Yaani kwa sasa Happi na Richard Kasesela ni Mabosi wa Mchungaji Msigwa, Dunia ina uonezi sana

Msigwa h
Kuna Wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mbunge alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli Sema kwa bahati Salim ASAS akawaambia

Leo ndio hivyo tena Mchungaji Msigwa anaripoti kwa Komredi Kasesela Mnec

Dunia simama nishuke

Mlale Unono ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ”ฅ
ajitambui
 
Kuna Wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mbunge alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli Sema kwa bahati Salim ASAS akawaambia

Leo ndio hivyo tena Mchungaji Msigwa anaripoti kwa Komredi Kasesela Mnec

Dunia simama nishuke

Mlale Unono ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ”ฅ
Ila CCM makatili sana Msigwa alijifanya mgumu walimteka wakamafanyia yale mabo huku wanamrekodi kisha kawekewa hela akaambiwa achague kuingia CCM na hela achukue au akaze fuvu wazimwage hizo picha wakatia wanakunjua mikunjo yake akawa hana jinsi , akapewa muda wa kupona kisha akaripoti kwa Nchimbi kudadadadeq leo hii kada anaitukana Chadema na Mbowe kama hana akili nzuri huku vijana wanamcheka wanamuona ni demu wao tu
 
Kuna Wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mbunge alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli Sema kwa bahati Salim ASAS akawaambia

Leo ndio hivyo tena Mchungaji Msigwa anaripoti kwa Komredi Kasesela Mnec

Dunia simama nishuke

Mlale Unono ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ”ฅ
Nilikuwepo siku ile Kasesela alikaribia kumbutua huyu ngedere Peter Msigwa
 
Acha unafiki wako wewe.Mnafiki sana wewe Mzee.
Lucas usibishe hilo tukio ni kweli lilitokea tumbili alikuwa mkali alijaribu kumkabili kabisa Kasesela naye Richard hasira zilimpanda akataka kumkata makofi watu wakaamulia, ngoja niitafute hiyo video nikuwekee mdogo wangu Tomaso.
 
Imani yangu siasa haijawahi kuwa na adui wakudumu wala haijawahi kuwa na rafiki wa kudumu,funzo kila mtu asimamie analoliamini,siasa ni ideologies wala sio kabila kwamba mtu hawezi badili mtazamo,Ngozi tu inachubuliwa kuwa white from blackish sembuse kuhama chama
 
Kuna Wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mbunge alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli Sema kwa bahati Salim ASAS akawaambia

Leo ndio hivyo tena Mchungaji Msigwa anaripoti kwa Komredi Kasesela Mnec

Dunia simama nishuke

Mlale Unono ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ”ฅ
Si nasikia msigwa kalipwa $500000
 
Kuna Wakati Mchungaji Msigwa akiwa Mbunge alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli Sema kwa bahati Salim ASAS akawaambia

Leo ndio hivyo tena Mchungaji Msigwa anaripoti kwa Komredi Kasesela Mnec

Dunia simama nishuke

Mlale Unono ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ”ฅ
Ukiweka njaa mbele utatawaliwa hata na mbwa
 
Back
Top Bottom