YaahAnzali Kanunii na Yule jamaa ya Amith Bachan.
Washiriki ama wasishiriki, ushindi ni lazima kwa CCM. Wakati wa kudekezana umeshapita. Demokrasia hii tumeiga kwa wazungu
Gharama za uchaguzi wa marudio ni bilioni 4.5 acha kudanganya wewe
SIPATI PICHA KAMA HAWATATUMA MAWAKALA KURA ZAO ATAHESABU NANI???
Washiriki ama wasishiriki, ushindi ni lazima kwa CCM. Wakati wa kudekezana umeshapita. Demokrasia hii tumeiga kwa wazungu
YEPI tena bwana Mulokozijr12 ?Sasa uombe msamaha kwa Mungu akusamehe kwa ulilokuwa umelifaya
Kumi na moja hawana mwakilishi Wala diwani!Vyama KUMI NA MBILI Vinashiriki kila la kheri uwe wa AMANI NA SALAMA
Hata uchaguzi tumeiga huko huko basi tuache tu vyote sababu hatuviwezi kabisaa, japo na elimu pia kuwa tumeiga huko huko kwa wazungu lakini haitusaidii kitu, nayo tuifute tu. Sababu wanao fanya hayo mambo ni wale wanaoitwa madokta na maprofesa.Washiriki ama wasishiriki, ushindi ni lazima kwa CCM. Wakati wa kudekezana umeshapita. Demokrasia hii tumeiga kwa wazungu
Sometimes timu pinzani isipofika uwanjani mechi inapigwa na "chandimu" timu ya watoto wa mtaani ambao hutumia mpira wa ndimu! Nimeona kina Sibida na Cheyo wamejitokeza, hao ndio chandimuLa busara ni Jecha kuwapa ushindi kutokana na timu pinzani kutofika uwanjani. Hili la kuendelea na mechi bila kushiriki timu pinzani sio kishekesho tu ni uwandazimu. Fungeni mabao hadi elfu ukweli unabaki pale pale hiyo siyo mechi.
Na udikteta tumeiga wapi..??Washiriki ama wasishiriki, ushindi ni lazima kwa CCM. Wakati wa kudekezana umeshapita. Demokrasia hii tumeiga kwa wazungu
Mzee VUTA-NIKUVUTE kwa jinsi ninavyo ona hali ya democrasia ya vyama vingi inavyo kwenda Afrika, nashauri kama bado kuna nchi hazijaingia kwenye mfumo huo, basi watakapo amua kuingia katika mfumo wa vyama vingi kile chama kilicho kuwa madarakani muda wote kifutwe wote waanze upya kusajili vyama vipya. Hapo watakua wamevunja mzizi wa vitina. Hata hapa Tanzania ilibidi kufuta CCM, wote tungeanza upya na vyama vipya, haya yote yasinge tokea. Lakini kwa sasaa inabidi CCM ivurugike kama KANU ndio kidogo tutaanza kuona mwanga, lakini hali iliyoko sasa ni giza tupu katika ulimwengu wa democrasia.Sasa ni dhahiri kuwa CUF hawatashiriki uchaguzi wa marejeo wa Jumapili ingawa majina ya magombea wao yatakuwemo kwenye karatasi za kupigia kura. ZEC ya Jecha ilishasema kuwa hakuna mgombea aliyejitoa kisheria.
Dodosa zangu za hapa Unguja na kule Pemba zinaonesha kuwa CUF hawatashiriki katika uchaguzi huo,ikiwa ni pamoja na kutotuma mawakala wakati na baada ya kupigwa kura. CUF pia imewasihi Wajumbe wa ZEC wanaotokana na chama hicho kujiweka mbali na uchaguzi wa marejeo.
Wakati huo huo,CCM imejipanga kila idara kushiriki uchaguzi wa Jumapili. Imesema kuwa haitishwi na maneno kuwa uchaguzi huo ni wa maruhani na kwamba watajichagua wenyewe kwenye maonesho ya mazingaombwe ya Jumapili. CCM ni mbele kwa mbele!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Unguja,Zanzibar)
Washiriki ama wasishiriki, ushindi ni lazima kwa CCM. Wakati wa kudekezana umeshapita. Demokrasia hii tumeiga kwa wazungu