Search results

  1. M

    Yupo wapi mchezaji wa Singida FG Thomas Ulimwengu?

    Huyu ni mmojawapo wa wachezaji waliosajiliwa kwa mbwembwe kipindi cha dirisha kuu la usajili msimu huu. Cha kushangaza alicheza mechi zisizozidi mbili za mashindano. Tangu mwezi Septemba 2023 hajaonekana tena akichezea Singida Fountain Gate/Singida Big Stars. Je sababu ni ipi? majeruhi, mkataba...
  2. M

    Siasa ni mfumo wa maisha, hakuna namna mtanzania ataacha kujihusisha na siasa.Tuwaache waongee,wakosoe. Uzalendo na maslahi ya taifa yazingatiwe

    Wanabodi Nianze kwa kuchukua tafsiri ya neno Siasa kutoka Wikipedia Dictionary Politics (from Ancient Greek πολιτικά (politiká) is the set of activities that are associated with making decisions in groups, or other forms of power relations among individuals, such as the distribution of...
  3. M

    TBC radio matangazo ya kombe la dunia mnatangaza moja kwa moja kutoka Qatar au mnatangaza kutokea Dar kwa hisani ya runinga?

    Maswali ya kujiuliza -Mtangazaji yuleyule mmoja siku zote ila wachambuzi tofauti ...Je hao wachambuzi nao wamesafiri hadi Qatar? -Mechi zinachezwa kwenye viwanja na miji tofauti tofauti....inawezekanaje mtangazaji huyohuyo kutangaza mechi zote kwa siku -Wachambuzi kuchambua matukio kama penati...
  4. M

    Kauli ya Manara kwamba wanaoshiriki Kombe la Shirikisho CAF ni "Losers" itaendelea au ataifuta kesho?

    Msimu uliopita Simba ilipotolewa kwenye CAF Champions League na hatimaye kuishia robo fainali Kombe la CAF Shirikisho aliyekua msemaji wa Yanga Haji Manara aliwaponda Simba kuwa wanacheza kombe la "Losers" na kwamba mabingwa wote wapo CAF Champions League. Ikumbukwe wakati anatoa kauli hiyo...
  5. M

    Hongereni vyombo vya habari kipindi cha maombolezo

    Ikiwa leo ndio siku ya mwisho ya MAOMBOLEZO ya kitaifa kwa Hayati Rais Magufuli nitoe kongole kwa VYOMBO vyetu vya habari hususani vituo vya radio na televisheni kwa weledi wa hali ya juu hasa kwenye mpangilio wa vipindi(content) pamoja na nyimbo za MAOMBOLEZO. Kwa hakika mmedhihirisha ule...
  6. M

    Gazeti la Mwananchi mbona halifanyi uchambuzi wa wagombea Urais

    Uchaguzi mkuu uliopita gazeti la Mwananchi kupitia kwa mwandishi wa makala wa kujitegemea Julius Mtatiro lilikua likifanya uchambuzi wa Wagombea pamoja na watarajiwa wa kugombea nafasi ya urais kutoka vyama mbalimbali. Ilikua ni kama series ya magazeti kutoka na makala ya mhusika mmojawapo...
  7. M

    Uchaguzi 2020 Hongereni timu za kampeni Uchaguzi wa mwaka 2020 kwa kutupilia mbali siasa za majitaka

    Mpaka sasa sijasikia siasa za majitaka wala kuongelea maisha binafsi ya wagombea. Nakumbuka uchaguzi wa mwaka 2010 mgombea mmoja aliambiwa eti kaiba mke wa mtu. Uchaguzi wa 2015 mwingine aliambiwa eti ni mgonjwa. Hongereni vyama vyote kwa kufanya kampeni za kisayansi. Tunatumaini hii hali...
  8. M

    Hongera Joh Makini na Weusi kwa kutojishughulisha na kampeni

    Pongezi kwa kusimamia weledi wa fani yenu. Nakumbuka tangu Uchaguzi Mkuu wa 2010, 2015 na wa mwaka huu mmeendelea na msimamo wenu wa kutotumika kupiga kampeni kwenye upande wowote wa siasa. Hii ni nzuri sana ili kutowagawa mashabiki wenu. Keep it up
  9. M

    Uchaguzi 2020 Mwelekeo wa Kampeni 2020 unaenda vizuri mpaka sasa

    Wanajamvi, Takribani wiki moja sasa tangu kipyenga cha kuanza Kampeni kilipopulizwa.Vyama vya siasa vipo "field" kuomba kura. Japo ni mapema mno kutoa tathmini ila so far tunaomba mambo yanaenda vizuri labda yaharibike siku za mbeleni. Zile siasa za "majitaka" pamoja na kushambulia mambo...
  10. M

    Kwanini Wasabato hawana Baraza la Kuidhinisha "Halal foods"

    Kwa ndugu zetu Waislamu wanalo baraza la kuidhinisha "Halal foods" yaani vyakula ambavyo havijachanganywa na hata chembe ya product/ ingredients yoyote itokanayo na nguruwe pamoja na wanyama wengine waliokatazwa kwa kadiri ya imani ya Waislamu, Wasabato na Wayahudi. Ukiangalia bidhaa za Azam...
  11. M

    Top Ten makabila yenye wazungumzaji wengi Tanzania

    Huu ni utafiti(usiokua rasmi) juu ya uwingi wa wazungumzaji wa makabila yaani wale ambao kiasili ni wenyeji wa kabila husika pamoja na wale ambao wamejifunza makabila husika kutokana na mwingiliano wa shughuli mbalimbali za kimaisha. 1. WASUKUMA -Idadi yao inakadiriwa kuwa zaidi ya milioni 10...
  12. M

    Yupo wapi Dennis Kitambi?

    Baada ya Simba kufanya mabadiliko ya benchi la ufundi mwaka jana ambapo Patrick Aussems alitemwa, Dennis Kitambi aliyekua Kocha Msaidizi sikusikia hatma yake. Je, anafanyia wapi kwa sasa kazi yake ya ukocha wa mpira?
  13. M

    Zantel aibu yenu makao makuu ya Nchi hamna duka

    Hii ni aibu kwa kampuni kubwa na kongwe ya simu kama Zantel kutokua na duka/ kituo cha kuhudumia wateja makao makuu ya nchi Dodoma. Mnashindwa hadi na kampuni ndogo kama SMILE. Alafu niliwahi kusikia kuwa Zantel imenunuliwa naTigo sasa. Kwanini kwenye maduka ya Tigo (ambayo yametapakaa mikoa...
  14. M

    Abdallah Majura auza radio station

    Sasa ni rasmi kituo cha redio 91.2 ABM Radio cha Dodoma kilichokua kikimilikiwa na galacha wa fani ya utangazaji wa Radio ndugu Abdallah Majura kimeuzwa kwa Mtumishi wa Mungu Apostle Boniface "Bulldozer" Mwamposa na kwa sasa zinapigwa nyimbo za Gospel 24/7. Ieleweke kwamba ndugu Abdallah Majura...
  15. M

    Tigo na Airtel acheni usumbufu kwenye kusajili laini

    Haya makampuni ya Simu ya Tigo na Airtel yanafanya zoezi la usajili wa laini kuwa gumu kutokana na utaratibu wao wa kipekee waliojiwekea. Ukienda kusajili laini Vodacom unatakiwa uoneshe kitambulisho chako cha NIDA pekee alafu unawatajia namba zako za Vodacom unazotaka kusajili (hata kama ni...
  16. M

    kwanini hakuna mabonanza ya wanahabari awamu hii?

    Wadau, Miaka ya nyuma wanahabari kutoka media houses mbalimbali-nikimaanisha waandishi wa habari pamoja na wafanyakazi wengine wanaofanya kazi kwenye vyombo vya habari walikua na utaratibu wa kufanya matamasha (mabonanza) kwa ajili ya kufahamiana, kurefresh mind, kupunguza stress za ofisini...
  17. M

    Radio 5 Arusha

    Wadau, Sijaisikia hii radio station kitambo sasa hasa kwa frequency za Dar. Kwa waliopo Arusha vp tujuzane hii radio bado ipo active au ilishakufa kifo cha mende. Nawasilisha
  18. M

    Chupa za vileo na uharibifu wa Mazingira

    Wadau, Hili ni janga jipya ambalo Serikali inabidi itunge sera au sheria ya kukabiliana nalo kama vile ilivyotunga sheria ya kuondoa vifungashio vya vilevi maarufu kama viroba. Ieleweke kuwa makampuni ya kutengeneza soda hukusanya chupa zilizotumika. Pia baadhi ya makampuni ya vileo kama...
  19. M

    Yupo wapi producer KGT

    Moja ya maproducers fundi kabisa kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava.Alitengeneza hit song nyingi sana kipindi yupo G Records na baadae G 2.Katika wasanii ambao aliwasaidia sana ni Ali Saleh Kiba. Baadhi ya hit song alizotengeneza ni kama Nainai-Ommy Dimpoz,Nakshi...
  20. M

    Mtangazaji Bhoke wa EATV umezidi kutuonesha kitovu

    Huyu mtangazaji Bhoke wa kipindi cha Dadaz EATV(Channel 5) kiukweli anakera kwa tabia yake ya kutuonesha kitovu pamoja na sehemu ya chini ya tumbo hususani katika zile "jingles"/promo ambazo huwa akionekana akicheza cheza pamoja na wadada watangazaji wenzake wa hicho kipindi. Kwenye hizo...
Back
Top Bottom