Recent content by Pascal Mayalla

  1. Pascal Mayalla

    Ombi kwa Rais Samia, Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili, Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa, Imeporwa!. Tunakuomba Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!.

    Ni kweli ni awamu yake, kwa vile yeye sio mwanasheria, inawezekana kabisa wamemletea batili bila kumweleza ni batili, na Bunge letu la ajabu kabisa, likaipokea miswada hiyo yenye ubatili, ikaipitisha hivyo hivyo na ubatili wake!, wakatunga sheria batili, wakampa Rais Samia akaisaini bila kujua...
  2. Pascal Mayalla

    Ombi kwa Rais Samia, Sheria Mpya ya Uchaguzi Bado ina Ubatili, Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa, Imeporwa!. Tunakuomba Irejeshwe kwa Mujibu wa Katiba!.

    Wanabodi, Hii ni makala yangu, Gazeti la Nipashe ya Leo. Makala ya leo ni kutoa shukrani na Asante kwa Rais Samia kwa Sheria Mpya ya Uchaguzi, ila Haki ya Watanzania Kuchagua, na Kuchaguliwa, Bado Imeporwa kwa kukasimiwa kwa Vyama vya Siasa. Hili ni ombi, haki hiyo Irejeshwe kwa Wananchi...
  3. Pascal Mayalla

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Kuna vitu vingi vilitokea ila havikuandikwa. Mungu anaitwa ni Mungu muumba wa mbingu na nchi na kila kitu. Ukweli ni kuwa Mungu hakumuumba shetani, wala hawezi kumuangamiza!, ana uwezo wa kumzuia tuu. Mungu ni omniscient, omnipotent na Omnipresence, so does the devil!. Baada ya shetani kuasi...
  4. Pascal Mayalla

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    We unaijua dhambi ya asili ni nini? P
  5. Pascal Mayalla

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Tumia lugha ya picha na kuongea kwa tafsida, mti wa katikati ni ule mti na tunda ni lile tunda la kumegwa, kula tunda ndio kumegwa. Shetani baada ya kuingia bustanini kama nyoka, akajigeuza mtu, akamfundisha Eva jinsi ya kumega tunda, akamega. Mtoto wa kwanza wa Adam, Caini alizaliwa na roho...
  6. Pascal Mayalla

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Shetani hauliwi kwasababu mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani. P
  7. Pascal Mayalla

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Kwanza tumia capital letters kutaja jina la Mungu. Mwanzo wa Mungu pia ndio mwanzo wa shetani, ambaye mwanzo alikuwa malaika, ndie alikuwa malaika mkuu 2nd in command baada ya Mungu. Mungu ana nguvu na shetani ana nguvu, ila nguvu za Mungu ni kubwa zaidi ya nguvu za shetani kwa mambo mawili...
  8. Pascal Mayalla

    Kuelekea 2025 Godbless Lema ajitoa kwenye mbio za kugombea Uenyekiti Kanda ya Kaskazini

    Hii ni maturity, hata ningekuwa mimi, huku Gambo, kule Konda Boy, huku Ole Sabaya... unategemea nini?! P
  9. Pascal Mayalla

    Nchi zetu Afrika ikiwemo nchini yetu Tanzania inahitaji Benevolent Dictators

    Naunga mkono hoja Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! nilisema P
  10. Pascal Mayalla

    Itungwe sheria inayotoa adhabu dhidi ya wanaomtukana Rais

    Mimi nipate uteuzi wa nini ili nipate nini?!. P
  11. Pascal Mayalla

    Gambo: Mkuu wa Wilaya asinichokonoe, ameshindwa kuwasimamia Wataalamu, aache kumsingizia Mbunge

    Nadhani ilikuwa ni story tuu, suti ya Gambo ni mwembamba haiwezi kumtosha Makonda ana kifua kipana!. P
  12. Pascal Mayalla

    Ziara ya Ruto nchini Marekani inatufunza kwanini Hayati Magufuli aliamua kuimarisha ATCL

    Kwanza rekebisha hapo, sio "kuepuka viongozi kukodi ndege kwa Marafiki", ni "kuepuka viongozi kukodiwa ndege na Marafiki" . Pili naunga mkono hoja kuhusu Magufuli na kununua midege kuifufua ATCL Dreamliner imejaa wiki nzima! Hongera ATCL na pongezi kwa Rais Magufuli, unaona mbali P.
  13. Pascal Mayalla

    Gambo: Mkuu wa Wilaya asinichokonoe, ameshindwa kuwasimamia Wataalamu, aache kumsingizia Mbunge

    Nimeipenda hii!, haswa hiyo ya kutaka kumchonganisha baba na mwana, kwa kuichonganisha record label ya baba na mwana, Columbia Records ya Michael Mauldin ambaye ni baba mtu, na Def Jam Records ya Jermaine Dupri ambaye ni mwanae!. Thanks for this, I didn't know this!. Baada ya Makonda kuletwa...
  14. Pascal Mayalla

    Ukipita Ubungo Flyover lazima umkumbuke Hayati Magufuli

    Naunga mkono hoja. Umenikumbusha Uchaguzi 2020 - Je, Unaweza kupita Ubungo Interchange usiseme asante Magufuli? Mtakubaliana na mimi, asante stahiki ni kura zote kwa Magufuli humo nilisema P.
  15. Pascal Mayalla

    Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?

    Hapana sio mbunge wa Arusha, jimbo la Arusha lilitengwa kwa Lema katika ule mgao wa kugawana nusu mkate na CCM. Konda Boy hakai sana hapo Arusha, anapanyoosha tuu kisha anarejeshwa Dar. Atagombea Kinondoni au atakwenda kwao Kolomije P
Back
Top Bottom