Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,602
- 6,286
Jeshi la Israel limeingia Ukingo wa Magharibi (West Bank) kuanza operesheni kubwa kwenye miji inayoshikiliwa na Kundi la Palestine Islamic Jihad.
operesheni hiyo imeweza kubaini msikiti wenye maabara ya mabomu ndani yake.
imekuwa ni kawaida kwa vikundi hivi kuwatumia raia kama ngao kwa kufanyia shughuli zao sehemu zenye makazi, hospitali, shule, maeneo ya kuabudu, vituo vya huduma za jamii, n.k. - hawajali raia kufa au kuumia.