibu wa chanzo cha ZOOMTANZANIA ni 1$=Tshs.2265.8, hii ni selling price Hivi tunaelekea wapi jamani wakati jana tu ilikuwa ni 1$=Tshs.2060 na leo ndio ngoma imeshoot...
  12. steveachi

    Dola yapanda tena, Hii nchi kweli ni kichwa cha mwendawazimu

    Yaani daaaaaaaaah,leo katika pitia pitia yangu ya mitandaoni dola ya Kimarekani imerudi vile vile kama wiki 2,3 za nyuma, sasa hivi kwa mujibu wa chanzo cha ZOOMTANZANIA ni 1$=Tshs.2265.8, hii ni selling price. Hivi tunaelekea wapi jamani wakati jana tu ilikuwa ni 1$=Tshs.2060 na leo ndio ngoma...
  13. steveachi

    Deference between a girl and a women

    1. A girl knows how to demand. A woman knows how to contribute. 2. Girls complain too often. A woman will observe for a while, and then call her man's attention to the matter arising. 3. Girls can spend 5k on ice cream. A woman can manage 5k to cook for a week. 4. A girl will wanna keep up with...
  14. steveachi

    TCU, mbona voucher number zinagoma kuingia?

    Jamani! Juzi kati nimelipia ada ya kudailiwa ya Shilingi elfu 50 kupitia tigo pesa na nikatumiwa Voucher Number ya kuiingiza kwenye CAS na kuendelea na mchakato wa Usajili. Sitaweka screen shot ya hiyo message yao kwa kuwa kuna wezi watanipiga bao hapa,mjini wasanii ni wengi. Cha ajabu sasa...
  15. steveachi

    Kifurushi cha Nyota cha Startimes

    Habari wakuu, Mimi ni mtumiaji wa hiki king'amuzi cha Startimes. Kuna hiki kifurushi kipya kilichoingia sokoni hivi karibuni kinachoitwa 'Nyota', Kiukweli kifurushi hiki kimejali hali ya mtu wachini kabisa kwani bei yake ni poa ni Tshs.4,000/= tu kwa mwezi. Nawapa pongezi Startimes kwa...
  16. steveachi

    Naelekea Dar kwenye interview ya NSSF natokea Kigoma, maombi yenu wana JF tafadhalini

    Heshima kwenu wakuu, Ajira ni ngumu kinyama,maisha ni magumu hatari,nauli tu ni shidaa wakuu,hapa mzee mzima ndo nipo kwenye lift ya gari moja hivi private la msamaria mwema mmoja linatokea Kigoma nakotokea mimi na linaishia Manyoni. Nikifika Manyoni naongea na madereva wa malori nao...
  17. steveachi

    Msaada: Mgeni Mwanza

    Wakuu salam, Mimi mwenzenu natarajia kwenda Mwanza kwenye workshop fulani hivi kwa siku kadhaa katikati ya mwezi huu. Sasa nipeni ramani basi, nitakuwa Town, na sijawahi kufika kabisa huko.Naombeni mnitajie Logde za bei nafuu za standard ya kati ili nisevu kidogo angalau nirudi na kazawadi cha...
  18. steveachi

    whatsAPP

    Wakuu eeh,mi nina shida moja kubwa,whatsapp yng kila baada ya mwezi mmoja inaexpire,so inanibidi niidownload upya,kitendo hki huwa kinanikera sana wakuu,naombeni msaada kama kuna uwezekano nidownload whatsapp ambayo haitahitaji update za mara kwa mara
  19. steveachi

    NHIF wametoa majina

    Haya sasa kwa wale tulioapply majibu yamekuja wakuu,wameweka majina ya waliowaita ktk gazeti la mwananchi la leo,ni mengi mno,wengine tumeangukia pua,kila ka kheri mlioitwa
  20. steveachi

    Ipi inauzika sokoni kati ya toyota vitz na will cypha?????

    Pitieni hizi link kidogo wakuu,picha zimegoma kuwa uploaded http://image-cdn.beforward.jp/large/201403/234660/BF238307_e4d054.jpg http://image-cdn.beforward.jp/large/201403/219891/BF223734_68fd29.jpg Nimeshindwa kuweka picha vizuri wakuu.nimekukuruka weeee wapi,sasa nauliza hiviii kati ya hzo...
Back
Top Bottom