Waziri wa Kilimo mh Bashe amesema kwa msimu wa 2022/23 uzalishaji wa mahindi ulikuwa Tani million 8.1 na mahitaji ya ndani hayazidi Tani million 6
Business partners wetu kwa mahindi ni Kenya, Congo na Rwanda hivyo Wizara itatoa Bure Export Permit kwa Mfumo wa ATMIS hivyo ombeni mpeleke nchi zilizotajwa, amesema Bashe katika ukurasa wake wa X
Baada ya kutoka Vatican huyu ndiye ajaye 2030
Ramadan Kareem