Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 644
- 1,444
Viongozi wa dini, wazee mashuhuri pamoja na wakazi wa mkoa wa Tabora, wamefanya matembezi katika kila kona ya manispaa ya Tabora kwa lengo la kumpongeza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa kuteuliwa na Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa kuwania kiti cha Urais kwa mwaka 2025.
Wakizungumza mara baada ya kumalizika kwa matembezi hayo, wameeleza sababu za kumpongeza Rais huku wakiomba serikali kuweka wagombea pia katika ngazi za chini ambao watawaletea maendeleo.
Soma Pia:
Naye Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora, Ally Nkumba, ameeleza sababu za kuchagua wagombea wao mapema katika nafasi mbalimbali katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Wakizungumza mara baada ya kumalizika kwa matembezi hayo, wameeleza sababu za kumpongeza Rais huku wakiomba serikali kuweka wagombea pia katika ngazi za chini ambao watawaletea maendeleo.
Soma Pia:
- Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
- Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025
Naye Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora, Ally Nkumba, ameeleza sababu za kuchagua wagombea wao mapema katika nafasi mbalimbali katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.