Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,670
- 6,545
Yanga inao mlima wakupanda kuhakikisha inawafunga goli mbili kwa 0 USM Alger ili iweze kuibuka bingwa kunako michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa. Hilo ni Jambo gumu kutokea lakini kila la kher Yanga
Utabiri wangu FT USM Alger Vs Yanga FT 0-1
Utabiri wangu FT USM Alger Vs Yanga FT 0-1