Ya Mohamed Mwameja na ubora wa Shule za Kayumba katika kuwaandaa watoto na maisha halisi

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
16,076
29,753
Mwameja Mohamed Mwameja ni moja kati ya makipa bora kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya soka la Tanzania.

Akifanya mahojiano na BIN Zubeir @ Azam Tv, aliulizwa swali nini siri ya ubora wa hali ya juu alio kuwa nao langoni.

Majibu ya Mwameja: "Nilikuwa nafanya mazoezi magumu kuliko mechi. Mazoezi yalikuwa ni magumu mara kumi ya mechi. So nilikuwa nikiingia kwenye mechi nilikuwa naiona nyepesi sana kwa sababu nilikuwa tayari nimefanya mazoezi ambayo ni magumu mara kumi ya mechi."

Kauli ya Mwameja, inafanana na kauli ya Miyamoto Musashi, mpiganaji wa kutumia Upanga ( Sword's man) wa Kijapani alieishi miaka ya 1500 ambae mpaka sasa rekodi yake katika sanaa ya mapigano kwa kutumia upanga, haijakaribiwa na yoyote.

Miyamoto Musashi alipigana mapigano ya upanga yapatayo 62 na alishinda yote. Na kwa wasio jua, mapigano ya upanga ni " a do or die" game.

Miyamoto Musashi ambae pia alikuwa strategist na mwandishi, aliwahi kuandika kitabu na ndani akasema kwamba "YOU WILL ALWAYS FIGHT THE WAY YOU PRACTISED".

Ukipractice kizembe hata kwenye maisha utafight kizembe. Na ukifight kizembe utafeli.

Ndio maana hata jeshini mafunzo ya kuwaandaa Raia kuwa wanajeshi huwa yanakuwaga makali sana ili kuwaandaa kuwa wanajeshi halisi.

Back to Kayumba Schools. Wengi wanao ziponda Kayumba wanasema eti zina mazingira magumu.

Sasa jamani mazingira magumu si ndio yanamjenga na kumuandaa mtoto kuweza kuthrive kwenye maisha halisi?

English Mediums kila kitu watoto wanatafuniwa tofauti na Kayumba ambako mtoto anatakiwa kufight mwenyewe. Mwisho wa siku huyu wa Kayumba anapokuja kwenye maisha halisi anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kukabiliana na changamoto halisi za maisha kuliko huyu wa shule za private ambae yeye amejengwa katika misingi ya kufanyiwa wepesi kwenye kila jambo. (Eti hadi homework huwa wanasaidiwa na wazazi)

Muulize mtu anae struggle kuwasomesha watoto wake kwenye shule za EM, anacho lipia huwaga ni kitu gani haswa?

Analipia mchakato (THE process) au analipia matokeo (the end product/kwa maana ya what will his child become after school)..

Pelekeni watoto wenu Kayumba.

# Making Kayumba Schools Great Again. ( MAKAGA CAMPAIGN)
 
Hoja yako ina mashiko lakini jambo la msingi zaidi ni kwamba hayo ambayo umeyataja inatakiwa iwe ni jukumu la mzazi kumuandaa mtoto na sio shule.

Mambo ya kuwajibika kwa mtoto inatakiwa ayafanye mzazi kumpa majukumu mwanawe kule nyumbani.

Shuleni ibaki kuchukua elimu tu.
 
Hoja yako ina mashiko lakini jambo la msingi zaidi ni kwamba hayo ambayo umeyataja inatakiwa iwe ni jukumu la mzazi kumuandaa mtoto na sio shule.

Mambo ya kuwajibika kwa mtoto inatakiwa ayafanye mzazi kumpa majukumu mwanawe kule nyumbani.

Shuleni ibaki kuchukua elimu tu
Nakubaliana na wewe.

Halafu Elimu ni ishu ya brain 🧠.
 
Wenye Hela wanapeleka watoto international school, na WA kati wanapeleka EM.

Kajampa nani watoto wetu tunasomesha kayumba. Usijifariji mkuu, kubali huna Hela.
Na hilo ndio kosa la mleta uzi. Anapambana kweli na kampeni yake ya kupeleka watoro Kayumba. Apeleke wake inatosha wetu tutawapandisha gari la njano.
 
Bongo bhana yani role model km huyo anaunga juhudi watt kusoma mazingira magumu only in africa mtt wa kiafrika aende shule km anaenda kazin hii hapana kwa kweli na dharau kwa elimu yetu
 
Mwameja Mohamed Mwameja ni moja kati ya makipa bora kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya soka la Tanzania.

Akifanya mahojiano na BIN Zubeir @ Azam Tv, aliulizwa swali nini siri ya ubora wa hali ya juu alio kuwa nao langoni.

Majibu ya Mwameja: "Nilikuwa nafanya mazoezi magumu kuliko mechi. Mazoezi yalikuwa ni magumu mara kumi ya mechi. So nilikuwa nikiingia kwenye mechi nilikuwa naiona nyepesi sana kwa sababu nilikuwa tayari nimefanya mazoezi ambayo ni magumu mara kumi ya mechi."

Kauli ya Mwameja, inafanana na kauli ya Miyamoto Musashi, mpiganaji wa kutumia Upanga ( Sword's man) wa Kijapani alieishi miaka ya 1500 ambae mpaka sasa rekodi yake katika sanaa ya mapigano kwa kutumia upanga, haijakaribiwa na yoyote.

Miyamoto Musashi alipigana mapigano ya upanga yapatayo 62 na alishinda yote. Na kwa wasio jua, mapigano ya upanga ni " a do or die" game..

Miyamoto Musashi ambae pia alikuwa strategist na mwandishi, aliwahi kuandika kitabu na ndani akasema kwamba " YOU WILL ALWAYS FIGHT THE WAY YOU PRACTISED ".

Ukipractice kizembe hata kwenye maisha utafight kizembe. Na ukifight kizembe utafeli.

Ndio maana hata jeshini mafunzo ya kuwaandaa Raia kuwa wanajeshi huwa yanakuwaga makali sana ili kuwaandaa kuwa wanajeshi halisi.


Back to Kayumba Schools. Wengi wanao ziponda Kayumba wanasema eti zina mazingira magumu.

Sasa jamani mazingira magumu si ndio yanamjenga na kumuandaa mtoto kuweza kuthrive kwenye maisha halisi?

English Mediums kila kitu watoto wanatafuniwa tofauti na Kayumba ambako mtoto anatakiwa kufight mwenyewe. Mwisho wa siku huyu wa Kayumba anapokuja kwenye maisha halisi anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kukabiliana na changamoto halisi za maisha kuliko huyu wa shule za private ambae yeye amejengwa katika misingi ya kufanyiwa wepesi kwenye kila jambo. ( Eti hadi homework huwa wanasaidiwa na wazazi)



Muulize mtu anae struggle kuwasomesha watoto wake kwenye shule za EM , anacho lipia huwaga ni kitu gani haswa?


Analipia mchakato ( THE process) au analipia matokeo ( the end product/kwa maana ya what will his child become after school)...

Pelekeni watoto wenu Kayumba.

# Making Kayumba Schools Great Again. ( MAKAGA CAMPAIGN)
Mimi wanangu wapo EM na wapo strong zaidi ya makayumba na kazi wanafanya mno za home kuliko makayumba. Na wanajitambua kweli male wanamalezi yote. Wambie watu watafute pesa kaka
 
Mwameja Mohamed Mwameja ni moja kati ya makipa bora kabisa kuwahi kutokea kwenye historia ya soka la Tanzania.

Akifanya mahojiano na BIN Zubeir @ Azam Tv, aliulizwa swali nini siri ya ubora wa hali ya juu alio kuwa nao langoni.

Majibu ya Mwameja: "Nilikuwa nafanya mazoezi magumu kuliko mechi. Mazoezi yalikuwa ni magumu mara kumi ya mechi. So nilikuwa nikiingia kwenye mechi nilikuwa naiona nyepesi sana kwa sababu nilikuwa tayari nimefanya mazoezi ambayo ni magumu mara kumi ya mechi."

Kauli ya Mwameja, inafanana na kauli ya Miyamoto Musashi, mpiganaji wa kutumia Upanga ( Sword's man) wa Kijapani alieishi miaka ya 1500 ambae mpaka sasa rekodi yake katika sanaa ya mapigano kwa kutumia upanga, haijakaribiwa na yoyote.

Miyamoto Musashi alipigana mapigano ya upanga yapatayo 62 na alishinda yote. Na kwa wasio jua, mapigano ya upanga ni " a do or die" game..

Miyamoto Musashi ambae pia alikuwa strategist na mwandishi, aliwahi kuandika kitabu na ndani akasema kwamba " YOU WILL ALWAYS FIGHT THE WAY YOU PRACTISED ".

Ukipractice kizembe hata kwenye maisha utafight kizembe. Na ukifight kizembe utafeli.

Ndio maana hata jeshini mafunzo ya kuwaandaa Raia kuwa wanajeshi huwa yanakuwaga makali sana ili kuwaandaa kuwa wanajeshi halisi.


Back to Kayumba Schools. Wengi wanao ziponda Kayumba wanasema eti zina mazingira magumu.

Sasa jamani mazingira magumu si ndio yanamjenga na kumuandaa mtoto kuweza kuthrive kwenye maisha halisi?

English Mediums kila kitu watoto wanatafuniwa tofauti na Kayumba ambako mtoto anatakiwa kufight mwenyewe. Mwisho wa siku huyu wa Kayumba anapokuja kwenye maisha halisi anakuwa na uwezo mkubwa sana wa kukabiliana na changamoto halisi za maisha kuliko huyu wa shule za private ambae yeye amejengwa katika misingi ya kufanyiwa wepesi kwenye kila jambo. ( Eti hadi homework huwa wanasaidiwa na wazazi)



Muulize mtu anae struggle kuwasomesha watoto wake kwenye shule za EM , anacho lipia huwaga ni kitu gani haswa?


Analipia mchakato ( THE process) au analipia matokeo ( the end product/kwa maana ya what will his child become after school)...

Pelekeni watoto wenu Kayumba.

# Making Kayumba Schools Great Again. ( MAKAGA CAMPAIGN)
Kama uliishi vibaya, kwa wanao jirekebishe.
Halafu ni hali tu ya Uchumi wa nchi, wewe unadhani serikali yenyewe haitamani kuzi upgrade hizo shule za Kayumba? Fuatilia shule kama Bunge, Olympio na Diamond, unadhani serikali ikipata opportunity haitataka kuondoa shule zake kutoka levels za Kayumba? Fuatilia shule zinazojengwa hivi sasa.
Hakuna cha kujivunia kule Kayumba, maana yale ni matokeo ya kukwama, ingawa pia nakubaliana na wewe kwamba kwenye hizo EM zenu ujinga ni mwingi, hakuna value for money.
Kusali kwa Gwajima (Mkono wa baunsa), Mwamposa, Lusekelo na wengineo hakuna tofauti na kupeleka mtoto kwenye hizo EM.
 
Hoja yako ina mashiko lakini jambo la msingi zaidi ni kwamba hayo ambayo umeyataja inatakiwa iwe ni jukumu la mzazi kumuandaa mtoto na sio shule.

Mambo ya kuwajibika kwa mtoto inatakiwa ayafanye mzazi kumpa majukumu mwanawe kule nyumbani.

Shuleni ibaki kuchukua elimu tu
Shule inapaswa kumfundisha mtoto maadili na maarifa, mzazi anajazilishia tu. Shule isipoweza kufanya hivi, inakuwa imeshindwa kwenye jukumu lake la msingi.
 
Shule inapaswa kumfundisha mtoto maadili na maarifa, mzazi anajazilishia tu. Shule isipoweza kufanya hivi, inakuwa imeshindwa kwenye jukumu lake la msingi.
Usihamishe majikumu ya wazazi ukawapa waalimu,hiyo haipo.

Wanafunzi 70 mwalimu mmoja hawezi kuhandle watoto wote.

Tuache shule iwe na jukumu la kutoa elimu,mzazi nyumbani ndio awe na jukumu la kuwashape watoto vipi wawe.
 
We unajikimbiza mwenyewe na kivuli chako , kama unaona kayumba ni bora mpeleke mwanao huna haja ya kuanzisha nyuzi kila kukicha , unataka kumuaminisha nani na ili iweje kila mtu ajikune anakofikia.
Huyo alikuwa mganga wa kienyeji na tapeli mmoja hapo Dar sasa ameshtukiwa na kwa kuwa hana kipato tena anajifariji humu kwa kuwapeleka wanae Kayumba.

Msamehe tu mkuu.
 
Hoja yako ina mashiko lakini jambo la msingi zaidi ni kwamba hayo ambayo umeyataja inatakiwa iwe ni jukumu la mzazi kumuandaa mtoto na sio shule.

Mambo ya kuwajibika kwa mtoto inatakiwa ayafanye mzazi kumpa majukumu mwanawe kule nyumbani.

Shuleni ibaki kuchukua elimu tu.
Muda mwingi mtoto anautumia akiwa shuleni usilisahau lakini. Hata hivyo hoja yako ni mashiko..mzazi lazima uwe ndio mwalimu wa kwanza kwa watoto wako.
 
Wenye Hela wanapeleka watoto international school, na wa kati wanapeleka EM.

Kajampa nani watoto wetu tunasomesha kayumba. Usijifariji mkuu, kubali huna Hela.
Kuwa na hela ni kitu kingine. Na jinsi ya kuzitumia ni kitu kingine.

Ndio maana wewe unaweza kuwa unamuhonga demu gari, mamilioni, etc halafu Mimi demu huyo huyo nikawa simpi hata shilingi mia 2, na akawa anaifinyia hadi kwa ndani.

Hapo tofauti kati yangu Mimi na wewe ni akili na sio utajiri.

Wewe ni fala ndio maana unatozwa hela nyingi na Mimi sio fala ndio maana sitozwi hata senti 5.

Yes unaweza kuwa unasota kupeleka vimilioni vyako kwenye shule ya EM kwa sababu tu ya ufala wako na sio kwa sababu uko na hela. Kwa sababu unacho kilipia wala hata hakina thamani hiyo.


No value for money .

Mimi ninaesomesha Kayumba naweza kuwa na advantage kubwa zaidi Mimi pamoja na watoto wangu kuliko wewe na watoto wako.
 
We unajikimbiza mwenyewe na kivuli chako , kama unaona kayumba ni bora mpeleke mwanao huna haja ya kuanzisha nyuzi kila kukicha , unataka kumuaminisha nani na ili iweje kila mtu ajikune anakofikia.
Nyuzi ntaendelea kuziweka kaka. Ninaungwa mkono na watu wengi sana now wameujua ukweli wanawarudisha wato wao Kayumba.. . Wewe endelea kupunwa na Wamiliki wa English Mediums. Unastahili kupunwa kwa sababu Siku zote bwege ndio anae tozwa( Bwege mtozeni) Muda ukifika utakuja kuelewa tu.
 
Back
Top Bottom