Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,854
- 4,866
Wakuu,
Mapema leo Naibu Katibu Mkuu wa ACTWazalendo -Zanzibar Omar Ali Shehe alidai kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho Hadija Anuwar alitekwa na watu wasiyojulikana wakati wa uandikishaji katika Daftari la kudumu la Tume ya Uchaguzi Zanzibar -ZEC.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jeshi la polisi limetoa ufafanuzi wa tukio hilo likisema Khadija alikuwa na dhumuni la kuzorotesha zoezi la uandikishaji daftari la kudumu, ambapo alikamatwa na kuachiwa baadaye kwa dhamana.
Mapema leo Naibu Katibu Mkuu wa ACTWazalendo -Zanzibar Omar Ali Shehe alidai kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho Hadija Anuwar alitekwa na watu wasiyojulikana wakati wa uandikishaji katika Daftari la kudumu la Tume ya Uchaguzi Zanzibar -ZEC.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jeshi la polisi limetoa ufafanuzi wa tukio hilo likisema Khadija alikuwa na dhumuni la kuzorotesha zoezi la uandikishaji daftari la kudumu, ambapo alikamatwa na kuachiwa baadaye kwa dhamana.