Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,544
- 52,668
Utatembea bila nguo zote au baadhi ya nguo? Na utafanya hivyo ukiwa na akili timamu au utakuwa umepungukiwa akili kwa kufungwa???Mtani ondoa azma hiyo,vijana wanateleza kama kambale!Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Na uje hapa hapa utuonyeshe utupu wako. Lazima mkae Ngada FCKwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
mkuu poleUnatafuta sababu tu ujifanye umejikwaa ili uanguke kifudifudi. Tunakujueni watu aina yenu.
Anza kabisaKwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Bado nina.imani na Barcelona ila jiangalieni Napoli sio watu wazur msije shangaa BARCA anapita Madrid anakwenda njeNikupe pole wewe uliyetolewa kwenye champions league