laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,754
we mpuuzi wamefungwaje kwenye tvMtu ametekwa amefungwa kwenye TV alafu Bashite anakudanganya uandamane eti ndiyo utapata mauzo ya movie zako.
we zuzu sasa hiyo kamba utakataje wakati watkaji wako mbele yao acha upumbavukamba ya kufungia kuku ndo wamefingiwa binadamu alafu hawqwez kata et wakat hata kuku jogoo akiamua anakata... they cant be serious
wanaotekwa kweni hawakai kwenye sofa we jinga kweliNa wapo kwenye sofa kabisa..hahaha
acha kushabikia upuuzi wa wazungu kuwa mzalendo huna akili kabisaNiache kuitafuta Fast furious 8
acha ujinga wewe mbona wako sawa tuHawa hawajatekwa wametekenywa***
Wamefungwa kwenye sofa ambalo hata ukilitia kofi lina chanika hahaha na FLAT SCREEN NYUMA alafu WANAANDAMANA
Yaani hata usemeje Siwapi support ng'oo... bora niangalie zangu Series za nje ya nchi..wanaotekwa kweni hawakai kwenye sofa we jinga kweli
hata kama wako mbele mtu anaweza akakata na akamvamia kama kawa au huwa unashiriki nini kwenye huu upupuwe zuzu sasa hiyo kamba utakataje wakati watkaji wako mbele yao acha upumbavu
Teh teh tehMtu ametekwa amefungwa kwenye TV alafu Bashite anakudanganya uandamane eti ndiyo utapata mauzo ya movie zako.
Acha ujinga wewe! Huoni tatizo hapo?! Kuwa ccm lazima uvae ujinga?!achene upuuzi nyie mbona wako sawa tu kuweni wazalendo nyau nyie
Uzalendo haulazimishwi hata siku moja...!!acha kushabikia upuuzi wa wazungu kuwa mzalendo huna akili kabisa