Wazungu Uingereza wanapora vitu madukani. Hakuna tofauti na Afrika, njaa kali

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
48,953
36,776
Wanakummbi.

Tuliaminishwa vitu vingi sana kutoka nchi za Magharibi na Ulaya kuwa ni watu makini wamenyooka hawana tamaa wanaheshimu haki za watu na siyo wizi kama watu wa Africa, binafsi nawafahamu kiasi wazungu ni binadamu kama wengine na ni wizi, waongo wanafiki angalia hiyo video ingekuwa tukio hilo limetokea Africa habari zingetangazwa kila kona. Bahati mbaya hata wale watumwa wa Wazungu wanaona kama wazungu wanaonewa.



 
Wanakummbi.

Tuliaminishwa vitu vingi sana kutoka nchi za Magharibi na Ulaya kuwa ni watu makini wamenyooka hawana tamaa wanaheshimu haki za watu na siyo wizi kama watu wa Africa, binafsi nawafahamu kiasi wazungu ni binadamu kama wengine na ni wizi, waongo wanafiki angalia hiyo video ingekuwa tukio hilo limetokea Africa habari zingetangazwa kila
Uchumi wa uingereza ni wa kawaida sana
 
Wanakummbi.

Tuliaminishwa vitu vingi sana kutoka nchi za Magharibi na Ulaya kuwa ni watu makini wamenyooka hawana tamaa wanaheshimu haki za watu na siyo wizi kama watu wa Africa, binafsi nawafahamu kiasi wazungu ni binadamu kama wengine na ni wizi, waongo wanafiki angalia hiyo video ingekuwa tukio hilo limetokea Africa habari zingetangazwa kila ]
Sioni sura za wizi hapo naona kama ni watu waliokwazika na jambo fulani
 
Wanakummbi.

Tuliaminishwa vitu vingi sana kutoka nchi za Magharibi na Ulaya kuwa ni watu makini wamenyooka hawana tamaa wanaheshimu haki za watu na siyo wizi kama watu wa Africa, binafsi nawafahamu kiasi wazungu ni binadamu kama ]
Hivi ulaya kuna manzese?
 
Wanakummbi.

Tuliaminishwa vitu vingi sana kutoka nchi za Magharibi na Ulaya kuwa ni watu makini wamenyooka hawana tamaa wanaheshimu haki za watu na siyo wizi kama watu wa Africa, binafsi nawafahamu kiasi wazungu ni binadamu kama wengine na ni wizi, waongo wanafiki angalia hiyo video ingekuwa tukio hilo limetokea Africa habari zingetangazwa kila ]
]Ukilinganisha level ya kujielewa kwa wenzetu na Huku kwetu utaona tunasafari ndefu sana.
Vituo vya mwendokasi hata miaka kumi havijamaliza kaangalie saivi vikoje, mabasi tangu yaanze kutumika hata muda hayana kaangalie saivi yakoje. Kama ilivyo hapa Tanzania sio wote hawajastaarabika na huko ni hivyo pia sio wote waliostaarabika tukiweka kwa namba naweza zaidi ya robo tatu huku hawajastaarabika ila kwa wenzetu ni zaidi ya robo tatu watu wamestaarabika.
 
Wanakummbi.

Tuliaminishwa vitu vingi sana kutoka nchi za Magharibi na Ulaya kuwa ni watu makini wamenyooka hawana tamaa wanaheshimu haki za watu na siyo wizi kama watu wa Africa, binafsi nawafahamu kiasi wazungu ni binadamu kama

Ubepari ni unyama .

Tanganyika tusipowagukuza hawa makuwadi wa Rasilimali zetu wanaowakabidhi Mabepari wa Kiarabu na kizungu kila kitu ikiwemo ardhi ili wakawalishe watu wao huko uarabuni na ulaya ipo siku tutakua na hali mbaya kuliko hiyo.

Rasilimali pekee tuliyo nayo ni ardhi na vilivyomo. Sasa tuliowapa dhamana wanonekana watamaa ya kuona wazungu na waarabu wakiwa na maisha mazuri ili hali watanganyika wakiwa watumwa wao.
 
Back
Top Bottom