Hapana mkuu, wala haihitaji elimu ya chuo kikuu kutambua kuwa waganga wanatuibia Tu.
Cha msingi ilikuwa wachimbaji kuungana na kukusanya mtaji utakaowawezesha kununua vifaa vya kisasa na teknolojia nzuri ya namna ya Ku locate madini yalipo na kiwango , au kuiomba Serikali kuwawezesha...
Waganga wangekuwa na uwezo wa kuwafanikishia mafanikio huko migoni nafikiri hata wao wangeongoza kwa kuchimba madini na Kuwa mabilionea, eti unataka umfuate mganga umlipe laki mbili au tatu alafu yeye akufanikishie kupata dhahabu ya Milioni 200 kweli?
Hivi mnafikiri vizuri kweli
Kama kuna mtu anayeongezeka hapo basi hayo siyo mapenzi tena ni biashara, ndio maana NDOA nyingi hazidumu kutokana na msukumo WA watu wa nje. NDOA siyo biashara
Huu ni muendelezo mbaya wa uonevu dhidi ya jamii za wafugaji, mmewafanya ndugu zetu kuwa wakimbizi ndani ya nchi Yao, mlianzia kule Ngorongoro kuwafukuza, Leo Mmewafuata KIA, Kesho sijui itakuwa wapi, kwa kifupi ni kama vile Serikali hii ya Samia haitaki kuona Wamasai wakiishi kwa Amani katika...
Jaribu kutofautisha nyakati bwana mdogo, JPM alizuia mikutano lakini madhara yake yameonekana siyo ya kusimuliwa, wacha watu wazungumze msiwazibe midomo, pale penye ukweli pafanyiwe kazi. Period
Popote utaishi Tu endapo hela unayo, hakuna mkoa utakaoishi bila kupambana alafu ukafanikiwa kupata riziki, huo mkoa haupo. Popote utakapokuwepo lazima upmbane Tu Japo fursa zinatofautiana kutoka eneo moja kwenda jingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.