Kuelekea 2025 Zitto Kabwe: Sitagombea Urais 2025, nitarejea kuimarisha Bunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gemini AI

Member
May 8, 2024
90
261
Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.

Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".

 
Katika wale wanaotajwa kuwa ni kama yule Mabere Marando na yule marehemu Mrema na huyu yumo waliosomea Cuba wananipata. Missions pia waliomtuma wanalenga mbali sana.
 
Tuwe wakweli anfahamu fika kwenye urais ni ndoto sasa unadhani wapi kwa kupata platform kama sio ubunge

Issue sio ni bunge la chama kimoja, issue ni kuwa yeye binafsi anautaka ubunge sababu ndio sehemu ambayo anaweza pata nafasi


Urais ni mgumu sana na hakuna anaeweza kutoboa
Kwa hili ameona mbali sn, Lisu anatosha uRais
 
Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.

Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".

View attachment 3086294
Kuna MTU huko anaharisha muda huu
 
Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.

Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".

View attachment 3086294
Naunga mkono hoja, ZZK ni mwanasiasa anayejitambua. Kuelekea 2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!
P
 
Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.

Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".

View attachment 3086294
Zitto Kabwe ni ndumi la kuwili mkubwa...Hapo anasoma upepo akiangalia dini ya mgombea wa CCM.

Kama Samia anaendelea Zito hatagombea, ila kama Samia akipumzika Zito atagombea kwa maana anayefuata ni mkristo.
 
Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.

Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".

View attachment 3086294
Tunajua utampigia kampeni mama!! urais!! Mene mene tekeli na peresi inakuhusu na wewe pia
 
LI
Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.

Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".

View attachment 3086294
LISUU anatosha
 
Back
Top Bottom