Yamebaki majengo machache sana yaliyobaki wima Gaza. Sasa wanapiga mahema na vita havijaisha

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
9,644
15,141
Ukiona jengo limesimama basi ujue limeshapigwa na limejaa nyufa na wakati wowote litabomolewa kutoka angani.

1745135042660.png
 
Matumizi ya Nguvu katika karne hii ni ukosefu wa Hekima:
Maamuzi mabovu ndio chanzo cha vita:
Kama jamii haina busara vita havitaisha:
Hamas wanatakiwa kujisalimisha na kuomba Amani:
Kuburi cha Hamasi kitaingamiza Gaza moja kwa moja:
Gaza itageuzwa kifusi cha mchanga na kokoto
Sijui kuna faida gani hapo:
 
Matumizi ya Nguvu katika karne hii ni ukosefu wa Hekima:
Maamuzi mabovu ndio chanzo cha vita:
Kama jamii haina busara vita havitaisha:
Hamas wanatakiwa kujisalimisha na kuomba Amani:
Kuburi cha Hamasi kitaingamiza Gaza moja kwa moja:
Gaza itageuzwa kifusi cha mchanga na kokoto
Sijui kuna faida gani hapo:
Ukizungumza kiburi usisahau cha mayahudi.Kwamba uwavunjie watu majumba yao na kuwaua halafu uanawaambia wajisalimishe.
Kama umejihakikishia kubaki mpaka mwisho ili ugeuze majumba yao kokoto sawa.Lakini kama wewe ni kiumbe kama wao ujue hutafikia lengo hilo.
 
Wapalestina wako darasani na inatakiwa wajifunze wajue kwamba ugaidi haulipi na kama wanataka kuishi wakome kufanya vitendo vya kigaidi kwani itafanya wamalizwe wote.

Waachane kabisa na Iran kwani inawadanganya na haiwezi kuwasaidia na vivyo hivyo kwa magaidi wa Hamas ambao wanawaponza kwa kuwadanganya kwamba wakifa wakifanya ugaidi eti wanaenda akhera kupewa mabikra 72. Bure kabisa.
 
Ukizungumza kiburi usisahau cha mayahudi.Kwamba uwavunjie watu majumba yao na kuwaua halafu uanawaambia wajisalimishe.
Kama umejihakikishia kubaki mpaka mwisho ili ugeuze majumba yao kokoto sawa.Lakini kama wewe ni kiumbe kama wao ujue hutafikia lengo hilo.
Nasema Hamas wakubali kuwa wameshindwa vita.
Pia waseme tu kuwa wale mateka wamefariki.
Ili vita visitishwe:

Au Mkuu unapenda vita viendelee tu ?
 
Nasema Hamas wakubali kuwa wameshindwa vita.
Pia waseme tu kuwa wale mateka wamefariki.
Ili vita visitishwe:

Au Mkuu unapenda vita viendelee tu ?
Wao wanawajua sana wanaopigana nao kuliko wewe.Hivyo hata wakikubali haina maana yoyote na ni hatari zaidi kwao kuliko kukomaa mpaka dakika ya mwisho.
 
Ukiona jengo limesimama basi ujue limeshapigwa na limejaa nyufa na wakati wowote litabomolewa kutoka angani.

Lakini nikikumbuka vema, mwanzo wa huzi vita, sisi tuliwapa moyo sana hawa wenzetu katika Imani na kwamba vita hivyo, Mungu Allah yuko nyuma yao na hakika watashinda

Sasa sijui ni nini kifanyike tena mkuu
 
Kwa hali ilivyo na jinsi mipango ya utekelezaji ilivo, siioni tena GAZA ya Wapalestina, Wapalestina ndio wamehamishwa kabisa kwenye mji wao, kwasasa Gaza is either itakua tu sehemu ya utalii (kama pendekezo la Trump ) au makazi mapya ya Wayahudi, nje ya hapo HAKUNA. Now I can see, kama Hamas itaendelea kuwepo then itakua ina operate by remote, itakua mbali la ardhi hiyo ya Palestine/Israel. Alaaniwe yule mleta wazo la shambulizi la October 07, 2023. Ndio kasababisha yote haya. Poor Palestinians
 
Back
Top Bottom