Watu wanaliofoji vyeti hivi Kwa nini huwa wanabahati hivi? Batsman nifoji na mimi

Kwa sababu akili yao ni virgin inakuwa haijatumika kujua mambo hiyo wanatumia vyema kujipendekeza kwa wakubwa hili waonekane wema na wachapakazi na huwa wako tayari kufanya lolote hats kama halikubaliki hili kuwaridhisha wakubwa- Daudi Bashite case study.
 
Ukiambiwa uwataje una ushahidi au ndo unaongea tu pasipo kua na ushahidi hujui hilo ni kosa la jinai kishelia
 
Umeniwahi
 
Foji tu najua hapa TZ hatuna system ya kung'amua fojaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…