Yahya Sinwar baada ya kuwaponyoka Israel aibuka na kusema Hamas imeshaua zaidi ya elfu askari wa IDF

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
8,796
14,131
Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

1703522389716.png
 
Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

View attachment 2852930
Kuna watu wanaandaa mipango alaf wanaitekeleza mpaka unashangaa wanawezaje
 
Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

View attachment 2852930
Nasikia wamekamata viatu vyake vya chooni wakafanya sherehe kubwa
 
Israhell mara hii mnalo
Yaani ndio kwaanza hamas wanakiwasha safi sana
Mazayuni yapigwe mpaka yachakae mauaji ya watoto na wa mama wasiokua na hatia
Wanalo kweli.
hawakujua kabisa kama vita vitaingia mwezi wa tatu.
Wanapigana na watu wenye njaa na wamewanyima maji na hawakati tamaa na bado wanaonekana ndio wamekuwa wakali zaidi.Hakuna maelezo isipokuwa safari hii wanalo na litawamaliza kwa uwezo wa Allah.
Wakiziba huku kunazibuka kwengine kabisa.Ndio tabia ya mafuriko.yalivyo.
 
Jamaa unateseka sana ustaadh
waislam wote hatulali usingizi kwa sababu wale ni ndugu zetu wanauliwa na kupokonywa makazi yao, na kwa mujibu wa dini yetu adui akikuvamia kwenye ardhi yako hakuna chaguo amekuachia isipokuwa ni jihad hadi atoke nje ya ardhi ya waislam
 
Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

View attachment 2852930
Vita vya hivi mshindi anajulikana ni suala la muda tu.
 
Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

View attachment 2852930
Netanyau hajifichi , kwann Sinwar anajificha ?
 
Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo .havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

View attachment 2852930
Kinachoendelea Gaza kila mwenye macho anaona.
Jana israel imeua gaidi la iran hujo syria lenye cheo cha brigedia jenerali
Vifo vimefikia ekfu 21 huku zaidi ya elfu 50 wakijeruhiwa. Kila jengo iimebomolewa. Netanyahu amesema vita haisimami.
 
Back
Top Bottom