Search results

  1. J

    Tundu Lisu: Hili ni Jimbo la Waziri wa Fedha lakini halina Hata Maji, muondoeni Mwigullu na Mungu wa mbinguni atawabariki!

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu ameanza ziara jimboni Iramba na kushangaa kukosekana Huduma za Maji Lisu anasema Mbunge wa Iramba ni Waziri wa Fedha lakini Jimbo lake halina Maji hivyo amewataka Wananchi wamuondoe na Mungu wa mbinguni atawabariki na kuwaletea mvua Source Jambo TV...
  2. J

    Tuwe Wakweli kuanzia Nyerere hadi Magufuli ni Rais gani ambaye aligombea kwa Utashi wake binafsi na si kuwekwa na Rafiki zake?

    Mohamed Said ameelezea mara nyingi namna Wazee wa Pwani walivyomtoa Nyerere Darasani Kwenye chaki na kumuingiza Siasani hadi akawa Waziri mkuu na hatimaye Rais Mwinyi na Mkapa inajulikana waliwekwa na Mwalimu Nyerere Kikwete alisema akina Lowassa na Sitta Ndio walimwomba agombee na watampa...
  3. J

    Dkt. Nchimbi ammwagia Sifa Sumaye, asema 2005 akiwa DC Bunda alienda kumuomba asigombee Urais amwachie Kikwete, baadae aligundua amekosea!

    Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema Waziri mkuu mstaafu Mzee Sumaye ni mtu Muungwana na mfuatiliaji sana wa majukumu Nchimbi amesema mwaka 2005 akiwa DC Bunda tena kijana wa miaka 31 alienda kwa Waziri mkuu Mzee Sumaye na kumwomba asigombee Urais amwachie Kikwete Nchimbi amesema Mzee Sumaye...
  4. J

    Hivi degree ni Mali ya Chuo kinachotunuku au ni Mali ya Mtunukiwa aliyekidhi Vigezo vya Kutunukiwa

    Nauliza Tu maana kumekuwa na maneno maneno Mengi sana hasa Kwenye hizi PhD za darasani na zile za Heshima Wewe graduate hiyo degree ni Yako au Umebeba kichwani kichip Cha Chuo husika? Nimekaa pale kuelimishwa 🐼 Dunia ya AI 😄😄🔥
  5. J

    Rais Ruto aalikwa na Jumuiya ya Ulaya Kwenye Kikao Cha Amani kati ya Russia na Ukraine

    Enzi za Nyerere huu Mwaliko ulikuwa ni wa Tanzania ila hizi zama za Utandawazi tunaalikwa kijumuiya zaidi Tuzidi kumuombea Rais Ruto akatuwakilishe vizuri na zikitokea fursa za kupeleka manjagu au Wajeda kama Haiti atutonye jirani zake Nawatakieni Sabato Njema 😄😄
  6. J

    Nyerere: Ili Nchi Iendelee inahitaji Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora. Mpaka sasa, tumefeli wapi?!

    Sijajua katika hayo mambo manne Tanzania tunakwama wapi?!🐼 Watu tuko zaidi ya million 60 Ardhi ina kila kitu Mazao, Misitu, Madini, Mito, Maziwa, Wanyama, Bandari, nk...nk Siasa Safi tunao CCM, Chadema, Maridhiano, Kikosi Kazi Cha Prof Mkandala nk Uongozi Bora Nyerere, Mwinyi, Mkapa...
  7. J

    Unapendelea Katibu mwenezi wa Chama Kikongwe kama CCM awe Kijana au Mzee?

    Je, unapendelea Katibu mwenezi wa Chama Kikongwe kama CCM awe Kijana au Mzee? Nawatakia Sabato Njema 😄
  8. J

    Kuelekea 2025 Sumaye: Hakuna anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Rais Samia

    Waziri mkuu Mstaafu na mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Kanda ya Mashariki amesema hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza nchi hii ya Tanzania zaidi ya Dr Samia Sumaye alikuwa anamueleza Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi --- WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hakuna anayeweza kuongoza...
  9. J

    Ukoloni Mamboleo ni nini?

    Wale Wataalam wa History naomba mnielimishe tafadhali Ukoloni Mamboleo Ndio kitu gani Ruto amesema Bajeti za nchi za Africa ni za Kikoloni mamboleo kwa sababu inabidi tukope Ndio zitekelezwe hivyo amesema ndani ya Miaka 3 Bajeti ya nchi yake itabalance na kamwe hawatakopakopa tena Nasubiri...
  10. J

    Nimepitia CV za Wajumbe wa Tume ya Mipango wale Wakongwe, Wanastahili na wangekuwepo wakati wa Mjadala wa DP World wangesaidia sana!

    Nawazungumzia Balozi Ammy Mpungwe, Balozi Dr Asharose Migiro na Balozi Ombeni Sefue Hawa ni wazee kwa umri lakini wanaijua Dunia kulingana na majukumu waliyopitia na akili inachoka haizeeki Tazama Mjadala wa DP World ulivyoendeshwa kiswahili Swahili na Watu wasio na Uelewa wowote wa Dunia ya...
  11. J

    Wananchi wa Chalinze wazuia msafara wa Tundu Lisu wakitaka aseme Neno roho zao zipone, awaahidi mkutano mkubwa 23 June anaporejea kutoka Singida!

    Wananchi wa Chalinze mkoani Pwani waliuzuia kwa muda msafara wa makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu Ili awasalimie na walau aseme Neno la Matumaini kwao Lisu amewaambia anaelekea mkoani Singida ambako amepangiwa Mikutano ya wiki 3 na wakati anarejea atafanya mkutano wa hadhara Hapo...
  12. J

    Nyasa Mmeamua tunawapongeza. Tulimpima Msigwa kwa undugu wake na Magufuli Tutampima Sugu kwa Urafiki wake na Mwenyekiti wa CCM!

    Kichwa cha Uzi kinajieleza chenyewe Niwapongeze Wana Nyasa kwa ukomavu wenu wa kisiasa na hasa nikielewa katika Kanda zote za Chadema DP World aliviogopa sana Nyasa hasa hapo Mbeya kwa akina mkuu BAK Nimpongeze kipekee Mchungaji Msigwa kwa hotuba nzuri aliyoitoa baada ya Uchaguzi Nikiri wazi...
  13. J

    RC Chalamila: Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa msaada wa Korea Kusini alipokwenda Rais Samia

    RC Chalamila amesema Hospitali ya Muhimbili itabomolewa yote na kujengwa upya kwa gharama ya Tsh billion 560 kwa Ushirikiano wa Tanzania na Korea Kusini Kwahiyo wale mnaosemasema ooh Rais alikuwa India, Ufaransa na sasa Korea Kusini muelewe safari zake ni za kutafuta Maendeleo ya nchi yetu...
  14. J

    RC Chalamila: Wazazi wa Dar es Salaam acheni mzaha, mnaharibu watoto

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka wazazi mkoani humo kuacha mizaha na watoto wao. Chalamila ametoa mfano wa mama mmoja mwenye watoto Watatu wa kiume ambao alikuwa hawapi kitu chochote wanapokwenda shule na sasa Wavulana hao Watatu Wote wamethibitika kuwa ni Mashoga...
  15. J

    Ziara ya Ruto nchini Marekani inatufunza kwanini Hayati Magufuli aliamua kuimarisha ATCL

    Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh million 200 kukodi ndege hiyo Lakini Rais Ruto anasema Rafiki zake ndio walimkodisha ndege hiyo kwa...
  16. J

    CCM tunafuatulia kwa karibu Matokeo ya Uchaguzi mkuu wa Africa Kusini, Rafiki zetu ANC wanapambana vikali!

    Wakati 30% ya vituo vimeshatangaza Matokeo ANC wanaongoza kwa 43% Ili iunde serikali ANC wanatakiwa kupata 50% ya Kura lakini wachambuzi wa siasa wanasema inawezekana wasipate na hivyo watalazimika kuunda serikali ya mseto Source: BBC Focus on Africa Tuzidi kuwaombea 😀
  17. J

    Kuelekea 2025 RC Makonda aitahadharisha CCM; "Msitulaumu wakati wa Uchaguzi mambo yakiwa Mabaya, tupeni Ushirikiano sasa"

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewataka Viongozi wa CCM kuzunguka kona zote na kuwaletea Taarifa za Viongozi wabovu na wezi Ili wawashughulikie kungali Mapema " Msije kutulaumu wakati wa Uchaguzi mambo yakiwa Mabaya" ameonya Makonda Mwenyekiti wa CCM Komredi Sabaya amemuhakikishia...
  18. J

    Kwenye Ruzuku ya CHADEMA ipo inayotokana na kura walizopata akina Halima Mdee na wenzake majimboni!

    Katika wale Wabunge 19 Wenye mgogoro na Chadema wako waliogombea kwenye Majimbo na walipata kura nyingi tu japo hazikutosha mfano Mdee, Kaboyoka, Bulaya, Jesca, Makamba, Mwaifunga nk na kwa Kanuni jumla ya kura za Wagombea Ubunge majimboni na kura za mgombea Urais ndio huingizwa kwenye formula...
  19. J

    Joseph Mbilinyi: Ahsanteni sana Nyasa sikuwahi kufikiri Hip-hop itanifikisha hapa Kisiasa!

    Mwenyekiti Mpya wa Chadema Kanda ya Nyasa mh Joseph Mbilinyi amewashukuru Wananchi Wote wa Kanda ya Nyasa na kusema " I never thought Hip hop would take me this far" Salam za Shukrani amezitoa kupitia Ukurasani X Pia soma Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa...
  20. J

    Je, ni sahihi wabunge kuapa wakiwa wameshika kitabu cha dini tofauti na dini ya Spika?

    Hili swali nalielekeza Duniani kote ambako Utaratibu wa kuapisha Wabunge kwa kutumia Vitabu Vitakatifu Vya Mitume wa Mungu wa Mbinguni unatumika. Kwa upande wa Rais haina shida kwa sababu wanakuwepo Jaji Mkuu na Mufti au Askofu. Niko pale nasubiri Elimu. Mungu wa Mbinguni awabariki.😀
Back
Top Bottom