monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 832
- 1,472
Habari wajuvi,
Natumia sony xperial Z2 yenye android marshmallow nashidwa kabisa kuielewa (kuifurahia) android marshmallow maana nikijaribu kuroot kwa kingroot au kingoroot inakataa na mimi bila kuroot simu sioni raha ya simu kabisa
Hivyo basi kwa yeyote anayefahamu jinsi ya kuback android lollipop au kuroot simu yenye android marshmallow msaada tafadhali
Natumia sony xperial Z2 yenye android marshmallow nashidwa kabisa kuielewa (kuifurahia) android marshmallow maana nikijaribu kuroot kwa kingroot au kingoroot inakataa na mimi bila kuroot simu sioni raha ya simu kabisa
Hivyo basi kwa yeyote anayefahamu jinsi ya kuback android lollipop au kuroot simu yenye android marshmallow msaada tafadhali