Web Development na Application Development kwa Bei Nafuu.

dalink_Tz

New Member
Jan 19, 2023
4
2
Habari,
kwa jina naitwa Anderson Mgaya ni kijana mwenye uzoefu na uwezo mkubwa katika Web Development na Application Development. Ikiwa unahitaji tovuti ya kisasa au programu itakayowezesha biashara yako au mradi wako kufikia viwango vya juu, niko tayari kufanya kazi na wewe kwa bei nafuu kabisa.

Huduma Ninazotoa:
1. Kutengeneza na kusanidi tovuti za kisasa (Web Development).
2. Kuunda na kuendeleza programu za simu na kompyuta (Application Development).
3. Usimamizi wa tovuti, ikiwemo hosting na matengenezo ya tovuti.
4.pia kuna huduma nyingine kama ukihitaji

Faida Zaidi:
  • Gharama za hosting na domain kwa mwaka mmoja ni juu yangu!
  • Huduma bora kwa bei nafuu inayokidhi bajeti yako.

Ikiwa unahitaji huduma hizi, usisite kuwasiliana nami. Nitahakikisha unapokea huduma bora na ya kipekee kwa wakati.

Tuwasiliane tufanye kazi pamoja kuboresha biashara yako au mradi wako.

Wasiliana Nami: 0718439880 Whatsapp na kwa barua pepe hapa

Karibu sana!
 
Back
Top Bottom