Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,856
- 10,377
Katika makala ya leo,
Ni vyema tukaeleweshana kwa kina faida na athari za kuwa kwenye magroup ya Whatsapp ya ukoo.
Najua wengi tumezoea kujiunga na magroup ya shule, kazini na biashara ambapo faida zake ni nyingi sana. Kwenye haya magroup unaweza kuona tangazo la kazi, unaweza kupata connection ya kazi au biashara na hata kupata wateja wa bidhaa zako.
Kwa wenye uzoefu je ni zipi faida na athari za kuwa kwenye magroup ya Whatsapp ya ukoo.
Ni vyema tukaeleweshana kwa kina faida na athari za kuwa kwenye magroup ya Whatsapp ya ukoo.
Najua wengi tumezoea kujiunga na magroup ya shule, kazini na biashara ambapo faida zake ni nyingi sana. Kwenye haya magroup unaweza kuona tangazo la kazi, unaweza kupata connection ya kazi au biashara na hata kupata wateja wa bidhaa zako.
Kwa wenye uzoefu je ni zipi faida na athari za kuwa kwenye magroup ya Whatsapp ya ukoo.