Xie Xiamao aka Celine, amehukumiwa kulipa faini Tsh. milioni 2 kwa kufanya biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na kibali

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
3,293
12,886
RAIA wa China, Xie Xiamao maarufu Celine, amehukumiwa kulipa faini sh. milioni mbili au kwenda jela miaka mitano , baada ya kutiwa hatiani kwa shtaka la kufanya biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na kibali.

Hukumu hiyo imetolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim Mushi, baada ya mshitakiwa huyo kusomewa shtaka hilo kisha kukiri kosa.

," Mshitakiwa ninamtia hatiani kama alivyoshitakiwa na amekiri mwenyewe kwani hajaisumbua Mahakama kutokana na kukiri kwake.

Aliongeza," hivyo adhabu yake ni kulipa faini sh. milioni mbili na akishindwa atatumikia kifungo cha miaka mitano jela , fedha alizokamatwa nazo zitaifishwa ziwe mali ya Serikali," alisema.

Hata hivyo, mshitakiwa alifanikiwa kulipa faini ya sh. milioni mbili na kuepuka adhabu ya kwenda jela miaka mitano.

Kabla ya kupewa adhabu hiyo Wakili wa utetezi Mrisho Mrisho aliiomba Mahakama impunguzie adhabu mshtakiwa kwasababu ni mkosaji wa mara ya kwanza.

Awali, Wakili wa Serikali Mwandamizi Christine Joas alimsomea mshitakiwa shtaka linalomkabili.

Mshitakiwa alitenda kosa hilo kati ya Januari na Mei 16, mwaka huu eneo la Supermarket ya Peninsula iliyoko Oysterbay Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.

Raia huyo alifanya biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na leseni kutoka Benki Kuu ya Tanzania( BoT), ambapo alikutwa na sh milioni 16,797,000, USD 64,255 na fedha za China 500.
 
Kwao china ananyongwa asubuhi bila kwenda mahakamani
Sio kweli. Kwao pia wanafanya magendo. Mwaka 2010 nilinunua simu aina ya sony erickson jijini beijing ndani ya suprmarket. Nilikuwa sina pesa zao nikawalipa kwa Us dolar. Hiyo supermarket haibadilish dola. Hivyo magendo ipo tu karibu kila mahala duniani kama biashara ya uchangudoa.
 
Sio kweli. Kwao pia wanafanya magendo. Mwaka 2010 nilinunua simu aina ya sony erickson jijini beijing ndani ya suprmarket. Nilikuwa sina pesa zao nikawalipa kwa Us dolar. Hiyo supermarket haibadilish dola. Hivyo magendo ipo tu karibu kila mahala duniani kama biashara ya uchangudoa.
what is your argument? nani kasema kwao hakuna magendo? Nimesema kwao akipatikana na pesa hiyo ananyongwa bila kwenda mahakamani, maana hapashwi kuwa na pesa hiyo by whatever means!
 
RAIA wa China, Xie Xiamao maarufu Celine, amehukumiwa kulipa faini sh. milioni mbili au kwenda jela miaka mitano , baada ya kutiwa hatiani kwa shtaka la kufanya biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na kibali.

Hukumu hiyo imetolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim Mushi, baada ya mshitakiwa huyo kusomewa shtaka hilo kisha kukiri kosa.

," Mshitakiwa ninamtia hatiani kama alivyoshitakiwa na amekiri mwenyewe kwani hajaisumbua Mahakama kutokana na kukiri kwake.

Aliongeza," hivyo adhabu yake ni kulipa faini sh. milioni mbili na akishindwa atatumikia kifungo cha miaka mitano jela , fedha alizokamatwa nazo zitaifishwa ziwe mali ya Serikali," alisema.

Hata hivyo, mshitakiwa alifanikiwa kulipa faini ya sh. milioni mbili na kuepuka adhabu ya kwenda jela miaka mitano.

Kabla ya kupewa adhabu hiyo Wakili wa utetezi Mrisho Mrisho aliiomba Mahakama impunguzie adhabu mshtakiwa kwasababu ni mkosaji wa mara ya kwanza.

Awali, Wakili wa Serikali Mwandamizi Christine Joas alimsomea mshitakiwa shtaka linalomkabili.

Mshitakiwa alitenda kosa hilo kati ya Januari na Mei 16, mwaka huu eneo la Supermarket ya Peninsula iliyoko Oysterbay Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.

Raia huyo alifanya biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na leseni kutoka Benki Kuu ya Tanzania( BoT), ambapo alikutwa na sh milioni 16,797,000, USD 64,255 na fedha za China 500.
Duh!.........ingekuwa kwao huyu kitanzi :D :D
 
Hivi ingekua ndio mTanzania katenda kosa linalo fanana na hilo huko China, hukumu inhekuaje??
Kutoka na reference ya GEMINI AI

Adhabu kwa Mtanzania anayekamatwa akisambaza au kuuza magendo nchini China itategemea mambo kadhaa, kama vile aina ya bidhaa haramu, kiasi cha bidhaa, na kama kuna hali mbaya zinazohusiana na kosa hilo.
Kwa ujumla, adhabu zinaweza kujumuisha:
* Faini: Faini hizi zinaweza kuwa kubwa sana, hasa kwa makosa makubwa ya magendo.
* Kifungo: Kifungo cha jela kinaweza kutolewa, hasa kwa makosa makubwa au mara kwa mara ya magendo. Muda wa kifungo unaweza kutofautiana kulingana na ukali wa kosa.
* Kufukuzwa nchini: Watu wa kigeni wanaokamatwa wakifanya magendo wanaweza kufukuzwa nchini China.
* Adhabu ya ziada: Katika baadhi ya matukio, adhabu za ziada kama vile kupoteza mali au kufungwa biashara zinaweza kutolewa.
Katika baadhi ya matukio mabaya, kama vile kusafirisha dawa za kulevya kwa kiasi kikubwa, adhabu ya kifo inaweza kutumika.
Ni muhimu kutambua kuwa sheria za China kuhusu magendo ni kali sana, na raia wa kigeni hawapati kinga yoyote maalum. Ikiwa unafikiria kusafiri kwenda China, ni muhimu sana kujielimisha kuhusu sheria za nchi hiyo kuhusu magendo na kuepuka kujihusisha na shughuli yoyote haramu.
Hapa kuna baadhi ya nyenzo za ziada ambazo zinaweza kuwa na manufaa:
* Sheria ya Jamhuri ya Watu wa China Kuhusu Udhibiti wa Bidhaa Haramu: All Items
* Tovuti ya Ubalozi wa Tanzania nchini China: Embassy of the United Republic of Tanzania Beijing, China
* Maelezo kuhusu Magendo nchini China kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani: U.S. recommends Americans reconsider traveling to China due to arbitrary law enforcement and exit bans
Ni muhimu kukumbuka kuwa taarifa hii haikusudiwi kuwa ushauri wa kisheria. Unapaswa kushauriana na wakili aliyehitimu ikiwa una maswali yoyote kuhusu sheria za China kuh
usu magendo.
 
RAIA wa China, Xie Xiamao maarufu Celine, amehukumiwa kulipa faini sh. milioni mbili au kwenda jela miaka mitano , baada ya kutiwa hatiani kwa shtaka la kufanya biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na kibali.

Hukumu hiyo imetolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim Mushi, baada ya mshitakiwa huyo kusomewa shtaka hilo kisha kukiri kosa.

," Mshitakiwa ninamtia hatiani kama alivyoshitakiwa na amekiri mwenyewe kwani hajaisumbua Mahakama kutokana na kukiri kwake.

Aliongeza," hivyo adhabu yake ni kulipa faini sh. milioni mbili na akishindwa atatumikia kifungo cha miaka mitano jela , fedha alizokamatwa nazo zitaifishwa ziwe mali ya Serikali," alisema.

Hata hivyo, mshitakiwa alifanikiwa kulipa faini ya sh. milioni mbili na kuepuka adhabu ya kwenda jela miaka mitano.

Kabla ya kupewa adhabu hiyo Wakili wa utetezi Mrisho Mrisho aliiomba Mahakama impunguzie adhabu mshtakiwa kwasababu ni mkosaji wa mara ya kwanza.

Awali, Wakili wa Serikali Mwandamizi Christine Joas alimsomea mshitakiwa shtaka linalomkabili.

Mshitakiwa alitenda kosa hilo kati ya Januari na Mei 16, mwaka huu eneo la Supermarket ya Peninsula iliyoko Oysterbay Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.

Raia huyo alifanya biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kuwa na leseni kutoka Benki Kuu ya Tanzania( BoT), ambapo alikutwa na sh milioni 16,797,000, USD 64,255 na fedha za China 500.
Mbona wale mpakani namanga hawakamatwagi na hawana kibali na learning BOT?
 
Back
Top Bottom