Watu wanakula rushwa na kuuza mali za umma tupo kimya, Gozibeth kuchoma gari lililochakaa mnajidai wazalendo na mna uchungu; Unafiki

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
1,088
4,887
Wale watuhumiwa wa ufisadi na wizi wa mali za umma wengi wapo mitandaoni wanamshauri Mwanamziki Gozibeth asingechoma moto gari bali angewapa wahitaji au kulirejesha.

Kuna baadhi ya wanafiki wamekwenda kutafuta na kifungo cha maisha kwenye sheria kama adhabu wanayotamani apewe.

Baadhi wamekwenda mbali zaidi nakumtukana bila hata kumpa haki yakumsikiliza kutambua tatizo au maamuzi yake yametokana na nini.

Baadhi ya watu wa dini yake wamekwenda mbali sana na kumwacha Mungu na maelekezo yake kisha kujivika hukumu kwamba amelaaniwa. Nani kasema kuchoma magari ni laana? Kwenye biblia gani hii laana imeandikwa?

Mngetumia hii nguvu kupambana na rushwa na ufisadi wa mali za umma mngemsaidia mnyonge asome shule nzuri, tuwe na barabara, tuwe na madawa hospitalini nk.

Enyi mafisadi kataeni rushwa acheni kuwashambulia watu na maisha yao binafsi. Matajiri wangapi wamechoma nyumba na mali zao?

Wezi na mafisadi tulizeni mbongo zenu na mtafakari
 
Ngoja na mimi nikachome nyumba yangu nipate kiki

Wabongo walivyo wa ajabu ukichoma gari ni kiki ndogo. Ukichoma nyumba ni kiki ya kati. LAKINI UKICHOMA BANGI SASA. Wakati bangi inauzwa buku tu!
 
Wale watuhumiwa wa ufisadi na wizi wa mali za umma wengi wapo mitandaoni wanamshauri Mwanamziki Gozibeth asingechoma moto gari bali angewapa wahitaji au kulirejesha.

Kuna baadhi ya wanafiki wamekwenda kutafuta na kifungo cha maisha kwenye sheria kama adhabu wanayotamani apewe.

Baadhi wamekwenda mbali zaidi nakumtukana bila hata kumpa haki yakumsikiliza kutambua tatizo au maamuzi yake yametokana na nini.

Baadhi ya watu wa dini yake wamekwenda mbali sana na kumwacha Mungu na maelekezo yake kisha kujivika hukumu kwamba amelaaniwa. Nani kasema kuchoma magari ni laana? Kwenye biblia gani hii laana imeandikwa?

Mngetumia hii nguvu kupambana na rushwa na ufisadi wa mali za umma mngemsaidia mnyonge asome shule nzuri, tuwe na barabara, tuwe na madawa hospitalini nk.

Enyi mafisadi kataeni rushwa acheni kuwashambulia watu na maisha yao binafsi. Matajiri wangapi wamechoma nyumba na mali zao?

Wezi na mafisadi tulizeni mbongo zenu na mtafakari
Ukweli yule mchugaji Geordave ni bom.
 
Kweli... Serikali yenu inaruhusu biashara za kitapeli kama LBL na FIC hatupigi kelele kuizuia, watu wakitapeliwa wanaliaga sana na hakuna wa kuwasaidia sio vyombo vya Serikali wala hao waliowaalika kwenye hiyo michezo. Lakin kumsema vibaya kijana wa watu aaah. Vichwa mbelembele na watu wanaropoka tu wakati hawajui undani wake.
Kama yule msenge GODLOVE MWAKIBERITI ameropoka ujinga awali kumbe hata hajui kuwa gari inaweza badilishwa rangi.
Kuna madudu mengi yanayoendelea alafu watu wanashupalia yasiyowahusu.
 
Wale watuhumiwa wa ufisadi na wizi wa mali za umma wengi wapo mitandaoni wanamshauri Mwanamziki Gozibeth asingechoma moto gari bali angewapa wahitaji au kulirejesha.

Kuna baadhi ya wanafiki wamekwenda kutafuta na kifungo cha maisha kwenye sheria kama adhabu wanayotamani apewe.

Baadhi wamekwenda mbali zaidi nakumtukana bila hata kumpa haki yakumsikiliza kutambua tatizo au maamuzi yake yametokana na nini.

Baadhi ya watu wa dini yake wamekwenda mbali sana na kumwacha Mungu na maelekezo yake kisha kujivika hukumu kwamba amelaaniwa. Nani kasema kuchoma magari ni laana? Kwenye biblia gani hii laana imeandikwa?

Mngetumia hii nguvu kupambana na rushwa na ufisadi wa mali za umma mngemsaidia mnyonge asome shule nzuri, tuwe na barabara, tuwe na madawa hospitalini nk.

Enyi mafisadi kataeni rushwa acheni kuwashambulia watu na maisha yao binafsi. Matajiri wangapi wamechoma nyumba na mali zao?

Wezi na mafisadi tulizeni mbongo zenu na mtafakari
Nchi ngumu sana hii
 
Ngoja na mimi nikachome nyumba yangu nipate kiki

Wabongo walivyo wa ajabu ukichoma gari ni kiki ndogo. Ukichoma nyumba ni kiki ya kati. LAKINI UKICHOMA BANGI SASA. Wakati bangi inauzwa buku tu!
uibebe ukaichomee mbugani huko
maana majirani 🏃🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom