DOKEZO  Wizara ya Afya Ingieni kazini. Kuna wahuni wanatengeneza janga la lazima, ARV zitaanza kuuzwa muda Si mrefu!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Domino effect..
Ni kama vita ilipiganwa Ukraine tukauziwa chapati moja aftatu......
Soon mtaona effect ya mzee trump....
 
Why waste your time and energy in arguing with a fool?
The guy is a fool who doesn't know how dangerous is when you withhold such important information regarding ARVs, they are about to create unnecessary curtail and availability of counterfeit drugs.
Nitajuaje kama mmeukumbatia.

Ni sawa na MTU Mjinga kukaa kimya alafu akuambie 'Kukaa kimya pia ni jibu'.
 
Nilitegemea baada ya kauli ya Trump na washirika wake....

Bunge lilipoanza lingejadili au kuweka kikao cha dharura... Lakini kwa bahati mbaya 🤔🤔🤔

Ngoja tuone, naona USAID this week inasimamisha shughuli zake, vipi huduma zitaendelea au lah'?

Naomba serikali ifanye jitihada za haraka moja ni kushusha pressure iliyopo kwenye jamii hasa kwa ndugu zetu, marafiki na wanapata huduma hizi lengo ni kuwapa faraja na kuwapunguzia wanachokiwaza na kukipitia
Mbaya zaidi huko bungeni ndio kuna wahanga wengi wenye uhitaji wa ARVs
 
Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake.

Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi ?.

Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zikizunguka kwenye mitandao ya kijamii Kila kukicha, LAKINI HUSIKII SERIKALI IKICHUKUA HATUA ,KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI ILI KULETA UTULIVU KWENYE JAMII.

Yaan hii Nchi Kila kitu kinachukuliwa Poaa tu, hapo suala nyeti kama hili lianchukulia tu ka ni stori za mitandaoni za udaku basi !!.

Tafasiri yake ni nini? Serikali imeacha mwanya ambao Wahuni , Watumishi wezi wasokua na Uadilifu kutengeneza "UKOSEFU HEWA " wa Dawa za ARVs , hali inayoenda kuzalisha "Vita kubwa ya upatikanaji wa dawa Kwa watumiaji wa ARVs .

Watumiaji wa ARVs ni wazi Sasa wanaenda kuingia kwenye mashindano ya kupata , hali hii inaenda kufanya WENYE HELA KUPATA DAWA HIZO NA KUJITUNZIA ZA ZIADA ,Huku Masikin wakiambiwa "Dawa hazipo, Trump kasitisha!!.


Chonde chonde Serikali, Usalama wa Taifa, TAKUKURU , Hakikisheni Mnaleta Utulivu Kwa Jamii, Kila Mmoja aiingie kazin Rasimi .


Ndugu zangu watumiaji wa ARVs, Dawa zipo za Kutosha, Usikubali MTU akutengenezee mazingira ya kuzinunua.

ARVs haziuzwi ni Bure.

Watumiaji wa ARVS bila kujalisha hali zao za kiuchumi wote wanahaki ya kupata ARVs .


Naona Ongezeko kubwa la Maambukizi ya VVU.

Naona Vifo vingi ambavyo Si tu vitahusiana na UKIMWI , la hashaaa, vitahusiana na watu kutokua na Taarifa sahihi sambamba na hii crisis hewa itakayoletwa na watumishi wasokua na maadili.
Mkuu wewe umejiandaaje kubutua pesa kipindi hiki cha panicking?
 
Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake.

Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi ?.

Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zikizunguka kwenye mitandao ya kijamii Kila kukicha, LAKINI HUSIKII SERIKALI IKICHUKUA HATUA ,KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI ILI KULETA UTULIVU KWENYE JAMII.

Yaan hii Nchi Kila kitu kinachukuliwa Poaa tu, hapo suala nyeti kama hili lianchukulia tu ka ni stori za mitandaoni za udaku basi !!.

Tafasiri yake ni nini? Serikali imeacha mwanya ambao Wahuni , Watumishi wezi wasokua na Uadilifu kutengeneza "UKOSEFU HEWA " wa Dawa za ARVs , hali inayoenda kuzalisha "Vita kubwa ya upatikanaji wa dawa Kwa watumiaji wa ARVs .

Watumiaji wa ARVs ni wazi Sasa wanaenda kuingia kwenye mashindano ya kupata , hali hii inaenda kufanya WENYE HELA KUPATA DAWA HIZO NA KUJITUNZIA ZA ZIADA ,Huku Masikin wakiambiwa "Dawa hazipo, Trump kasitisha!!.


Chonde chonde Serikali, Usalama wa Taifa, TAKUKURU , Hakikisheni Mnaleta Utulivu Kwa Jamii, Kila Mmoja aiingie kazin Rasimi .


Ndugu zangu watumiaji wa ARVs, Dawa zipo za Kutosha, Usikubali MTU akutengenezee mazingira ya kuzinunua.

ARVs haziuzwi ni Bure.

Watumiaji wa ARVS bila kujalisha hali zao za kiuchumi wote wanahaki ya kupata ARVs .


Naona Ongezeko kubwa la Maambukizi ya VVU.

Naona Vifo vingi ambavyo Si tu vitahusiana na UKIMWI , la hashaaa, vitahusiana na watu kutokua na Taarifa sahihi sambamba na hii crisis hewa itakayoletwa na watumishi wasokua na maadili.
Mwaka huu ni Dawa ni Bure NETANYAHU NA JOEBIDEN WASHATOA mwaka kesho ndio itakuwa changamoto kidogo so Anza kutunza pesa au Fanya ni pm nakupa dawa za kienyeji unapona
 
Uko na uhakika wa hizo steps ahead? Na kwanini sasa iwe steps behind kwenye uvumi unaoleta hofu pasipo kuuondoa?
Siasa kwa mambo muhimu sio tija
 
Hizi nyuzi zinatosha sasa! Tuwaache ndugu zetu waishi kwa matumaini.
Ni kweli kabisa mkuu.
Hata wao hawajui wanazidi kuleta taharuki? Ndio maana serikali imekaa kimya ikitafakali wapi kwa kuanzia.
 
Back
Top Bottom