mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Kweli mkuuKuna issue ya genetics za mtu, kama mtu ni mfupi haijalishi atakula nini atabakia hivyo hivyo.
Lakini pia ukweli usiopingika ni kwamba watanzania wengi wamedumaa.
Taasisi ya bill and merinda gate iliwahi kutafiti na kusema watoto wetu wengi wenye miaka 13 wanaurefu wa wastani wa mtoto mwenye umri wa miaka Saba. Wakashauri wasiache kunywa maziwa ktk umri huo....Kuna ukweli aisei..! Ingawa Tanzania mwaka jana ilippat namba moja Africa kwa watoto wenye afya bora.
Inawezekana kama tatizo la ufupi wa hao wazazi sio genetics Bali wote Kila mmoja kwa nafasi yake walidumaa utotoniKwa mfano Baba Ni mfupi na mama Ni mfupi halafu mnategemea mtazaa watoto watefu? Hata kama watoto mtawalisha balanced diet ya namna gani hawawezi kurefuka.
Swala la kipato nalo linachangia
Kweli mkuu, umasikini nyumbani hasa tuliokulia uswahilini ni tatizo. Kinachpoatikana mzazi akileta mambo ya balance diet mtaishia kufirisika. Ila ni kujitahidi kadili inavyowezeka
je kama hao wazazi na wenyewe walikosa kupata/kwa kutokujua virutubisho ambavyo vingeweza kuchochea ukuaji/urefu...cha msingi ni kuzingatia lishe bora tuKwa mfano Baba Ni mfupi na mama Ni mfupi halafu mnategemea mtazaa watoto watefu? Hata kama watoto mtawalisha balanced diet ya namna gani hawawezi kurefuka.