Wazazi kuhamasisha mabinti zao, kuwa kwenye mahusiano biashara

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
33,920
50,274
Kutokana na jua kuwa kali, ardhi kuwa kame, na mazao kukaukia shambani; baadhi ya wazazi wamekuwa chachu ya kuwashawishi mabinti zao waingie kwenye mahusiano biashara. Yaani mdada anaingia kwenye mahusiano ili apate kitu, hasa hela; ili aweze kuwahudumia wazazi wake.

Mabinti wamegeuzwa kuwa vitega uchumi wa familia, na mwanaume atakayejichanganya kwenye hayo mahusiano, atachunwa mpaka afilisike; na pesa ukiishiwa, unakimbiwa.

Wakati mwingine, wazazi wanawashawishi mabinti zao, wahakikishe wanaporudi nyumbani waje na kitu ili maisha yasogee.

Kama mwanaume, ni vizuri kushtuka mapema na kuchukua hatua.​
 
Kutokana na jua kuwa kali, ardhi kuwa kame, na mazao kukaukia shambani; baadhi ya wazazi wamekuwa chachu ya kuwashawishi mabinti zao waingie kwenye mahusiano biashara. Yaani mdada anaingia kwenye mahusiano ili apate kitu, hasa hela; ili aweze kuwahudumia wazazi wake.

Mabinti wamegeuzwa kuwa vitega uchumi wa familia, na mwanaume atakayejichanganya kwenye hayo mahusiano, atachunwa mpaka afilisike; na pesa ukiishiwa, unakimbiwa.

Wakati mwingine, wazazi wanawashawishi mabinti zao, wahakikishe wanaporudi nyumbani waje na kitu ili maisha yasogee.

Kama mwanaume, ni vizuri kushtuka mapema na kuchukua hatua.​
Sasa hapa nimemaliza kusoma mkuu haya Majibu sio muda naleta
 
Kila nikianzdika kupost nafuta naona bado mazungumzo marefu nielwek kwa ufupi sana
++++Yote haya +++++
Kuhakikisha mwanamke anakuwa kiumbe asiefaa

Matokeeo ya yeye kutofaa na kizazi kinachopatikana nae hakitafaaa

Kisipofaaa basi kila kilichomo hakitafaa
Hapo inakua mwisho wa ulimwengu

+++++ Bishara ghali kuitunza duniani ni mwanamke mkuu mwanamke atunzwe atunzwe mwanamke 😭😭😭😭😭 akiwa salama uzao utakuwa Salam mkuu mwanamke atunzwe atunzwe mwanamke 😭 😭 😭+++++
 
Kila nikianzdika kupost nafuta naona bado mazungumzo marefu nielwek kwa ufupi sana
++++Yote haya +++++
Kuhakikisha mwanamke anakuwa kiumbe asiefaa

Matokeeo ya yeye kutofaa na kizazi kinachopatikana nae hakitafaaa

Kisipofaaa basi kila kilichomo hakitafaa
Hapo inakua mwisho wa ulimwengu

+++++ Bishara ghali kuitunza duniani ni mwanamke mkuu mwanamke atunzwe atunzwe mwanamke 😭😭😭😭😭 akiwa salama uzao utakuwa Salam mkuu mwanamke atunzwe atunzwe mwanamke 😭 😭 😭+++++
Nani anayetakiwa kumtunza sasa?
 
Jana nimeona binti ananisimulia anakuja sehemu za starehe ili apate hata mtu wa kumwachia elfu tano apate hata pesa ya kupeleka nyumbani wapate matumizi wazazi wake
 
Jana nimeona binti ananisimulia anakuja sehemu za starehe ili apate hata mtu wa kumwachia elfu tano apate hata pesa ya kupeleka nyumbani wapate matumizi wazazi wake
Inasikitisha sana, badala wazazi wamuongoze binti katika harakati halali za utafutaji; wao wanatafuta njia fupi
 
May be. But how common is the practice kwenye jamii? Haileti maana kufanya conversation kwa issue ambayo haina statistical significance kwenye jamii.
 
May be. But how common is the practice kwenye jamii? Haileti maana kufanya conversation kwa issue ambayo haina statistical significance kwenye jamii.
私たちは社会の中で生きており、女性たちのリアルな生活状況は知られています。そしてこれが、彼らが人生の安らぎを得るという基準で関係を結ぶ主な理由です。現在の環境で、経済的にうまくいっていない場合は、適切な人間関係を見つけることを期待しないでください
 
Umasikini umesababisha wanawake wayafanye mahusiano ya kimapenzi kuwa biashara. Jamii ya sasa hakuna tofauti kati mpenzi, mke, kahaba na mchumba. Wote wanataka financial benefits na wanacho-offer in-return ni kumer tu.
 
私たちは社会の中で生きており、女性たちのリアルな生活状況は知られています。そしてこれが、彼らが人生の安らぎを得るという基準で関係を結ぶ主な理由です。現在の環境で、経済的にうまくいっていない場合は、適切な人間関係を見つけることを期待しないでください
Nilikuwa anxious kujua umeandika nini, sijui kwanini. But thanks to Google Translator inaniambia umeandika hivi "We live in society, where the real life circumstances of women are known. And this is the main reason why they form relationships based on the standard of gaining peace in life. In the current environment, if things are not going well economically, do not expect to find proper relationships."

Well, I am a woman. Na katika mitazamo ya kidunia hasa zama hizi, uhusiano baina ya mwanamke na mwanaume umekuwa based on win-win situation, or rather naita ni lose-lose situation kwakuwa mostly hakuna anayebenefit moja kwa moja, sooner or later, inakurudia, a virtuous cycle of a morally ill society.

Having said so, nadhani wanaume wamekuwa enablers kuwafanya wanawake waone mahusiano ni exchange kati ya mwili na fedha, na kutokana na kukosekana upendo wa kweli, wanawake nao wameamua kwenda along na game kama ilivyo. Kwa mwanaume yeyote, mwanamke unayemchezea leo ni mke mtarajiwa wa mwanaume mwenzio, na wakwako pia anachezewa hivyo hivyo somewhere, or worse, binti yako yuko destined kupitia hayo hayo, and your sister as well, there is nothing you can do, maana ndiyo jamii tunayoiishi na umekuwa sehemu ya hayo maisha, lose-lose situation directly and indirectly.

Binafsi nimejifunza to walk away when love is missing, na nimekataa kufanya hiyo exchange, and I will make sure it doesn't happen to my future offsprings. Cha msingi ni kuridhika na ulichanacho, when you fall victim, inuka na uondoke hapo hapakufai.

Ujumbe kwa wanawake wenzangu, si wajibu wa mwanaume asiye mumeo kukuhudumia, if you demand that, unajiuza. Likewise, make love when you feel like doing so, siyo kumfurahisha mwanaume. Huyo wala siyo mmeo kusema unatimiza wajibu.

But all in all, given that utamaduni wa Kitanzania unaona sex ni taboo, ni asilimia ndogo sana ya wazazi wanaweza kushawishi mabinti zao kufanya mahusiano for monetary exchange, ni maamuzi na tamaa ya binti mwenyewe tu kulingana na maisha ya sasa kama nilivyoeleza hapo juu.

Have a good Saturday everyone 😊.
 
Back
Top Bottom