Wizara ya elimu yaagiza shule zote za Dar Es Salaam kufungwa kwa siku 2 kupisha kongamano la nishati

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,715
4,453
Wakuu,

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema kufuatia taarifa ya Serikali kuhusu agizo la baadhi ya Watumishi wa Umma kufanyia kazi nyumbani, Wizara hiyo inaelekeza Shule zote za Msingi, Sekondari na Vyuo katika Mkoa wa Dar es Salaam kufungwa kwa siku mbili January 27 na January 28, 2025.

Taarifa iliyotolewa leo January 26,2025 na Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mtahabwa imesema “Tangazo hili ni kwa Vyuo na Shule za Serikali na Binafsi, Wadau wote wa elimu wanaombwa kuzingatia tangazo hili ili kuepusha changamoto za usafiri zinazoweza kujitokeza kutokana na kufungwa kwa baadhi ya barabara, masomo yataendelea kama kawaida kuanzia January 29, 2025”

Soma pia: Serikali tangazeni tar 27 na 28 kuwa siku za mapumziko kwa wote na wanafunzi wakae nyumbani kuondoa kabisa huo 'usumbufu' mnaosema

Hatua hii inakuja ili kuepusha usumbufu utakaosababishwa na kufungwa kwa barabara kutokana na ugeni mkubwa wa Watu wanaokuja kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati utakaofanyika Jijini Dar es salaam kesho na keshokutwa.

wizara elimu.png
 
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema kufuatia taarifa ya Serikali kuhusu agizo la baadhi ya Watumishi wa Umma kufanyia kazi nyumbani, Wizara hiyo inaelekeza Shule zote za Msingi, Sekondari na Vyuo katika Mkoa wa Dar es Salaam kufungwa kwa siku mbili January 27 na January 28, 2025.

Taarifa iliyotolewa leo January 26,2025 na Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mtahabwa imesema “Tangazo hili ni kwa Vyuo na Shule za Serikali na Binafsi, Wadau wote wa elimu wanaombwa kuzingatia tangazo hili ili kuepusha changamoto za usafiri zinazoweza kujitokeza kutokana na kufungwa kwa baadhi ya barabara, masomo yataendelea kama kawaida kuanzia January 29, 2025”

Hatua hii inakuja ili kuepusha usumbufu utakaosababishwa na kufungwa kwa barabara kutokana na ugeni mkubwa wa Watu wanaokuja kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati utakaofanyika Jijini Dar es salaam kesho na keshokutwa.

Mkutano huo unaandaliwa kwa pamoja baina ya Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika ambapo Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Marais wa Nchi za Afrika 24, Wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21, Wakuu wa Taasisi za Kimataifa sita wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Afrika na Rais wa Taasisi ya Rockefeller na Washirika wa Maendeleo watano watashiriki Mkutano huo na pia jumla ya Washiriki wengine 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya Mkutano huo.
#MillardAyoUPDATES
 
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema kufuatia taarifa ya Serikali kuhusu agizo la baadhi ya Watumishi wa Umma kufanyia kazi nyumbani, Wizara hiyo inaelekeza Shule zote za Msingi, Sekondari na Vyuo katika Mkoa wa Dar es Salaam kufungwa kwa siku mbili January 27 na January 28, 2025.

Taarifa iliyotolewa leo January 26,2025 na Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mtahabwa imesema “Tangazo hili ni kwa Vyuo na Shule za Serikali na Binafsi, Wadau wote wa elimu wanaombwa kuzingatia tangazo hili ili kuepusha changamoto za usafiri zinazoweza kujitokeza kutokana na kufungwa kwa baadhi ya barabara, masomo yataendelea kama kawaida kuanzia January 29, 2025”

Hatua hii inakuja ili kuepusha usumbufu utakaosababishwa na kufungwa kwa barabara kutokana na ugeni mkubwa wa Watu wanaokuja kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati utakaofanyika Jijini Dar es salaam kesho na keshokutwa.

Mkutano huo unaandaliwa kwa pamoja baina ya Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika ambapo Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Marais wa Nchi za Afrika 24, Wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21, Wakuu wa Taasisi za Kimataifa sita wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Afrika na Rais wa Taasisi ya Rockefeller na Washirika wa Maendeleo watano watashiriki Mkutano huo na pia jumla ya Washiriki wengine 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya Mkutano huo.
#MillardAyoUPDATES
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    1.1 MB · Views: 3
Wakuu,

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema kufuatia taarifa ya Serikali kuhusu agizo la baadhi ya Watumishi wa Umma kufanyia kazi nyumbani, Wizara hiyo inaelekeza Shule zote za Msingi, Sekondari na Vyuo katika Mkoa wa Dar es Salaam kufungwa kwa siku mbili January 27 na January 28, 2025.

Taarifa iliyotolewa leo January 26,2025 na Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mtahabwa imesema “Tangazo hili ni kwa Vyuo na Shule za Serikali na Binafsi, Wadau wote wa elimu wanaombwa kuzingatia tangazo hili ili kuepusha changamoto za usafiri zinazoweza kujitokeza kutokana na kufungwa kwa baadhi ya barabara, masomo yataendelea kama kawaida kuanzia January 29, 2025”

Soma pia: Rais Samia kuongoza mjadala wa kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia Nov 1-2, 2022

Hatua hii inakuja ili kuepusha usumbufu utakaosababishwa na kufungwa kwa barabara kutokana na ugeni mkubwa wa Watu wanaokuja kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati utakaofanyika Jijini Dar es salaam kesho na keshokutwa.


Sawa,,,

Kwa nini huo mkutano usingepangwa kufanyika katika mikoa ambayo hakuna changamoto za usafiri na msongamano?
 
Sisiem ni laana,ndio maana wanapaka piko akina wasira ili waonekane wana nguvu kumbe akili zimechoka
 
Africa.

Mfano makao makuu ya umoja wa mataifa yangekuwa dar, Dar ingekuwa likizo milele.
 
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema kufuatia taarifa ya Serikali kuhusu agizo la baadhi ya Watumishi wa Umma kufanyia kazi nyumbani, Wizara hiyo inaelekeza Shule zote za Msingi, Sekondari na Vyuo katika Mkoa wa Dar es Salaam kufungwa kwa siku mbili January 27 na January 28, 2025.

Taarifa iliyotolewa leo January 26,2025 na Kamishna wa Elimu, Dkt. Lyabwene Mtahabwa imesema “Tangazo hili ni kwa Vyuo na Shule za Serikali na Binafsi, Wadau wote wa elimu wanaombwa kuzingatia tangazo hili ili kuepusha changamoto za usafiri zinazoweza kujitokeza kutokana na kufungwa kwa baadhi ya barabara, masomo yataendelea kama kawaida kuanzia January 29, 2025”

Hatua hii inakuja ili kuepusha usumbufu utakaosababishwa na kufungwa kwa barabara kutokana na ugeni mkubwa wa Watu wanaokuja kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati utakaofanyika Jijini Dar es salaam kesho na keshokutwa.

Mkutano huo unaandaliwa kwa pamoja baina ya Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika ambapo Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Marais wa Nchi za Afrika 24, Wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21, Wakuu wa Taasisi za Kimataifa sita wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Afrika na Rais wa Taasisi ya Rockefeller na Washirika wa Maendeleo watano watashiriki Mkutano huo na pia jumla ya Washiriki wengine 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya Mkutano huo.
#MillardAyoUPDATES
Huu ni ukosefu wa ubunifu, huko uingereza mbona viongozi walioalikwa kwenyei minibus na maisha yakaendelea
 
Halafu wanashangaa elimu kushuka.

Hakuna nchi inayojielewa duniani inaweza kubadili kalenda za masomo kiwepesiwepesi namna hii. Hizo credit hours utazifikiaje kama unavurugavuruga ratiba za masomo namna hii?.

Kalenda ya masomo inapangwa ili kila unit iweze kukamilishwa, Sasa itakamilishwaje kama wanajiamuliaamulia tu kusitisha ratiba za vipindi?. Utafidiaje muda ulioahirisha?.

Au wanataka baadae walimu wafanye zimamoto tu ilimradi bora liende?
 
Kubalance ndo wameamua mkoa mzima , ni sawa. Ila ndo wajitathmini kwanini kila jambo lisifanyike pasipo kuua upande mmoja?
 
Kumbe kusafisha barabara na kuondoa omba omba inawezekana ila tunapenda wenyewe. Ukiwagusa machinga baada ya mkutano utaambiwa hao wanyonge ndo wapiga kura. Hata majumbani akija mgeni ndo mnapika vizuri na kutumia vyombo vipya. Akili za wamatumbi mnazijua wenyewe.
 
Back
Top Bottom