Search results

  1. SteveMollel

    Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

    Kabla ya kuendelea, turejelee kauli aliyoitoa Colonel Lionel Dyck, mkurugenzi wa jeshi binafsi la DAG ambaye mkataba wake wa kutoa msaada wa anga pale Msumbiji ulitamatika tarehe 6, April 2021. Alipohojiwa, alisema kauli hii; "Mungu, wasaidie watu wale." Akimaanisha watu wa Msumbiji...
  2. SteveMollel

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ ๐š๐ข๐๐ข ๐ฒ๐š ๐€๐ง๐ฌ๐š๐ซ ๐š๐ฅ-๐ฌ๐ฎ๐ง๐ง๐š. - ๐๐ฃ๐ข๐š ๐ฒ๐š ๐Š๐ข๐›๐ข๐ญ๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฅ๐š๐š๐ง๐š ๐ฒ๐š ๐‚๐š๐›๐จ ๐ƒ๐ž๐ฅ๐ ๐š๐๐จ. - ๐–๐š๐ญ๐ฎ ๐ฐ๐š๐ง๐š๐จ๐ค๐จ๐ญ๐š ๐ฆ๐ข๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐œ๐ก๐ฐ๐š ๐ฏ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ฉ๐ž๐ฆ๐›๐ž๐ง๐ข. ๐’๐„๐‡๐„๐Œ๐” ๐˜๐€ ๐Ÿฌ๐Ÿญ: Tarehe 20 mwezi huu wa tano, waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga taifa, Dkt. Stergomena Tax analiambia bunge kuwa hali ya usalama katika...
  3. SteveMollel

    ๐Œ๐จ๐ฏ๐ข๐ž๐ฌ ๐ฆ๐›๐ข๐ฅ๐ข ๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐š๐ณ๐š๐ฆ๐š ๐ฐ๐ž๐ž๐ค๐ž๐ง๐ ๐ก๐ข๐ข

    ๐๐”๐‘๐ˆ๐„๐ƒ ๐๐š๐ฎ๐ฅ ๐‚๐จ๐ง๐ซ๐จ๐ฒ ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฆ๐š๐ซ๐ž๐ค๐š๐ง๐ข ๐š๐ง๐š๐ฒ๐ž๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ณ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฎ๐๐ž๐ซ๐ž๐ฏ๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ค๐š๐ฆ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฆ๐š๐ซ๐ž๐ค๐š๐ง๐ข (๐‚๐ซ๐ž๐ฌ๐ญ๐จ๐ง ๐‘๐จ๐ฐ๐ฅ๐š๐ง๐ & ๐“๐ก๐จ๐ฆ๐š๐ฌ) ๐ฒ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฆ๐š๐ฌ๐ค๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ก๐ฎ๐ค๐จ ๐ง๐œ๐ก๐ข๐ง๐ข ๐ˆ๐ซ๐š๐ช. ๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐š๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฆ๐š๐ฃ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ฐ๐š๐ข๐๐š, ๐ง๐๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ ๐š๐ซ๐ข ๐ฅ๐š ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฆ๐ฌ๐š๐Ÿ๐š๐ซ๐š ๐ฐ๐š ๐ญ๐ซ๐ฎ๐œ๐ค๐ฌ, ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฌ๐ก๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ ๐š๐ข๐๐ข. ๐Œ๐š๐๐ž๐ซ๐ž๐ฏ๐š ๐ค๐š๐๐ก๐š๐š...
  4. SteveMollel

    Movies mbili zenye visa vitamu

    BEFORE I GO TO SLEEP. Christine anapoamka asubuhi, anashangaa yupo mahali asipopafahamu na pembeni yake amelala mwanaume asiyemjua. Anajaribu kuvuta picha lakini hamna kinachokuja kichwani. Anaenda bafuni, humo anakutana na picha kadhaa ukutani, picha akiwa pamoja na bwana yule alomwacha...
  5. SteveMollel

    Movies tano kali ambazo bado hujazitazama.

    Itsa WEEKEND. Tuanze nayo hivi basi ... 1BR Sarah anatafuta makazi mapya hapa jijini Los Angeles lakini kazi hii inakuwa ngumu sana. Kwanini? Pesa ndogo. Akipata panapofaa, basi kodi ni kubwa, na akipata pa mfuko wake, basi ni pabaya ama kupo mbali na kazi. Yani alimradi tabu. Lakini...
  6. SteveMollel

    BLUMHOUSE - wakali wa movies za kutisha duniani

    Ukiona hii chapa, basi ujue humo ndani sio drama, mapenzi wala vita. Hawa jamaa hawana mambo hayo. Hawa wameletwa duniani kwa kazi moja tu, kuwafurahisha wapenzi wa 'horror' na sie tunawashukuru mno kwa hili. Hizi hapa ni baadhi ya kazi zao, ukipata muda basi jikonge na roho yako. 1. HAPPY...
  7. SteveMollel

    Unazikumbuka hizi movies? Ulikuwa wapi?

    1. BABY'S DAY OUT Mabwana watatu wanaojifanya wapiga picha wanamteka mtoto mdogo wa miezi tisa toka familia ya kitajiri kwa lengo la kutengeneza pesa ya maana kutoka kwa wazazi wake. Bahati mbaya mtoto anakuja kuwatoroka na kuzamia ndani ya jiji la Chicago. Sasa mabwana hawa watatu wanabakiwa...
  8. SteveMollel

    Part Two: Movies za kutazama na mpenzi wako. Usitazame na watoto

    Usije sema hukuambiwa. Kama kawaida huku ni nyama nyingi, ugali kidogo. 1. SECRETARY Baada ya kutoka hospitali ya magonjwa ya akili kwasababu ya tabia ya kujidhuru mwenyewe, sasa bibie Lee anataka kuyaishi maisha kama mtu wa kawaida. Anautafuta ujuzi wa uchapaji (typing) kisha anaomba kazi ya...
  9. SteveMollel

    Filamu hizi tazama na mpenzi wako, usitazame na watoto

    Usiseme hukuambiwa. Huku ugali mdogo, nyama nyingi. Story kiduchu, shughuli ya kutosha. Jikaze mwanetu. 1. NYMPHOMANIAC Bwana Seligman, mwanaume wa makamo anayeishi peke yakez anakutana na mwanamke aliyejilaza njiani akiwa hoi kwa kipigo. Mwanamke huyu anaitwa Joe na story yake hamna...
  10. SteveMollel

    Mkasa wa treni ya usiku wa manane na mauaji ya watu wanaoipanda

    Huu ni mkasa unaoenda mwanzo mpaka mwisho wake. Enjoy. Leon ana talanta ya kupiga picha lakini bado haijamlipa kama vile yeye anavyotamani. Anaamini anastahili kupata zaidi na zaidi na jambo hili linamfanya akose kabisa furaha. Siku moja mpenzi wake (Maya) anampasha habari kuhusu bi. Susan...
  11. SteveMollel

    Sio kila mimba isiyo na baba basi ni kwa uwezo wa roho mtakatifu.

    Baada ya kuponea maisha kwa kuzama ndani ya ziwa la barafu, kipindi akiwa msichana mdogo, Cecilia alikata shauri la kumtumikia Mungu kwa kipindi chake chote alichobakiza duniani. Kwahiyo anapofikia umri, anajiunga na 'convent' ya hapa Italia ili apate kuwa sister kwa kiapo na matendo. Hivyo...
  12. SteveMollel

    Kisa cha Afisa mikopo na laana alopewa na mteja

    Anachotaka Christine ni kupanda cheo hapa benki toka kuwa afisa mikopo mpaka kuwa meneja wa tawi. Anaamini akikaa hapo, wazazi matajiri wa 'boyfriend' wake watamheshimu na kumwona anafaa kuolewa na mtoto wao. Lakini sasa shida ni moja, mfanyakazi mwenzake anayeitwa Stu. Bwana huyu naye...
  13. SteveMollel

    Kisa cha mwili usojulikana ni wa nani. Hauna jino moja wala kovu lolote

    Baada ya kutokea kwa mauaji ya watu kadhaa, polisi wanafika eneo la tukio kwa lengo la kufanya uchunguzi. Katika eneo hilo wanakutana na miili isiyopungua mitatu, yote imelala mfu, wanaikagua na kujiridhisha. Wanaupata mwili mwingine ndani ya 'basement', mwili wa msichana mzungu, makadirio ya...
  14. SteveMollel

    Filamu: Mwili wa mwanamke aliyekufa kwa sumu, umepotea Mochwari

    Utafanya nini kama umefiwa, umeupeleka mwili wa mpendwa wako kuhifadhiwa alafu unapigiwa simu kwamba mwili hauonekani? Umepotea? Haujulikani ulipo? Tafuta popcorn, ambaa na kisa hiki.. Baada ya kutokea ajali, mlinzi wa hospitali akigongwa na gari mita kadhaa kutoka eneo lake la kazi, inspekta...
  15. SteveMollel

    Kisa cha maiti ya Anna Fritz na vifo vya wanaume waliombaka

    Wakati wewe ukienda kuhani msiba unaogopa hata kuaga maiti kwa kuitazama au basi ukiaga unaanza kutusumbua wiki nzima kwamba marehemu anakutokea kwenye kona, basi jua kwa hawa mabwana hali ni tofauti. Kila mnyonge na mnyonge wake. Wao hawakuishia kuiona maiti, bali waliisasambua kabisa mpaka...
  16. SteveMollel

    Adaiwa kumuua mpenzi wake kwenye makazi ya askari Kunduchi kisa wivu wa mapenzi

    Kota za polisi, Kunduchi. Majira ya saa nane mchana leo hii.. Wakati mambo mengine yakiwa yanaendelea kama kawaida, watu walisikia kelele na purukushani kutoka kwenye ghorofa ya juu kabisa katika jengo la block G, chumba namba 30. Kelele hizo hazikuwa za sherehe, ni mwanaume alikuwa anang'aka...
  17. SteveMollel

    Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu

    Na hiki ni kisa kama nilivyosimuliwa na Magreth Haule, mwanamke aliyewahi kuhudumia shule moja ya msingi (English Medium) kata ya Mbezi Juu, Dar es salaam...
  18. SteveMollel

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Jirani Yangu wa kule Goba Hakuwa Mtu wa Kawaida. Sasa ni miaka miwili imepita, nimehamia na ninaishi kwengine, lakini yale ya kule Goba nayakumbuka vema kana kwamba yametokea jana yake, na huenda mambo hayo nikayakumbuka hata na milele maana ni moja ya visa ambavyo vilinishangaza sana. Mwaka...
  19. SteveMollel

    Tukibaki Hai, Tutasimulia

    Ni muda mrefu sana kwenye hizi anga za simulizi, sasa hatimaye nimerejea na hadithi hii. Kwa wale wageni, waweza tazama hizi ... ni kazi ya mikono yangu ... https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1331844/ https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1220493/...
  20. SteveMollel

    Jifungie zako ndani, tazama filamu hizi

    It's been a damn long time kiunga hiki, hope mko poa nyote, karibuni tena uwanjani hapa tupendekezeane filamu nzuri za kutazama katika kipindi hiki cha weekend, na hivi mvua inanyesha ukikaa zako ndani unafurahia muda wako to the maximum! Tazama hapa .... 1. THE 8th NIGHT Miaka alfu mbili...
Back
Top Bottom