ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
52,416
62,077
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Mazrui ametangaza kuwa Hospitali zote Zanzibar zilizojengwa na Serikali ya Rais Dkt. Hussein mwinyi sasa rasmi zitasimamiwa na Sekta binafsi kwenye uendeshaji wake ili kuwe na huduma za kisasa na za Kimataifa.

Akiongea Visiwani Zanzibar leo August 16,2024 Mazrui amesema Wizara ya Afya imeingia makubaliano maalum ya uendeshaji na usimamizi na Sekta binafsi Ikiwemo EHN na TCL na kusisitiza kuwa Wizara ya Afya huo sio ubinafsishaji bali ni kuongeza ufanisi wa Hospitali hizo ikiwemo za Wilaya na za Mikoa ili Wananchi wapate huduma bora katika Visiwa hivyo ambako kwa miaka mingi huduma za Afya za Zanzibar ni bure kwa vipimo vyote huduma kubwa na ndogo.

"Tumebaini Wananchi wengi wanapenda kwenda Hospitali binafsi na wanapoteza fedha nyingi, wengine hawana wanaenda kwa Wafadhili wasaidiwe, kuwaondolea shida hiyo Wananchi sisi tunawalipa Sekta binafsi kwa niaba yao ili wapate huduma matibabu bila ya malipo, Watu wanatibiwa na kupata dawa zote na vipimo bila ya malipo yeyote na Serikali inawalipa Sekta binafsi wanaotoa huduma hizo" #Millard AyoUPDATES

My Take
Afadhari jambo Hilo liketokea Zanzibar ila lingetojea huku Bara Hakuna Kauli au matusi Wadanganyika wangeacha kumshambulia Rais kisa tuu ni wa pande Ile.

Nawapongeza Wazanzibar Kwa kuwaza Nje ya Box Ili kukabiliana na utaoaji Huduma usio rafiki.

Lakini pia hakikisheni Ajira zinasimamiwa na sekta binafsi pia Ili Serikali ibakie kusimamaia viwango vya taaluma na utoaji Huduma.👇👇
 
My Take
Afadhari jambo Hilo liketokea Zanzibar ila lingetojea huku Bara Hakuna Kauli au matusi Wadanganyika wangeacha kumshambulia Rais kisa tuu ni wa pande Ile.

Nawapongeza Wazanzibar Kwa kuwaza Nje ya Box Ili kukabiliana na utaoaji Huduma usio rafiki.

Lakini pia hakikisheni Ajira zinasimamiwa na sekta binafsi pia Ili Serikali ibakie kusimamaia viwango vya taaluma na utoaji Huduma.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-vC1EfCqnP/?igsh=bmQ2em8yZG83M3h5

Kwa nini unafikiri ni jambo zuri kubinafsisha hospital??
 
Wanashindwa nini hao watu binafsi kuanzisha hospitali zao wenyewe na kudumisha huduma zaidi na maradufu (Privatisation bila Competition haina ufanisi); Kwahio hapo ni kuongeza dalali wa kuendesha mambo yakienda ndivyo sivyo kodi zetu zinamlipa akila faida ni yeye na shareholders wake......

Ngoja nikupe andiko la the Guardian kutoka kwa Magwiji wa Kubinafisha under Thatcher na vipi watu wanaanza kuangalia jinsi ya kufanya renationalization....

 

Keyword ni Kuboresha na sio kuzigawa au kugawana mapato na wadau kutoka kwenye makamuzi ya wananchi
 
My Take
Afadhari jambo Hilo liketokea Zanzibar ila lingetojea huku Bara Hakuna Kauli au matusi Wadanganyika wangeacha kumshambulia Rais kisa tuu ni wa pande Ile.

Nawapongeza Wazanzibar Kwa kuwaza Nje ya Box Ili kukabiliana na utaoaji Huduma usio rafiki.

Lakini pia hakikisheni Ajira zinasimamiwa na sekta binafsi pia Ili Serikali ibakie kusimamaia viwango vya taaluma na utoaji Huduma.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-vC1EfCqnP/?igsh=bmQ2em8yZG83M3h5

Hili ni kosa kubwa sana sana , wala sio jambo la kushabikia , walipa kodi, afya zao zinakua mikononi mwa watu binafsi ,mbona hii ni kituko aisee
 
My Take
Afadhari jambo Hilo liketokea Zanzibar ila lingetojea huku Bara Hakuna Kauli au matusi Wadanganyika wangeacha kumshambulia Rais kisa tuu ni wa pande Ile.

Nawapongeza Wazanzibar Kwa kuwaza Nje ya Box Ili kukabiliana na utaoaji Huduma usio rafiki.

Lakini pia hakikisheni Ajira zinasimamiwa na sekta binafsi pia Ili Serikali ibakie kusimamaia viwango vya taaluma na utoaji Huduma.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-vC1EfCqnP/?igsh=bmQ2em8yZG83M3h5


..WATANGANYIKA tunaomba tusinyimwe ajira ktk sekta ya Afya Zanzibar.
 
Akiongea Visiwani Zanzibar leo August 16,2024 Mazrui amesema Wizara ya Afya imeingia makubaliano maalum ya uendeshaji na usimamizi na Sekta binafsi Ikiwemo EHN na TCL na kusisitiza kuwa Wizara ya Afya huo sio ubinafsishaji bali ni kuongeza ufanisi wa Hospitali hizo ikiwemo za Wilaya na za Mikoa ili Wananchi wapate huduma bora katika Visiwa hivyo ambako kwa miaka mingi huduma za Afya za Zanzibar ni bure kwa vipimo vyote huduma kubwa na ndogo.
Maana yake viongozi waliopo hawawezi kazi ila watu binafsi ndiyo wenye uwezo mkubwa zaidi wa kusimamia huduma za jamii, nashauri hata hiyo serikali wapewe haohao waiongoze
 
Watakao umia zaidi ni wananchi masikini tu.wao wachekelee tu Kwa Sasa lakini huko mbeleni watalia na kusaga meno
Ndo hivyo , hili ni kosa ka karne , kwa nini jeshi pamoja na kuwepo hospital za umma ila bado yupo na hospital zake, hii ipo na maana sana kinchi

Unakabidhi hosp za umma kwa mtu binafsi ,siku moja anaamuka hasubui anafunga huduma unafanyaje ,au anakuja na masharti magum ya kuumiza wananchi ,
Alietoa wazo hilo zanzibar hana hakili
 
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Mazrui ametangaza kuwa Hospitali zote Zanzibar zilizojengwa na Serikali ya Rais Dkt. Hussein mwinyi sasa rasmi zitasimamiwa na Sekta binafsi kwenye uendeshaji wake ili kuwe na huduma za kisasa na za Kimataifa.

Akiongea Visiwani Zanzibar leo August 16,2024 Mazrui amesema Wizara ya Afya imeingia makubaliano maalum ya uendeshaji na usimamizi na Sekta binafsi Ikiwemo EHN na TCL na kusisitiza kuwa Wizara ya Afya huo sio ubinafsishaji bali ni kuongeza ufanisi wa Hospitali hizo ikiwemo za Wilaya na za Mikoa ili Wananchi wapate huduma bora katika Visiwa hivyo ambako kwa miaka mingi huduma za Afya za Zanzibar ni bure kwa vipimo vyote huduma kubwa na ndogo.

"Tumebaini Wananchi wengi wanapenda kwenda Hospitali binafsi na wanapoteza fedha nyingi, wengine hawana wanaenda kwa Wafadhili wasaidiwe, kuwaondolea shida hiyo Wananchi sisi tunawalipa Sekta binafsi kwa niaba yao ili wapate huduma matibabu bila ya malipo, Watu wanatibiwa na kupata dawa zote na vipimo bila ya malipo yeyote na Serikali inawalipa Sekta binafsi wanaotoa huduma hizo" #Millard AyoUPDATES

My Take
Afadhari jambo Hilo liketokea Zanzibar ila lingetojea huku Bara Hakuna Kauli au matusi Wadanganyika wangeacha kumshambulia Rais kisa tuu ni wa pande Ile.

Nawapongeza Wazanzibar Kwa kuwaza Nje ya Box Ili kukabiliana na utaoaji Huduma usio rafiki.

Lakini pia hakikisheni Ajira zinasimamiwa na sekta binafsi pia Ili Serikali ibakie kusimamaia viwango vya taaluma na utoaji Huduma.👇👇
Yaani sikitu kizuri hata kwa dakika 1, yaani kama serikari ikianza kuingiza hiyo dira hata hiyo bima ya afya kwawote iliyoanza Zanzibar itaangikia pua. Hapa tulipofikia tumeshaona effects za kuigeuza afya biashara na nyie mnazidi kusindika hicho kitu, aisee aisee. Hao wenye hospitali watakuja na cost implications za kuwaletea faida wao kiasi ambacho watautafuna huo mfuko wa bima ya afya wa wote mpaka mshangae. Kwasababu wanajua wananchi hawana pakukimbilia wakiamua kupandisha huduma zao basi mfuko utatafunwa vibaya. Umeona Aga Khan kasitisha kupokea bima ila unajua gharama za kutibiwa Aga khan, ni 6,000 000 per one caesarean section wakati hio operesheni kwa laki 3 tu mtoto mama anaweza jifungua. Hapo ndio unaona Muhimbili inasema itacover gape la Aga khan kwasababu ipo chini ya serikari na imeboreshwa polepole stepwise. Yaani mnatoa mguu kwenye kuwadhibiti watoa huduma, watawatafuna na kuumaliza huo mfuko vibaya. Ni vema ukaboresha hospitali za serikari polepole basing on the level of the hospital ila sio kuzibinafsisha. Aisee, yetu macho.
 
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Mazrui ametangaza kuwa Hospitali zote Zanzibar zilizojengwa na Serikali ya Rais Dkt. Hussein mwinyi sasa rasmi zitasimamiwa na Sekta binafsi kwenye uendeshaji wake ili kuwe na huduma za kisasa na za Kimataifa.

Akiongea Visiwani Zanzibar leo August 16,2024 Mazrui amesema Wizara ya Afya imeingia makubaliano maalum ya uendeshaji na usimamizi na Sekta binafsi Ikiwemo EHN na TCL na kusisitiza kuwa Wizara ya Afya huo sio ubinafsishaji bali ni kuongeza ufanisi wa Hospitali hizo ikiwemo za Wilaya na za Mikoa ili Wananchi wapate huduma bora katika Visiwa hivyo ambako kwa miaka mingi huduma za Afya za Zanzibar ni bure kwa vipimo vyote huduma kubwa na ndogo.

"Tumebaini Wananchi wengi wanapenda kwenda Hospitali binafsi na wanapoteza fedha nyingi, wengine hawana wanaenda kwa Wafadhili wasaidiwe, kuwaondolea shida hiyo Wananchi sisi tunawalipa Sekta binafsi kwa niaba yao ili wapate huduma matibabu bila ya malipo, Watu wanatibiwa na kupata dawa zote na vipimo bila ya malipo yeyote na Serikali inawalipa Sekta binafsi wanaotoa huduma hizo" #Millard AyoUPDATES

My Take
Afadhari jambo Hilo liketokea Zanzibar ila lingetojea huku Bara Hakuna Kauli au matusi Wadanganyika wangeacha kumshambulia Rais kisa tuu ni wa pande Ile.

Nawapongeza Wazanzibar Kwa kuwaza Nje ya Box Ili kukabiliana na utaoaji Huduma usio rafiki.

Lakini pia hakikisheni Ajira zinasimamiwa na sekta binafsi pia Ili Serikali ibakie kusimamaia viwango vya taaluma na utoaji Huduma.👇👇
Hii sio sawa kbxa lazima
kuna vigogo wamesha tengeneza upigaji wameona njia rahisi ni kubinafsisha mali za umma
 
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Mazrui ametangaza kuwa Hospitali zote Zanzibar zilizojengwa na Serikali ya Rais Dkt. Hussein mwinyi sasa rasmi zitasimamiwa na Sekta binafsi kwenye uendeshaji wake ili kuwe na huduma za kisasa na za Kimataifa.

Akiongea Visiwani Zanzibar leo August 16,2024 Mazrui amesema Wizara ya Afya imeingia makubaliano maalum ya uendeshaji na usimamizi na Sekta binafsi Ikiwemo EHN na TCL na kusisitiza kuwa Wizara ya Afya huo sio ubinafsishaji bali ni kuongeza ufanisi wa Hospitali hizo ikiwemo za Wilaya na za Mikoa ili Wananchi wapate huduma bora katika Visiwa hivyo ambako kwa miaka mingi huduma za Afya za Zanzibar ni bure kwa vipimo vyote huduma kubwa na ndogo.

"Tumebaini Wananchi wengi wanapenda kwenda Hospitali binafsi na wanapoteza fedha nyingi, wengine hawana wanaenda kwa Wafadhili wasaidiwe, kuwaondolea shida hiyo Wananchi sisi tunawalipa Sekta binafsi kwa niaba yao ili wapate huduma matibabu bila ya malipo, Watu wanatibiwa na kupata dawa zote na vipimo bila ya malipo yeyote na Serikali inawalipa Sekta binafsi wanaotoa huduma hizo" #Millard AyoUPDATES

My Take
Afadhari jambo Hilo liketokea Zanzibar ila lingetojea huku Bara Hakuna Kauli au matusi Wadanganyika wangeacha kumshambulia Rais kisa tuu ni wa pande Ile.

Nawapongeza Wazanzibar Kwa kuwaza Nje ya Box Ili kukabiliana na utaoaji Huduma usio rafiki.

Lakini pia hakikisheni Ajira zinasimamiwa na sekta binafsi pia Ili Serikali ibakie kusimamaia viwango vya taaluma na utoaji Huduma.👇👇
Sijapata kuona majuha kama hawa. Waziri engineer mazrui naye kawa juha.
Badala ya serikali kuziendesha hizo hospitali leo tunawapa watu wengine kuziendesha na Serikali inazilipa hizo campony.
Ina onesha serikali haiwezi kuendesha chochote.
wamekwisha. mwinyi kesha pata donge lake.
 
Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Mazrui ametangaza kuwa Hospitali zote Zanzibar zilizojengwa na Serikali ya Rais Dkt. Hussein mwinyi sasa rasmi zitasimamiwa na Sekta binafsi kwenye uendeshaji wake ili kuwe na huduma za kisasa na za Kimataifa.

Akiongea Visiwani Zanzibar leo August 16,2024 Mazrui amesema Wizara ya Afya imeingia makubaliano maalum ya uendeshaji na usimamizi na Sekta binafsi Ikiwemo EHN na TCL na kusisitiza kuwa Wizara ya Afya huo sio ubinafsishaji bali ni kuongeza ufanisi wa Hospitali hizo ikiwemo za Wilaya na za Mikoa ili Wananchi wapate huduma bora katika Visiwa hivyo ambako kwa miaka mingi huduma za Afya za Zanzibar ni bure kwa vipimo vyote huduma kubwa na ndogo.

"Tumebaini Wananchi wengi wanapenda kwenda Hospitali binafsi na wanapoteza fedha nyingi, wengine hawana wanaenda kwa Wafadhili wasaidiwe, kuwaondolea shida hiyo Wananchi sisi tunawalipa Sekta binafsi kwa niaba yao ili wapate huduma matibabu bila ya malipo, Watu wanatibiwa na kupata dawa zote na vipimo bila ya malipo yeyote na Serikali inawalipa Sekta binafsi wanaotoa huduma hizo" #Millard AyoUPDATES

My Take
Afadhari jambo Hilo liketokea Zanzibar ila lingetojea huku Bara Hakuna Kauli au matusi Wadanganyika wangeacha kumshambulia Rais kisa tuu ni wa pande Ile.

Nawapongeza Wazanzibar Kwa kuwaza Nje ya Box Ili kukabiliana na utaoaji Huduma usio rafiki.

Lakini pia hakikisheni Ajira zinasimamiwa na sekta binafsi pia Ili Serikali ibakie kusimamaia viwango vya taaluma na utoaji Huduma.👇👇
Kuna harufu ya hela za kugharamia hayo matibabu bure zitatoka Tanganyika...wakati watanganyika wake zao wajawazito kupewa vidonge vya Fifo mtihani, wanaambiwa vimeisha wakanunue.
 
Back
Top Bottom