Yanga kung’oa Kocha Singida na benchi zima la ufundi

Smart codetz

JF-Expert Member
Jan 25, 2023
211
828
Yanga SC baada ya kuvunja mkataba na Sead Ramovic,

Sasa ni zamu ya Hamdi Miloud kutoka Singida BS kutua kwa wananchi.

Yanga wanamchukua kocha mkuu wa Singida BS na benchi lake lote.

IMG_2665.jpeg
 
Katolewa Branch Office ya Singida kapelekwa Main Office ya Gongowazi .
Katolewa kwa Bakari Ali kapelekwa kwa Beka Ali.
 
Back
Top Bottom