Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

uran

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
10,363
15,913
Napongeza sana uwekezaji wa Azam kwenye SeaTax , vivuko vipya kutoka Kigamboni - Magogoni - Kigamboni.

Ni jambo jema japo lilichelewa.

Ishu inakuja kwenye gharama ya kuvuka, kwa sasa ni Tsh 200/= ila kuna tangazo la bei Mpya ambayo ni Tsh 500/= ikiwa ni ongezeko la % 150.(asilimia) na kadi zao watauza kwa Tsh 3,000/= kutoka Tsh 1,000/= (N-Card)

Wanaotumia hivi vivuko kwa wingi zaidi ni Wanafunzi.

Wanachuo walio wengi wanaishi Kigamboni kwasababu ya urahisi wa kuvuka, means analipa Tsh 400 tu kwa siku anafika Chuo.

Kwa sasa itawalazimu kulipa 1,000/= kwa siku ili waweze kutumia SeaTax.

Waangalie hili linaweza kuathiri mambo kadhaa au lengo lililopo lisiafikiwe, watu wakaendelea kubanana kule kule kwa Tsh 200.
 
Wasiangalie. Na badili yake serikali iige na kuleta daladala za viwango vya vip.

Daladala ambazo hazotoshimamisha abiria. Daladala ambazo nauli yake itakuwa mata mbili ya nauli za kawaida.

Kwa maana hiyo mifuko cha serikali kiendelee kwa bei ya sh 200. Lkn viboko vya azam waweke sh 505 sawa na vip.

Na daladala zina hitaji hilo pia
 
Wasiangalie. Na badili yake serikali iige na kuleta daladala za viwango vya vip.

Daladala ambazo hazotoshimamisha abiria. Daladala ambazo nauli yake itakuwa mata mbili ya nauli za kawaida.

Kwa maana hiyo mifuko cha serikali kiendelee kwa bei ya sh 200. Lkn viboko vya azam waweke sh 505 sawa na vip.

Na daladala zina hitaji hilo pia
Zipite wapi?
Kwenye mwendokasi ama?
 
Ukitaka kizuri basi uwe tayari kugharamia. Kwani cha 200 kimefutwa? Si bado kipo? Ukiona huwezi kulipa 500 nenda kwenye 200.

Mtu kaingia gharama kuweka vivuko bora zaidi ya serikali halafu bado unataka aweke bei sawa na ya serikali?

Kuna anaekula ubwaba na nyama kwa buku jero na kuna anekula ubwabwa huo huo kwa elfu kumi na tano. Ni swala la kipato na maamuzi.
 
Wasiangalie. Na badili yake serikali iige na kuleta daladala za viwango vya vip.

Daladala ambazo hazotoshimamisha abiria. Daladala ambazo nauli yake itakuwa mata mbili ya nauli za kawaida.

Kwa maana hiyo mifuko cha serikali kiendelee kwa bei ya sh 200. Lkn viboko vya azam waweke sh 505 sawa na vip.

Na daladala zina hitaji hilo pia
Hivi hizi bei huwa zinapangwa kwa utaratibu gani?
 
Ukitaka kizuri basi uwe tayari kugharamia. Kwani cha 200 kimefutwa? Si bado kipo? Ukiona huwezi kulipa 500 nenda kwenye 200.

Mtu kaingia gharama kuweka vivuko bora zaidi ya serikali halafu bado unataka aweke bei sawa na ya serikali?

Kuna anaekula ubwaba na nyama kwa buku jero na kuna anekula ubwabwa huo huo kwa elfu kumi na tano. Ni swala la kipato na maamuzi.
That's clearly uzuri vyote vipo the choice is yours
 
Hela walizowekeza sio ndogo
Niliwaza kutafuta wabia wawili tulipe tugawane gharama
Ila kwa kuwa wameishawaza na kuwazua kwa serikali hii basi acha niwaze kivingine maana China wanazo za kuanzia watu 100
Mfano upo hapa
Haya kazi kwenu
Ila kwa bei hizo ni sawa maana bei zake sio mchezo
Screenshot_20250106_200654_Alibabacom~3.png
 
Hela walizowekeza sio ndogo
Niliwaza kutafuta wabia wawili tulipe tugawane gharama
Ila kwa kuwa wameishawaza na kuwazua kwa serikali hii basi acha niwaze kivingine maana China wanazo za kuanzia watu 100
Mfano upo hapa
Haya kazi kwenu
Ila kwa bei hizo ni sawa maana bei zake sio mchezo View attachment 3203409
Azam, tumetengeza Songoro
 
Always mfanyabiashara anachoangalia ni faida,hata kama bei za sasa zinamlipa kwa hulka ya wafanyabiashara dunia nzima ni kuongeza wigo wa kukusanya faida zaidi.

Na kama serikali imeshindwa kufanya anachokifanya still hayupo wa kumpangia bei labda itegemewe huruma yake tu ndiyo itakayoamua hatma.
 
Ukitaka kizuri basi uwe tayari kugharamia. Kwani cha 200 kimefutwa? Si bado kipo? Ukiona huwezi kulipa 500 nenda kwenye 200.

Mtu kaingia gharama kuweka vivuko bora zaidi ya serikali halafu bado unataka aweke bei sawa na ya serikali?

Kuna anaekula ubwaba na nyama kwa buku jero na kuna anekula ubwabwa huo huo kwa elfu kumi na tano. Ni swala la kipato na maamuzi.
Kumbe kuna uamuzi wa kuchagua? Mimi sijawahi fika huko dasalama nilishaanza kutaka kuitukana ccm.

Basi kila mtu apande level yake.
 
Ukitaka kizuri basi uwe tayari kugharamia. Kwani cha 200 kimefutwa? Si bado kipo? Ukiona huwezi kulipa 500 nenda kwenye 200.

Mtu kaingia gharama kuweka vivuko bora zaidi ya serikali halafu bado unataka aweke bei sawa na ya serikali?

Kuna anaekula ubwaba na nyama kwa buku jero na kuna anekula ubwabwa huo huo kwa elfu kumi na tano. Ni swala la kipato na maamuzi.
Nimeipenda hii
 
Back
Top Bottom