Wazo: Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Tanzania kusini, Tanzania Kaskazini, Tanzania Magharibi na Tanzania Mashariki

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
13,958
40,257
Wazo liko hivi;

Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Nchi zigawike kwa kuzingatia kanda kuu 4. Kanda ya Kaskazini, kanda ya kusini, Kanda ya Magharibi na Kanda ya mashariki. Tunaweza kuzipa majina mapya au tukaziita majina kulingana na location zake.

Tanzania kama shirikisho itakuwa na majukumu machache tu sawasawa na makubaliano.

Hii itachochea maendeleo.
Tuwe tu wakweli ngozi nyeusi IQ zetu hazitoshi kuendesha nchi kubwa kama hii ya Tanzania.

Tukiigawa tutaendelea haraka.
Kanda itakayokuwa nyuma itapigwa kampani ni shirikisho ambalo litakuwa linapokea sehemu kidogo ya kodi kutoka katika shughuli za kiuchumi kwenye Kanda (nchi) zote za shirikisho.
 
Kuna kanda hazito faidika na rasilimali za taifa kabisa, na mwisho tutatengeneza umasikini kwenye kanda zisizo na rasilimali za asili na huo ndio utakua mwanzo wa vita baina ya kanda na kanda
 
Wazo liko hivi;

Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Nchi zigawike kwa kuzingatia kanda kuu 4. Kanda ya Kaskazini, kanda ya kusini, Kanda ya Magharibi na Kanda ya mashariki. Tunaweza kuzipa majina mapya au tukaziita majina kulingana na location zake.

Tanzania kama shirikisho itakuwa na majukumu machache tu sawasawa na makubaliano.

Hii itachochea maendeleo.
Tuwe tu wakweli ngozi nyeusi IQ zetu hazitoshi kuendesha nchi kubwa kama hii ya Tanzania.

Tukiigawa tutaendelea haraka.
Kanda itakayokuwa nyuma itapigwa kampani ni shirikisho ambalo litakuwa linapokea sehemu kidogo ya kodi kutoka katika shughuli za kiuchumi kwenye Kanda (nchi) zote za shirikisho.

Majimbo au nchi naona hujui tofauti
 
Wazo liko hivi;

Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Nchi zigawike kwa kuzingatia kanda kuu 4. Kanda ya Kaskazini, kanda ya kusini, Kanda ya Magharibi na Kanda ya mashariki. Tunaweza kuzipa majina mapya au tukaziita majina kulingana na location zake.

Tanzania kama shirikisho itakuwa na majukumu machache tu sawasawa na makubaliano.

Hii itachochea maendeleo.
Tuwe tu wakweli ngozi nyeusi IQ zetu hazitoshi kuendesha nchi kubwa kama hii ya Tanzania.

Tukiigawa tutaendelea haraka.
Kanda itakayokuwa nyuma itapigwa kampani ni shirikisho ambalo litakuwa linapokea sehemu kidogo ya kodi kutoka katika shughuli za kiuchumi kwenye Kanda (nchi) zote za shirikisho.
Uko sahihi wengi tunawaza hivi
Labda kurekebisha kidogo tuwe na nchi 6 ongezea na Kanda ya Zanzibar na Kanda ya kati
Muundo huu utaondoa ta tatizo la muungano wa Tanganyika na zenji
Pia utarudisha rasilimali kwa wananchi,

ccm watakosa rasilimali za kugawa bure kwa wawekezaji wao

Mfumo huu unachochea maendeleo kwa haraka sehemu husika
 
Watu wa kanda yenu mna ubinafsi mwingi saaana.
Dawa yao ndogo kuwa mkitaka kanda wachaga wote waliozagaa nzima wote waondoke huko waliko warudi kanda yao sababu sio kabila la hizo kanda na makabila mengine yasiyo ya kilimanjaro yaliyoko Kilimanjaro nao wafungashwe virago warudi kanda zao halafu tuone kabila lipi litaloumia na kulia nyau kuliko kabila lolote Tanzania

Tukija umeme watu wa Morogoro kidatu na Rufiji ndio watakuwa wamiliki wa umeme wote nchini kuuzia nchi nzima na pesa zote za makusanyo wachukue wao sababu vyanzo vya umeme viko mkoani kwao

Tuone nani wataendelea haraka kati ya wachaga wasubiri mpanda mlima kilimanjaro na kuuza ndizi na Mtori na kitimoto pale kilimanjaro ndipo apate pesa wakishindanishwa na huyo wa umeme.muuza umeme nchi nzima ikiwemo kilimanjaro
 
Wazo liko hivi;

Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Nchi zigawike kwa kuzingatia kanda kuu 4. Kanda ya Kaskazini, kanda ya kusini, Kanda ya Magharibi na Kanda ya mashariki. Tunaweza kuzipa majina mapya au tukaziita majina kulingana na location zake.

Tanzania kama shirikisho itakuwa na majukumu machache tu sawasawa na makubaliano.

Hii itachochea maendeleo.
Tuwe tu wakweli ngozi nyeusi IQ zetu hazitoshi kuendesha nchi kubwa kama hii ya Tanzania.

Tukiigawa tutaendelea haraka.
Kanda itakayokuwa nyuma itapigwa kampani ni shirikisho ambalo litakuwa linapokea sehemu kidogo ya kodi kutoka katika shughuli za kiuchumi kwenye Kanda (nchi) zote za shirikisho.
Una akili za mavi huoni hivyo ndo utagawa nchi katika vipande ....baadhi za sehemu zitanza idea za nationalism na kujitoa ....

Mawazo haya ni kijinga mno
 
Kuna kanda hazito faidika na rasilimali za taifa kabisa, na mwisho tutatengeneza umasikini kwenye kanda zisizo na rasilimali za asili na huo ndio utakua mwanzo wa vita baina ya kanda na kanda
Haelewi huyo nenda marekani kuna states ni maskini wa kutupwa na hakuna state ingine iko tayari kupeleka pesa huko

Sababu kwa mfumo wa states pesa zote zinazoingia zako ila unachangia asilimia kidogo tu kwa ya huduma za pamoja kama vile kugharimia jeshi,vitu vya pamoja vichache sana hivyo hakuwi na pesa ya kutoa toka jimbo moja zikagharimie jimbo lingine watajijua wenyewe
 
Wazo liko hivi;

Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Nchi zigawike kwa kuzingatia kanda kuu 4. Kanda ya Kaskazini, kanda ya kusini, Kanda ya Magharibi na Kanda ya mashariki. Tunaweza kuzipa majina mapya au tukaziita majina kulingana na location zake.

Tanzania kama shirikisho itakuwa na majukumu machache tu sawasawa na makubaliano.

Hii itachochea maendeleo.
Tuwe tu wakweli ngozi nyeusi IQ zetu hazitoshi kuendesha nchi kubwa kama hii ya Tanzania.

Tukiigawa tutaendelea haraka.
Kanda itakayokuwa nyuma itapigwa kampani ni shirikisho ambalo litakuwa linapokea sehemu kidogo ya kodi kutoka katika shughuli za kiuchumi kwenye Kanda (nchi) zote za shirikisho.
Hizo nchi hazina Ma raisi?, au Raisi anabaki mmoja?
 
Kwaiyo na wewe ukoo wako ukiugawa ndio maendeleo yatakuja haraka?

Sasahivi ni muda wa kuwaza kuiunganisha Afrika iwe nchi moja, na sio kuvunja nchi zetu
 
Haelewi huyo nenda marekani kuna states ni maskini wa kutupwa na hakuna state ingine iko tayari kupeleka pesa huko

Sababu kwa mfumo wa states pesa zote zinazoingia zako ila unachangia asilimia kidogo tu kwa ya huduma za pamoja kama vile kugharimia jeshi,vitu vya pamoja vichache sana hivyo hakuwi na pesa ya kutoa toka jimbo moja zikagharimie jimbo lingine watajijua wenyewe
Marekani imeundwa na nchi ndo maana shirikisho sisi nchi yetu imeundwa tribes.... muingereza alichora ramani mfano east africa ikiwa nchi ndo inakuwa nchi ya kishikisho

Sasa huwez gani nchi katika vipande upate shirikisho
 
Wazo liko hivi;

Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Nchi zigawike kwa kuzingatia kanda kuu 4. Kanda ya Kaskazini, kanda ya kusini, Kanda ya Magharibi na Kanda ya mashariki. Tunaweza kuzipa majina mapya au tukaziita majina kulingana na location zake.

Tanzania kama shirikisho itakuwa na majukumu machache tu sawasawa na makubaliano.

Hii itachochea maendeleo.
Tuwe tu wakweli ngozi nyeusi IQ zetu hazitoshi kuendesha nchi kubwa kama hii ya Tanzania.

Tukiigawa tutaendelea haraka.
Kanda itakayokuwa nyuma itapigwa kampani ni shirikisho ambalo litakuwa linapokea sehemu kidogo ya kodi kutoka katika shughuli za kiuchumi kwenye Kanda (nchi) zote za shirikisho.
Lisemwalo lipo, kama halipo, basi jua linakuja, tumuombe Mungu wetu wa (WAKRISTO) yote yaje kwa amani.
 
Wazo liko hivi;

Tanzania iwe shirikisho la nchi nne. Nchi zigawike kwa kuzingatia kanda kuu 4. Kanda ya Kaskazini, kanda ya kusini, Kanda ya Magharibi na Kanda ya mashariki. Tunaweza kuzipa majina mapya au tukaziita majina kulingana na location zake.

Tanzania kama shirikisho itakuwa na majukumu machache tu sawasawa na makubaliano.

Hii itachochea maendeleo.
Tuwe tu wakweli ngozi nyeusi IQ zetu hazitoshi kuendesha nchi kubwa kama hii ya Tanzania.

Tukiigawa tutaendelea haraka.
Kanda itakayokuwa nyuma itapigwa kampani ni shirikisho ambalo litakuwa linapokea sehemu kidogo ya kodi kutoka katika shughuli za kiuchumi kwenye Kanda (nchi) zote za shirikisho.
Mkishalewa msipende kutafakari mambo makubwa..
Wewe ishia kucheka na wana basi.
 
Back
Top Bottom