Wimbo Fallen Angel wa Ali Kiba uwe fundisho kwa wasanii kujua maana ya majina na misemo ya Kiingereza kabla ya kuitumia

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
11,504
25,842
Nimesikitishwa sana na kitendo cha huyu msanii chipukizi anayefanya vizuri kwa sasa komredi Ali Kiba kutojua maana ya jina FALLEN ANGEL na linavyotumika. Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti wa beberu fallen angel akakuelewa. Mimi kama akili kubwa nitafafanua kwa maslahi mapana ya nchi.

Kwa Wakristo fallen angel ni jina alilopewa malaika aliyeasi mbinguni na kuungana na ibilisi. Walitupwa kutoka mbinguni na kuangukia duniani. Biblia inasema lile joka liliondoka mbinguni na theluthi ya malaika wote waliokuwepo. Ilikuwaje sasa Mungu wa upendo akawaacha waje duniani kutuvuruga sisi tusio na nyenzo wala mbinu zozote za kukabiliana nao? Au kwanini waasi wasingeteketezwa? Hayo maswali muulize kiongozi wako wa kiroho.

Maana nyingine ya jina FALLEN ANGEL ni mtu aliyekuwa vizuri kwa kila kitu kuanguka na kushuka thamani. Au pia biashara iliyokuwa inafanya vizuri ikaanguka. Kimsingi hakuna maana yoyote ya kupendeza kwa jina FALLEN ANGEL. Mimi siwezi kumwita mpenzi wangu FALLEN ANGEL. Ni vema watanzania tukajifunza sana kiingereza kuliko kukutana na aibu zisizo za lazima. Kutafsiri lugha ya kiingereza moja kwa moja kuja kiswahili ni upuuzi. Ukitaka kujua maana ya maneno tumia hata oxford dictionary ya english - english.

Kuhusu WIMBO NAONA NI WA HOVYO ULIO CHINI YA MATARAJIO YA WATEJA SOKONI. Ni miongoni mwa nyimbo za hovyo kwa mwaka huu. Kuna mambo mengi sana ya kiufundi yamekosekana. Msanii chipukizi Ali Kiba atafute kazi nyingine ya kufanya. Nimeuweka huo wimbo hapa ili usikilize kukubaliana nami kuwa ni wa hovyo.
 

Attachments

  • Alikiba_Ft_Billnass_-_-_Fallen_Angel.mp3
    10.6 MB
Nimesikitishwa sana na kitendo cha huyu msanii chipukizi anayefanya vizuri kwa sasa komredi Ali Kiba kutojua maana ya jina FALLEN ANGEL na linavyotumika. Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti wa beberu fallen angel akakuelewa. Mimi kama akili kubwa nitafafanua kwa maslahi mapana ya nchi.

Kwa Wakristo fallen angel ni jina alilopewa malaika aliyeasi mbinguni na kuungana na ibilisi. Walitupwa kutoka mbinguni na kuangukia duniani. Biblia inasema lile joka liliondoka mbinguni na theluthi ya malaika wote waliokuwepo. Ilikuwaje sasa Mungu wa upendo akawaacha waje duniani kutuvuruga sisi tusio na nyenzo wala mbinu zozote za kukabiliana nao? Au kwanini waasi wasingeteketezwa? Hayo maswali muulize kiongozi wako wa kiroho.

Maana nyingine ya jina FALLEN ANGEL ni mtu aliyekuwa vizuri kwa kila kitu kuanguka na kushuka thamani. Au pia biashara iliyokuwa inafanya vizuri ikaanguka. Kimsingi hakuna maana yoyote ya kupendeza kwa jina FALLEN ANGEL. Mimi siwezi kumwita mpenzi wangu FALLEN ANGEL. Ni vema watanzania tukajifunza sana kiingereza kuliko kukutana na aibu zisizo za lazima. Kutafsiri lugha ya kiingereza moja kwa moja kuja kiswahili ni upuuzi. Ukitaka kujua maana ya maneno tumia hata oxford dictionary ya english - english.

Kuhusu WIMBO NAONA NI WA HOVYO ULIO CHINI YA MATARAJIO YA WATEJA SOKONI. Ni miongoni mwa nyimbo za hovyo kwa mwaka huu. Kuna mambo mengi sana ya kiufundi yamekosekana. Msanii chipukizi Ali Kiba atafute kazi nyingine ya kufanya. Nimeuweka huo wimbo hapa ili usikilize kukubaliana nami kuwa ni wa hovyo.
Mbona unaweza mtafuta na kumwambia dogo rekebisha hapa na hapa na mambo yakawa sawa kuliko kumleta jukwaani wakati unaweza mpata kwa namna nyingine,in fact Sanaa ina uwanja mpana,mtafute arekebishe maisha yaendelee
 
Ulivyo anza na kusema Alikiba ni Chipukizi nishajua una kunja na una roho flan hivi...Short sijaendelea kusoma ujinga wako...
 
Mbona unaweza mtafuta na kumwamia dogo rekebisha hapa na hapa na mambo yakawa sawa kuliko kumleta jukwaani wakati unaweza mpata kwa namna nyingine,in fact Sanaa ina uwanja mpna,mtafute arekebishe maisha yaendelee
Yule ni public figure
 
Nimesikitishwa sana na kitendo cha huyu msanii chipukizi anayefanya vizuri kwa sasa komredi Ali Kiba kutojua maana ya jina FALLEN ANGEL na linavyotumika. Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti wa beberu fallen angel akakuelewa. Mimi kama akili kubwa nitafafanua kwa maslahi mapana ya nchi.

Kwa Wakristo fallen angel ni jina alilopewa malaika aliyeasi mbinguni na kuungana na ibilisi. Walitupwa kutoka mbinguni na kuangukia duniani. Biblia inasema lile joka liliondoka mbinguni na theluthi ya malaika wote waliokuwepo. Ilikuwaje sasa Mungu wa upendo akawaacha waje duniani kutuvuruga sisi tusio na nyenzo wala mbinu zozote za kukabiliana nao? Au kwanini waasi wasingeteketezwa? Hayo maswali muulize kiongozi wako wa kiroho.

Maana nyingine ya jina FALLEN ANGEL ni mtu aliyekuwa vizuri kwa kila kitu kuanguka na kushuka thamani. Au pia biashara iliyokuwa inafanya vizuri ikaanguka. Kimsingi hakuna maana yoyote ya kupendeza kwa jina FALLEN ANGEL. Mimi siwezi kumwita mpenzi wangu FALLEN ANGEL. Ni vema watanzania tukajifunza sana kiingereza kuliko kukutana na aibu zisizo za lazima. Kutafsiri lugha ya kiingereza moja kwa moja kuja kiswahili ni upuuzi. Ukitaka kujua maana ya maneno tumia hata oxford dictionary ya english - english.

Kuhusu WIMBO NAONA NI WA HOVYO ULIO CHINI YA MATARAJIO YA WATEJA SOKONI. Ni miongoni mwa nyimbo za hovyo kwa mwaka huu. Kuna mambo mengi sana ya kiufundi yamekosekana. Msanii chipukizi Ali Kiba atafute kazi nyingine ya kufanya. Nimeuweka huo wimbo hapa ili usikilize kukubaliana nami kuwa ni wa hovyo.
Labda alimkusudia mkewe waliyeachana? Ndiyo anamuona kuwa ni "fallen angel".
 
Hakuna namba yoyote unaweza kumwita binti wa beberu fallen angel akakuelewa
Sijui kama unafuatilia muziki wa Marekani, miaka ya 2009 hivi Chriss Brown alikuja na wimbo wenye jina kama hilo, na alilenga kumuimbia mpenzi wake.

Japo kwa tafsiri yetu ya kibongo tuliupeleka kwenye mambo ya imani za kishetani kwa sababu ya baadhi ya maneno yake kama vile
"You know maybe I should
Help her mend her broken wings
So she can fly again
But I don't wanna lose everything that I've gained"
Lakini yeye alimaanisha wimbo wa mapenzi, na mabinti wa mabeberu walilipokea hivyo.

Kwahiyo nae kama ameimba ujumbe huo atakua kapita humohumo kwa mmoja wa ma role-model wake.
 
Sijui kama unafuatilia muziki wa Marekani, miaka ya 2009 hivi Chriss Brown alikuja na wimbo wenye jina kama hilo, na alilenga kumuimbia mpenzi wake.

Japo kwa tafsiri yetu ya kibongo tuliupeleka kwenye mambo ya imani za kishetani kwa sababu ya baadhi ya maneno yake kama vile
"You know maybe I should
Help her mend her broken wings
So she can fly again
But I don't wanna lose everything that I've gained"
Lakini yeye alimaanisha wimbo wa mapenzi, na mabinti wa mabeberu walilipokea hivyo.

Kwahiyo nae kama ameimba ujumbe huo atakua kapita humohumo kwa mmoja wa ma role-model wake.
Hata huyo Chriss Brown anatakiwa kusoma huu uzi na kujirekebisha.
 
Speech uliyo iandika hapa ni ndefu halafu haina tofauti na ile aliyo itoa kiongozi wa HAMAS kwenye mazishi ya Sinawar
 
Ali Kiba hata kuongea kizungu sentensi moja hawezi, shule hajaenda, ila kujifunza lugha pia hawezi, sio jambo la kushangaza kukosea kwake
 
Back
Top Bottom