Zifahamu kodi zinazohusika katika uagizaji magari toka nje ya nchi

mew 123

Member
May 20, 2024
24
25
Habari wanajamvi wenzangu katika jukwaa hili la biashara uchumi na ujasiriamali,

Pasipo kupoteza muda naomba nitoe ufaganuzi kidogo kuhusiana na Kodi ZINAZOHUSIKA katika uagiza wa gari Toka nje ya nchi

Kwa kawaida Kodi kuu zinazohusika pindi mtu anapoagiza gari huwa ni tatu

1. Import dutyG
2. VAT
3. Excise duty

IMPORT DUTY
Kulingana na sera za Tanzania kuhusiana na Kodi katika magari yanayoingia nchini, makadirio ya Kodi hutokana na ukubwa wa injini

Kwa mfano gari ambalo injini yake Ina ukubwa wa 2000cc na kuendele import duty ni asilimia 25 wakati VAT asilimia 20 na excise duty ni asilimia 10 kulingana na gharama ya gari uliloagiza. Jumla ya Kodi huweza fikia jumla ya asilimia 60

Kwa gari lenye injini ambayo Iko chini ya 2000cc excise duty ni asilimia 25 wakati VAT asilimia 20 lakini huweza fikia asilimia 50

Kwa magari ya biashara kama vile mabasi malori na pick-up
excise duty ni asilimia 15 wakati VAT asilimia 25

EXCISE DUTY

Kama ukubwa wa injini yake hauzidi 1000cc hakuna Kodi inayotozwa

Kama injini yake Ina kati ya 1000cc Hadi 2000cc Kodi ya excise duty ni asilimia 5

Kama injini yake Ina ukubwa wa 2000 cc na kuendele Kodi ya excise duty ni asilimia 10

Shukran Kwa wote watakao jifunza kutokana na Uzi huu

Wenu
OZB CAR IMPORTERS AGENT 0686153806 Whatsapp

Agent from beforward
 

Attachments

  • Black and White Vintage Retro Car Wash and Detailing Service Logo_20250122_085201_1.jpg
    Black and White Vintage Retro Car Wash and Detailing Service Logo_20250122_085201_1.jpg
    57.7 KB · Views: 6
Habari wanajamvi wenzangu katika jukwaa hili la biashara uchumi na ujasiriamali,

Pasipo kupoteza muda naomba nitoe ufaganuzi kidogo kuhusiana na Kodi ZINAZOHUSIKA katika uagiza wa gari Toka nje ya nchi


Kwa kawaida Kodi kuu zinazohusika pindi mtu anapoagiza gari huwa ni tatu

1. Import dutyG
2. VAT
3. Excise duty

IMPORT DUTY
Kulingana na sera za Tanzania kuhusiana na Kodi katika magari yanayoingia nchini, makadirio ya Kodi hutokana na ukubwa wa injini

Kwa mfano gari ambalo injini yake Ina ukubwa wa 2000cc na kuendele import duty ni asilimia 25 wakati VAT asilimia 20 na excise duty ni asilimia 10 kulingana na gharama ya gari uliloagiza. Jumla ya Kodi huweza fikia jumla ya asilimia 60

Kwa gari lenye injini ambayo Iko chini ya 2000cc excise duty ni asilimia 25 wakati VAT asilimia 20 lakini huweza fikia asilimia 50

Kwa magari ya biashara kama vile mabasi malori na pick-up
excise duty ni asilimia 15 wakati VAT asilimia 25

EXCISE DUTY

Kama ukubwa wa injini yake hauzidi 1000cc hakuna Kodi inayotozwa

Kama injini yake Ina kati ya 1000cc Hadi 2000cc Kodi ya excise duty ni asilimia 5

Kama injini yake Ina ukubwa wa 2000 cc na kuendele Kodi ya excise duty ni asilimia 10

Shukran Kwa wote watakao jifunza kutokana na Uzi huu

Wenu
OZB CAR IMPORTERS AGENT 0686153806 Whatsapp

Agent from beforward
Kodi za kuagiza magari nchini Tanzania ni kubwa sana kupita kiasi, Yaani ni Kama vile TRA inafanya wizi tupu kwa Watu wanaoagiza hayo magari.

Kutokana na kitendo cha Wanunuzi wa magari Kubambikiwa Kodi kubwa sana, gari hiyo hiyo moja unaweza ukainunua kwa bei ya Tsh. 30 Milioni kwa hapa Tanzania, lakini endapo kama gari hiyo hiyo utainunua ukiwa katika nchi nyingine kama vile Zambia Basi ingekugharimu Fedha kiasi kidogo Sana Kama vile Tsh. 16 Milioni tu.
 
Kwa hiyo nikinunua hapa nchini ndo inakuaje kuhusu hizo kodi?
Faida ya kuagiza gari nje ya nchi unapata gari zuri Kwa Bei nafuu na tena used mfano ukisikia mtu kanunua gari aina ya harrier Kwa million 25 inamaanisha na Kodi zikiwemo lakini Bei kutoka nje ya nchi yaani Bei halisi ni kama vile milioni kumi na Tano tu
 
Faida ya kuagiza gari nje ya nchi unapata gari zuri Kwa Bei nafuu na tena used mfano ukisikia mtu kanunua gari aina ya harrier Kwa million 25 inamaanisha na Kodi zikiwemo lakini Bei kutoka nje ya nchi yaani Bei halisi ni kama vile milioni kumi na Tano tu
Miongoni mwa faida mtu anazopata akinunua gari Toka nje ya nchi hata kama ni used linakuwa Bado katika hali nzuri
 
Back
Top Bottom