DOKEZO Threads

A
Suala la Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Burgalia, Vasil Dosev Dimitrov kudaiwa kuwatishia kuwaua Wanahabari wawili waliokuwa wakifuatilia madai kuwa anatuhumiwa kumfanyia unyanyasaji...
1 Reactions
0 Replies
64 Views
A
Urasmishaji wa viwanja , mabwepande,eneo la kinondo Mashariki unahusisha mazingira ya utapeli yaliyotengenezwa na viongozi wa wilaya kushirikishana na viongozi wa chini Yao. 1. Zoezi la upimaji...
0 Reactions
0 Replies
26 Views
A
Kwa muda wa miaka 10 niliokuwa kwenye sekta ya ujenzi, nimegundua kuwa kuna watu wengi hawana sifa za kitaaluma wana vyeti vya kufoji vya ndani na nje ya nchi. Kwa kuwa bodi za kitaaluma (ERB na...
0 Reactions
2 Replies
79 Views
Muda huu saa sita kamili mchana hapa Stendi ya Morroco (Dar es Salaam) kuna askari watatu wanakusanya hela hadharani kwa kila Daladala inayosimama kituoni. TAKUKURU tokeni maofisini muwakamate...
1 Reactions
23 Replies
755 Views
Mnamo tarehe 8/04/2024 Majira ya saa 2 Usiku katika Kata ya Iyela Wilaya ya Mbeya Mjini inasadikika Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Burgalia anayeitwa Vasil Dosev Dimitrov, alimchukua...
5 Reactions
63 Replies
3K Views
A
Anonymous (f37c)
Habari wakuu, Inasikitisha sana kuona kiongozi wetu badala awe mstari wa mbele kuwajali na kushirikiana na watumishi, yeye amekuwa ndio mtu wa kuwavunja ari, moyo, kukatisha tamaa na zaidi...
0 Reactions
12 Replies
465 Views
Kampuni ya Ulinzi (HOMASA SECURITY) inapata bahati ya kuingia mkataba na Bilionea ANDRON MENDES Mkataba huu unahusisha kumlinda Bilionea huyu nyumbani kwake na Pia kulinda kwenye ofisi ilipo...
68 Reactions
369 Replies
38K Views
Habari ndugu zangu, nimekutana na utapeli wa kiwanja maeneo ya Kisota Kigamboni. Mpaka sasa nipo njia panda kupata haki yangu pamoja na wahanga wenzangu zaidi ya 10, ambao tumenunua viwanja...
19 Reactions
94 Replies
3K Views
A
Anonymous
Wakuu, Heri ya mwaka mpya 2024. Barua hii ni taarifa kuhusu ubora wa elimu inayotolewa katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kwa ufundishaji na utoaji wa masomo ya Shahada za elimu zenye...
17 Reactions
71 Replies
5K Views
A
Anonymous
Mimi ni Mwl. Kutoka Manspaa ya Moshi ambaye ni muhanga wa matukio machafu yanaofanywa na Kiongozi wa idara ya Elimu Ndugu NICHOLAUS NGONYANI. Nimeandika ujumbe huu kwa uchungu na masikitiko...
33 Reactions
191 Replies
15K Views
A
Anonymous (8dcc)
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utangulizi Mimi ni raia wa Tanzania, Mkristo kwa imani. Lakini nasikitishwa na kile kinachoendelea katika huduma ya Nabii wa Uongo...
25 Reactions
142 Replies
7K Views
Wapendwa habari za Jioni? Bila kupoteza muda, Mji huu wa Tunduma ni mpakani mwa Tanzania na Zambia. Sasa lengo la Uzi huu ni kuiomba Serikali yetu pendwa ya Mama Dkt.Samia Suluhu Hassani, kuwa...
13 Reactions
74 Replies
4K Views
A
Anonymous
Naomba Jamii Forums msaidie kupaza sauti ya huyu mzee apate msaada, tumemkuta anaishi chini ya hili jiwe, anadai yupo hapo tangu Mwaka 2011 baada ya CDA Dodoma kuvunja nyumba yake aliyojengewa kwa...
2 Reactions
8 Replies
660 Views
Nawasalim kwa jina la JMT, Naamin kila mmoja wetu ni mzima wa afya na kwa wenzetu ambao hawako sawa kiafya basi mwenyezi Mungu awafanyie wepesi. Amin Wakuu maisha yana mitihani mingi sana wakati...
106 Reactions
287 Replies
23K Views
A
Anonymous
Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inaombwa kuchunguza na kuchukua hatua ya uvunjifu wa haki za watumishi wa umma katika ofisi ya Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
A
Anonymous (48e6)
JIMBO LA ITIGI LIMEOZA JAMANI: ORODHA YA MIRADI AMBAYO ILITOLEWA FEDHA NA SERIKALI NA BADO HAIJAKAMILIKA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA ITIGI MKOA WA SINGIDA. Huyu Mwenyekiti wa Halmashauri...
4 Reactions
12 Replies
588 Views
BUKOBA MANISPAA KAGERA ,TANZANIA Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. : Kwanza Hongera na kazi katika harakati za kulipambania Taifa hasa kwenye secta ya AFYA hapa nchini...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date. Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa...
5 Reactions
65 Replies
2K Views
A
Anonymous
Mimi ni mzazi na mhathirika wa haya yanayotokea, Shule ya Sekondari Longido iliyopo Wilaya ya Longido, Mkoa wa Arusha, shule ina Wanafunzi wengi sana kupita kiwango. Jumla ya Wanafunzi ni zaidi...
1 Reactions
5 Replies
309 Views
A
Anonymous
Naandika andiko hili nikiwa na uchungu sana, kuna muda unatakani ufanye jambo lakini nafsi inasita, anyway ngoja nielezee ili Dunia ijue. Mimi na wenzangu tumeshirikiana kuandika andiko hili...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Back
Top Bottom