Zijue gharama za kodi kabla hujaagiza gari

ClearingAgent

Member
Nov 15, 2022
28
22
Habari zenu wana JF tupo hapa kukumbushana mambo kadhaa kuhusu maswala ya uwagizwaji wa magari.

Unapotaka kuagiza gari ni vema kujua gharama za kodi linapofika bandarini itakufanya ujipime mfuko wako na kujipanga vizuri kwenye swala la kifedha kuepusha kushindwa kulipa gharama za kulitoa gari lako licha ya kushawishika na bei ya uagizwaji wake.

ili kuweza kupata gari lako inakupasa kulipia gharama za aina za aina 5
1. Kodi TRA ( Hii unaweza kuangalia kupitia TRA calculator)
2. Shipping line ( Hii hulipwa kwa wakala wa meli iliotumika kusafirisha gari lako)
3. Wharfage fee
4. Port charges
5. Agent fee

Kwa kuzitambua aina hizi za kodi basi unaweza ukafanya makadirio mazuri ya gharama juu ya aina gani ya gari utakaloweza kumudu kuagiza na kiasi cha kulipia pindi linapofika bandarini kuepusha usumbufu wakati wa kulitoa.
 
0KM,nikiiagiza. gharama zake zikoje kwa Kwa Kila hatua hizo Tano?
Screenshot_20240328-235130.png
 
Habari zenu wana JF tupo hapa kukumbushana mambo kadhaa kuhusu maswala ya uwagizwaji wa magari.

Unapotaka kuagiza gari ni vema kujua gharama za kodi linapofika bandarini itakufanya ujipime mfuko wako na kujipanga vizuri kwenye swala la kifedha kuepusha kushindwa kulipa gharama za kulitoa gari lako licha ya kushawishika na bei ya uagizwaji wake.

ili kuweza kupata gari lako inakupasa kulipia gharama za aina za aina 5
1. Kodi TRA ( Hii unaweza kuangalia kupitia TRA calculator)
2. Shipping line ( Hii hulipwa kwa wakala wa meli iliotumika kusafirisha gari lako)
3. Wharfage fee
4. Port charges
5. Agent fee

Kwa kuzitambua aina hizi za kodi basi unaweza ukafanya makadirio mazuri ya gharama juu ya aina gani ya gari utakaloweza kumudu kuagiza na kiasi cha kulipia pindi linapofika bandarini kuepusha usumbufu wakati wa kulitoa.

Kwa ushauri au maswali yoyote naweza kuulizwa au kuwasiliana nami kupitia

WhatsApp & Call
0652802379

Andiko zuri.

Ingependeza zaidi kama ungetoa na mfano wa hizo gharama based na gari manufacfured below 2010 and after 2010.

Thanks.
 
Andiko zuri.

Ingependeza zaidi kama ungetoa na mfano wa hizo gharama based na gari manufacfured below 2010 and after 2010.

Thanks.
Asante mkuu kwa ushauri wako

Kwenye swala la kodi mfano ya TRA hii unaweza kusearch kwenye calculator ya TRA, shipping line inategemeana na wakala wa meli uliotumia bei zao hazifanani ila nyingi zinarange USD 50-70, Port charges inategemea na CMB za gari lako na agent fee kila kampuni wana bei zao.
 
Mi swali ambalo Serikali na Bandarihuwa siwaelewi ni kwammba...Ukiagiza gari Ya miaka ya karibuni ni gharama kubwa at the same time ni aina hiyo hiyo ya Gari bei ni cheap ikiwa miaka ya Nyuma...

Je serikali haioni kama sisi ni Dampo la vyuma chakavu.
 
Mi swali ambalo Serikali na Bandarihuwa siwaelewi ni kwammba...Ukiagiza gari Ya miaka ya karibuni ni gharama kubwa at the same time ni aina hiyo hiyo ya Gari bei ni cheap ikiwa miaka ya Nyuma...

Je serikali haioni kama sisi ni Dampo la vyuma chakavu.
Ni kweli ila sio kwamba ni dampo gari mpya ni ngumu ku-afford km wangeruhusu gari ziingie zilizo kiu ya mwaka 2015 je wangapi wangemiliki magari? Wamefanya hivo kila mtu anunue analomudu
 
Sio analo mudu Gharama zinakuwa juu ukinunua Mpya hapo Bandari
Ni kweli ila sio kwamba ni dampo gari mpya ni ngumu ku-afford km wangeruhusu gari ziingie zilizo kiu ya mwaka 2015 je wangapi wangemiliki magari? Wamefanya hivo kila mtu anunue analomudu
l
 
Sio analo mudu Gharama zinakuwa juu ukinunua Mpya hapo Bandari

l
Mbona kila gari kodi ipo wazi kwenye calculator yao ndo maana kuna umuhimu kabla ya kufanya uamuzi wa kuagiza gari ujue unatakiwa kulipia kodi zipi ili kupata makadilio ya kiasi unachotakiwa kulipa
 
Kodi za Tanzania bana, hata sielewagi!!

Kodi inazidi gharama za manunuzi, hiyo niko kodi au unapigwa faini kwa kununua gari??
 
Asante mkuu kwa ushauri wako

Kwenye swala la kodi mfano ya TRA hii unaweza kusearch kwenye calculator ya TRA, shipping line inategemeana na wakala wa meli uliotumia bei zao hazifanani ila nyingi zinarange USD 50-70, Port charges inategemea na CMB za gari lako na agent fee kila kampuni wana bei zao.
Toa majibu ya kisomi kwa kugusia vitu vyote kwa uhalisia.

Mfano gari x lenye cc .. la mwaka 200.. mpaka linakuwa lako inahitaji gharama kiasi ... kwa mchanganuo ufuatao.
1 .....
2.....
3...... n.k

Hapo ungeeleweka, kuliko kutoa majibu yanayohitaji mtu aanze kuokoteza data huku na kule.
 
Back
Top Bottom