Watu 10 wenye mchango mkubwa sana katika nchi hii. Mtazamo wangu

Jebel

JF-Expert Member
Jul 10, 2021
363
2,366
1. MWALIMU JULIUS K NYERERE.
Huyu mtu kwa mtazamo wangu alikuwa na kitu cha ziada mbali na intelligence aliyokuwa nayo.

Just imagine kama asingekuwa huyu mwamba hadi sasa kuna makabila nchi hii yangekuwa ni kama colonial masters wakati makabila mengine yangekuwa marginalized yaani yangekuwa kama slaves ndani ya nchi yao.

Huwa najaribu kufikiria kama Mwalimu asingali EQUALIZE nchi hii kupitia NATIONALIZATION POLICY kuna makabila kwao shule ingekuwa bado ni hadithi na hata waliosoma kazi ingekuwa kitendawili wakati makabila mengine yangekuwa na Neema hata zaidi ya hali ilivyo kwa sasa.

Yapo mengi sana yanayonifanya nimuweke nafasi ya kwanza mtu huyu.
  • National integration kwa kuchukua msukuma kwenda kusomea kasulu, mubena kwenda mara, mjaluo kwenda ijuganyundo n.k
  • Protection of national resources
  • Economic foundations nyingi sana alizoanzisha
  • Misingi ya miradi mikubwa aliyoanzisha mfano; bwawa la umeme
2. BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Huyu mwamba sintaongea sana ila nitakuwekea baadhi tu mambo aliyoanzisha wakati wa utawala wake
  • TANROADS- 2000
  • TBA-2002
  • TRA- 1996
  • NACSAP
  • NSGRP
  • VAT-1998
  • PCCB-
  • TAA-1999
  • BRELA-1999
  • EWURA-2001
  • TCRA-2003
  • TNBC-2001
  • MKUKUTA-2005
  • MKURA-BITA- 2004
  • TASAF- 1996
  • TACAIDS-2001
  • NHIF -2001
  • PPRA- 2004
  • N.k N.k
  • Kuanzisha shule sekondari za tarafa na kata
  • Maji kutoka Mwanza-Shinyanga-Kahama-Tabora
Kwa kifupi hapa ndo unaweza kupata jibu la wapi JK Mrisho alipata pesa za kuajili kila mhitimu kwa kipindi chake chote.

3. RUGE MTAHABA
Najua wengi watashangaa sana kuona jina hili likiwa nafasi ya tatu, lakini ukizingatia mchango wa mapinduzi katika sanaa nchini Tanzania utakubaliana nami kwamba mchango wa mwamba huyu ni mkubwa sana. Imagine leo hii ukizungumzia mziki barani Africa, Tanzania lazima itajwe. Kabla ya mwamba huyu mtakumbuka jinsi mziki wa Congo ulivyotawala nchini mwetu. Ajira ambazo zimezalishwa kupitia mapinduzi ya sanaa yaliyochagizwa na mwamba huyu ni nyingi sana pia.

4. TUNDU ANTIPAS LISU NA ZITTO ZUBERI KABWE
Mchango wa miamba hii miwili katika kupigana dhidi ya ufisadi hasa katika utawala wa awamu ya 4 unanifanya niwaone wanafaa kukaa nafasi ya 4 katika orodha yangu. Lakini pia MCHANGO wao katika kuleta political awareness ni mkubwa sana. Hii miamba ilikuwa tayari hadi kutoa uhai wao kupigania ulinzi wa rasilimali za nchi yetu.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Mwaka 2021 wakati wa international exhibition maarufi kama EXPO2020 iliyofanyika Dubai(nilikuwepo huko wakati huo) kwa upande wa Tanzania walionyesha mambo haya;
  • Ujenzi wa SGR: MAGUFULI
  • Ujenzi wa Bwawa la Nyerere: MAGUFULI
  • Ujenzi wa kivuko cha Busisi: MAGUFULI
  • Mabasi ya mwendokasi: J K MRISHO
Kwa ufupi yote yaliyoonyeshwa ilikuwa ni legacy ya mwamba huyu. Lakini pia MCHANGO wake mkubwa katika kupigana dhidi ya ufisadi na utawala bora ni kigezo kilichonifanya nimweke nafasi ya 5 katika orodha yangu.

6. REGINALD MENGI na SAID SALIM BAKHRESA
Ukiachana na uzalendo wao na mchango wao mkubwa sana katika uchumi wa nchi hii, watu hawa MCHANGO wao mkubwa katika sekta ya habari ni zaidi ya imagination. Vituo vyao vya radio na television ambavyo vimeanzishwa na miamba hii umekuwa ni chachu kubwa kukuza sekta ya habari, mawasiliano, biashara, michezo na kuzalisha ajira nyingi sana.

7. MELO MAXENCE
Huyu mwamba binafsi namwita Mark Zuckerberg wa Tanzania. Mchango wake katika sekta ya habari, siasa na ULINZI wa taarifa binafsi za watumiaji wa mitandao ni juu ya fikra ya kawaida. Walio wengi bado hawajajua Umuhimu wa ulinzi wa taarifa binafsi na mwamba huyu anajitahidi sana kutoa elimu kupitia mitandao na vyombo vya habari. Binafsi namweka nafasi ya 7 katika orodha yangu.
8. Dr. HUBERT KAIRUKI
Mchango wake katika sekta ya afya, mapinduzi katika sekta ya afya ni jambo ambalo linamfanya anishawishi kumweka nafasi ya 8 katika orodha hii. Ukiachilia utalaam wake lakini pia amezalisha professional doctors wengi sana ambao wameokoa maisha ya watu wengi nchini mwetu.
9.
10.

Wakati mwingine nitakuja na hizi nafasi tatu.
 
1. MWALIMU JULIUS K NYERERE.
Huyu mtu kwa mtazamo wangu alikuwa na kitu cha ziada mbali na intelligence aliyokuwa nayo.

Just imagine kama asingekuwa huyu mwamba hadi sasa kuna makabila nchi hii yangekuwa ni kama colonial masters wakati makabila mengine yangekuwa marginalized yaani yangekuwa kama slaves ndani ya nchi yao.

Huwa najaribu kufikiria kama Mwalimu asingali EQUALIZE nchi hii kupitia NATIONALIZATION POLICY kuna makabila kwao shule ingekuwa bado ni hadithi na hata waliosoma kazi ingekuwa kitendawili wakati makabila mengine yangekuwa na Neema hata zaidi ya hali ilivyo kwa sasa.

Yapo mengi sana yanayonifanya nimuweke nafasi ya kwanza mtu huyu.
  • National integration kwa kuchukua msukuma kwenda kusomea kasulu, mubena kwenda mara, mjaluo kwenda ijuganyundo n.k
  • Protection of national resources
  • Economic foundations nyingi sana alizoanzisha
  • Misingi ya miradi mikubwa aliyoanzisha mfano; bwawa la umeme
2. BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Huyu mwamba sintaongea sana ila nitakuwekea baadhi tu mambo aliyoanzisha wakati wa utawala wake
  • TANROADS- 2000
  • TBA-2002
  • TRA- 1996
  • NACSAP
  • NSGRP
  • VAT-1998
  • PCCB-
  • TAA-1999
  • BRELA-1999
  • EWURA-2001
  • TCRA-2003
  • TNBC-2001
  • MKUKUTA-2005
  • MKURA-BITA- 2004
  • TASAF- 1996
  • TACAIDS-2001
  • NHIF -2001
  • PPRA- 2004
  • N.k N.k
  • Kuanzisha shule sekondari za tarafa na kata
  • Maji kutoka Mwanza-Shinyanga-Kahama-Tabora
Kwa kifupi hapa ndo unaweza kupata jibu la wapi JK Mrisho alipata pesa za kuajili kila mhitimu kwa kipindi chake chote.

3. RUGE MTAHABA
Najua wengi watashangaa sana kuona jina hili likiwa nafasi ya tatu, lakini ukizingatia mchango wa mapinduzi katika sanaa nchini Tanzania utakubaliana nami kwamba mchango wa mwamba huyu ni mkubwa sana. Imagine leo hii ukizungumzia mziki barani Africa, Tanzania lazima itajwe. Kabla ya mwamba huyu mtakumbuka jinsi mziki wa Congo ulivyotawala nchini mwetu. Ajira ambazo zimezalishwa kupitia mapinduzi ya sanaa yaliyochagizwa na mwamba huyu ni nyingi sana pia.

4. TUNDU ANTIPAS LISU NA ZITTO ZUBERI KABWE
Mchango wa miamba hii miwili katika kupigana dhidi ya ufisadi hasa katika utawala wa awamu ya 4 unanifanya niwaone wanafaa kukaa nafasi ya 4 katika orodha yangu. Lakini pia MCHANGO wao katika kuleta political awareness ni mkubwa sana. Hii miamba ilikuwa tayari hadi kutoa uhai wao kupigania ulinzi wa rasilimali za nchi yetu.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Mwaka 2021 wakati wa international exhibition maarufi kama EXPO2020 iliyofanyika Dubai(nilikuwepo huko wakati huo) kwa upande wa Tanzania walionyesha mambo haya;
  • Ujenzi wa SGR: MAGUFULI
  • Ujenzi wa Bwawa la Nyerere: MAGUFULI
  • Ujenzi wa kivuko cha Busisi: MAGUFULI
  • Mabasi ya mwendokasi: MAGUFULI
Kwa ufupi yote yaliyoonyeshwa ilikuwa ni legacy ya mwamba huyu. Lakini pia MCHANGO wake mkubwa katika kupigana dhidi ya ufisadi na utawala bora ni kigezo kilichonifanya nimweke nafasi ya 5 katika orodha yangu.

6. REGINALD MENGI na SAID SALIM BAKHRESA
Ukiachana na uzalendo wao na mchango wao mkubwa sana katika uchumi wa nchi hii, watu hawa MCHANGO wao mkubwa katika sekta ya habari ni zaidi ya imagination. Vituo vyao vya radio na television ambavyo vimeanzishwa na miamba hii umekuwa ni chachu kubwa kukuza sekta ya habari, mawasiliano, biashara, michezo na kuzalisha ajira nyingi sana.

7. MELO MAXENCE
Huyu mwamba binafsi namwita Mark Zuckerberg wa Tanzania. Mchango wake katika sekta ya habari, siasa na ULINZI wa taarifa binafsi za watumiaji wa mitandao ni juu ya fikra ya kawaida. Walio wengi bado hawajajua Umuhimu wa ulinzi wa taarifa binafsi na mwamba huyu anajitahidi sana kutoa elimu kupitia mitandao na vyombo vya habari. Binafsi namweka nafasi ya 7 katika orodha yangu.
8.
9.
10.

Wakati mwingine nitakuja na hizi nafasi tatu.
Well. Nakubaliana na mtazamo wako
 
1. MWALIMU JULIUS K NYERERE.
Huyu mtu kwa mtazamo wangu alikuwa na kitu cha ziada mbali na intelligence aliyokuwa nayo.

Just imagine kama asingekuwa huyu mwamba hadi sasa kuna makabila nchi hii yangekuwa ni kama colonial masters wakati makabila mengine yangekuwa marginalized yaani yangekuwa kama slaves ndani ya nchi yao.

Huwa najaribu kufikiria kama Mwalimu asingali EQUALIZE nchi hii kupitia NATIONALIZATION POLICY kuna makabila kwao shule ingekuwa bado ni hadithi na hata waliosoma kazi ingekuwa kitendawili wakati makabila mengine yangekuwa na Neema hata zaidi ya hali ilivyo kwa sasa.

Yapo mengi sana yanayonifanya nimuweke nafasi ya kwanza mtu huyu.
  • National integration kwa kuchukua msukuma kwenda kusomea kasulu, mubena kwenda mara, mjaluo kwenda ijuganyundo n.k
  • Protection of national resources
  • Economic foundations nyingi sana alizoanzisha
  • Misingi ya miradi mikubwa aliyoanzisha mfano; bwawa la umeme
2. BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Huyu mwamba sintaongea sana ila nitakuwekea baadhi tu mambo aliyoanzisha wakati wa utawala wake
  • TANROADS- 2000
  • TBA-2002
  • TRA- 1996
  • NACSAP
  • NSGRP
  • VAT-1998
  • PCCB-
  • TAA-1999
  • BRELA-1999
  • EWURA-2001
  • TCRA-2003
  • TNBC-2001
  • MKUKUTA-2005
  • MKURA-BITA- 2004
  • TASAF- 1996
  • TACAIDS-2001
  • NHIF -2001
  • PPRA- 2004
  • N.k N.k
  • Kuanzisha shule sekondari za tarafa na kata
  • Maji kutoka Mwanza-Shinyanga-Kahama-Tabora
Kwa kifupi hapa ndo unaweza kupata jibu la wapi JK Mrisho alipata pesa za kuajili kila mhitimu kwa kipindi chake chote.

3. RUGE MTAHABA
Najua wengi watashangaa sana kuona jina hili likiwa nafasi ya tatu, lakini ukizingatia mchango wa mapinduzi katika sanaa nchini Tanzania utakubaliana nami kwamba mchango wa mwamba huyu ni mkubwa sana. Imagine leo hii ukizungumzia mziki barani Africa, Tanzania lazima itajwe. Kabla ya mwamba huyu mtakumbuka jinsi mziki wa Congo ulivyotawala nchini mwetu. Ajira ambazo zimezalishwa kupitia mapinduzi ya sanaa yaliyochagizwa na mwamba huyu ni nyingi sana pia.

4. TUNDU ANTIPAS LISU NA ZITTO ZUBERI KABWE
Mchango wa miamba hii miwili katika kupigana dhidi ya ufisadi hasa katika utawala wa awamu ya 4 unanifanya niwaone wanafaa kukaa nafasi ya 4 katika orodha yangu. Lakini pia MCHANGO wao katika kuleta political awareness ni mkubwa sana. Hii miamba ilikuwa tayari hadi kutoa uhai wao kupigania ulinzi wa rasilimali za nchi yetu.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Mwaka 2021 wakati wa international exhibition maarufi kama EXPO2020 iliyofanyika Dubai(nilikuwepo huko wakati huo) kwa upande wa Tanzania walionyesha mambo haya;
  • Ujenzi wa SGR: MAGUFULI
  • Ujenzi wa Bwawa la Nyerere: MAGUFULI
  • Ujenzi wa kivuko cha Busisi: MAGUFULI
  • Mabasi ya mwendokasi: MAGUFULI
Kwa ufupi yote yaliyoonyeshwa ilikuwa ni legacy ya mwamba huyu. Lakini pia MCHANGO wake mkubwa katika kupigana dhidi ya ufisadi na utawala bora ni kigezo kilichonifanya nimweke nafasi ya 5 katika orodha yangu.

6. REGINALD MENGI na SAID SALIM BAKHRESA
Ukiachana na uzalendo wao na mchango wao mkubwa sana katika uchumi wa nchi hii, watu hawa MCHANGO wao mkubwa katika sekta ya habari ni zaidi ya imagination. Vituo vyao vya radio na television ambavyo vimeanzishwa na miamba hii umekuwa ni chachu kubwa kukuza sekta ya habari, mawasiliano, biashara, michezo na kuzalisha ajira nyingi sana.

7. MELO MAXENCE
Huyu mwamba binafsi namwita Mark Zuckerberg wa Tanzania. Mchango wake katika sekta ya habari, siasa na ULINZI wa taarifa binafsi za watumiaji wa mitandao ni juu ya fikra ya kawaida. Walio wengi bado hawajajua Umuhimu wa ulinzi wa taarifa binafsi na mwamba huyu anajitahidi sana kutoa elimu kupitia mitandao na vyombo vya habari. Binafsi namweka nafasi ya 7 katika orodha yangu.
8.
9.
10.

Wakati mwingine nitakuja na hizi nafasi tatu.
Hapo namba 4 muongeze na Hayati Maalim Seif Sharrif Hamad (Mlingoti chuma, kamba chuma na benders pia chuma)
 
1. MWALIMU JULIUS K NYERERE.
Huyu mtu kwa mtazamo wangu alikuwa na kitu cha ziada mbali na intelligence aliyokuwa nayo.

Just imagine kama asingekuwa huyu mwamba hadi sasa kuna makabila nchi hii yangekuwa ni kama colonial masters wakati makabila mengine yangekuwa marginalized yaani yangekuwa kama slaves ndani ya nchi yao.

Huwa najaribu kufikiria kama Mwalimu asingali EQUALIZE nchi hii kupitia NATIONALIZATION POLICY kuna makabila kwao shule ingekuwa bado ni hadithi na hata waliosoma kazi ingekuwa kitendawili wakati makabila mengine yangekuwa na Neema hata zaidi ya hali ilivyo kwa sasa.

Yapo mengi sana yanayonifanya nimuweke nafasi ya kwanza mtu huyu.
  • National integration kwa kuchukua msukuma kwenda kusomea kasulu, mubena kwenda mara, mjaluo kwenda ijuganyundo n.k
  • Protection of national resources
  • Economic foundations nyingi sana alizoanzisha
  • Misingi ya miradi mikubwa aliyoanzisha mfano; bwawa la umeme
2. BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Huyu mwamba sintaongea sana ila nitakuwekea baadhi tu mambo aliyoanzisha wakati wa utawala wake
  • TANROADS- 2000
  • TBA-2002
  • TRA- 1996
  • NACSAP
  • NSGRP
  • VAT-1998
  • PCCB-
  • TAA-1999
  • BRELA-1999
  • EWURA-2001
  • TCRA-2003
  • TNBC-2001
  • MKUKUTA-2005
  • MKURA-BITA- 2004
  • TASAF- 1996
  • TACAIDS-2001
  • NHIF -2001
  • PPRA- 2004
  • N.k N.k
  • Kuanzisha shule sekondari za tarafa na kata
  • Maji kutoka Mwanza-Shinyanga-Kahama-Tabora
Kwa kifupi hapa ndo unaweza kupata jibu la wapi JK Mrisho alipata pesa za kuajili kila mhitimu kwa kipindi chake chote.

3. RUGE MTAHABA
Najua wengi watashangaa sana kuona jina hili likiwa nafasi ya tatu, lakini ukizingatia mchango wa mapinduzi katika sanaa nchini Tanzania utakubaliana nami kwamba mchango wa mwamba huyu ni mkubwa sana. Imagine leo hii ukizungumzia mziki barani Africa, Tanzania lazima itajwe. Kabla ya mwamba huyu mtakumbuka jinsi mziki wa Congo ulivyotawala nchini mwetu. Ajira ambazo zimezalishwa kupitia mapinduzi ya sanaa yaliyochagizwa na mwamba huyu ni nyingi sana pia.

4. TUNDU ANTIPAS LISU NA ZITTO ZUBERI KABWE
Mchango wa miamba hii miwili katika kupigana dhidi ya ufisadi hasa katika utawala wa awamu ya 4 unanifanya niwaone wanafaa kukaa nafasi ya 4 katika orodha yangu. Lakini pia MCHANGO wao katika kuleta political awareness ni mkubwa sana. Hii miamba ilikuwa tayari hadi kutoa uhai wao kupigania ulinzi wa rasilimali za nchi yetu.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Mwaka 2021 wakati wa international exhibition maarufi kama EXPO2020 iliyofanyika Dubai(nilikuwepo huko wakati huo) kwa upande wa Tanzania walionyesha mambo haya;
  • Ujenzi wa SGR: MAGUFULI
  • Ujenzi wa Bwawa la Nyerere: MAGUFULI
  • Ujenzi wa kivuko cha Busisi: MAGUFULI
  • Mabasi ya mwendokasi: MAGUFULI
Kwa ufupi yote yaliyoonyeshwa ilikuwa ni legacy ya mwamba huyu. Lakini pia MCHANGO wake mkubwa katika kupigana dhidi ya ufisadi na utawala bora ni kigezo kilichonifanya nimweke nafasi ya 5 katika orodha yangu.

6. REGINALD MENGI na SAID SALIM BAKHRESA
Ukiachana na uzalendo wao na mchango wao mkubwa sana katika uchumi wa nchi hii, watu hawa MCHANGO wao mkubwa katika sekta ya habari ni zaidi ya imagination. Vituo vyao vya radio na television ambavyo vimeanzishwa na miamba hii umekuwa ni chachu kubwa kukuza sekta ya habari, mawasiliano, biashara, michezo na kuzalisha ajira nyingi sana.

7. MELO MAXENCE
Huyu mwamba binafsi namwita Mark Zuckerberg wa Tanzania. Mchango wake katika sekta ya habari, siasa na ULINZI wa taarifa binafsi za watumiaji wa mitandao ni juu ya fikra ya kawaida. Walio wengi bado hawajajua Umuhimu wa ulinzi wa taarifa binafsi na mwamba huyu anajitahidi sana kutoa elimu kupitia mitandao na vyombo vya habari. Binafsi namweka nafasi ya 7 katika orodha yangu.
8.
9.
10.

Wakati mwingine nitakuja na hizi nafasi tatu.
Maji ya Mkapa na Kiwete yakomeshee Shinyanga.

Maji ya Kahama, Tabora, Igunga, Urambo na Sikonge na zilizobakia kuwa ni ndoto za kuyafikisha Dodoma yasogeze Kwa magufuli.

Miradi hii imeasisiwa na kukamilishwa tukiwa watu wazima.
 
1. MWALIMU JULIUS K NYERERE.
Huyu mtu kwa mtazamo wangu alikuwa na kitu cha ziada mbali na intelligence aliyokuwa nayo.

Just imagine kama asingekuwa huyu mwamba hadi sasa kuna makabila nchi hii yangekuwa ni kama colonial masters wakati makabila mengine yangekuwa marginalized yaani yangekuwa kama slaves ndani ya nchi yao.

Huwa najaribu kufikiria kama Mwalimu asingali EQUALIZE nchi hii kupitia NATIONALIZATION POLICY kuna makabila kwao shule ingekuwa bado ni hadithi na hata waliosoma kazi ingekuwa kitendawili wakati makabila mengine yangekuwa na Neema hata zaidi ya hali ilivyo kwa sasa.

Yapo mengi sana yanayonifanya nimuweke nafasi ya kwanza mtu huyu.
  • National integration kwa kuchukua msukuma kwenda kusomea kasulu, mubena kwenda mara, mjaluo kwenda ijuganyundo n.k
  • Protection of national resources
  • Economic foundations nyingi sana alizoanzisha
  • Misingi ya miradi mikubwa aliyoanzisha mfano; bwawa la umeme
2. BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Huyu mwamba sintaongea sana ila nitakuwekea baadhi tu mambo aliyoanzisha wakati wa utawala wake
  • TANROADS- 2000
  • TBA-2002
  • TRA- 1996
  • NACSAP
  • NSGRP
  • VAT-1998
  • PCCB-
  • TAA-1999
  • BRELA-1999
  • EWURA-2001
  • TCRA-2003
  • TNBC-2001
  • MKUKUTA-2005
  • MKURA-BITA- 2004
  • TASAF- 1996
  • TACAIDS-2001
  • NHIF -2001
  • PPRA- 2004
  • N.k N.k
  • Kuanzisha shule sekondari za tarafa na kata
  • Maji kutoka Mwanza-Shinyanga-Kahama-Tabora
Kwa kifupi hapa ndo unaweza kupata jibu la wapi JK Mrisho alipata pesa za kuajili kila mhitimu kwa kipindi chake chote.

3. RUGE MTAHABA
Najua wengi watashangaa sana kuona jina hili likiwa nafasi ya tatu, lakini ukizingatia mchango wa mapinduzi katika sanaa nchini Tanzania utakubaliana nami kwamba mchango wa mwamba huyu ni mkubwa sana. Imagine leo hii ukizungumzia mziki barani Africa, Tanzania lazima itajwe. Kabla ya mwamba huyu mtakumbuka jinsi mziki wa Congo ulivyotawala nchini mwetu. Ajira ambazo zimezalishwa kupitia mapinduzi ya sanaa yaliyochagizwa na mwamba huyu ni nyingi sana pia.

4. TUNDU ANTIPAS LISU NA ZITTO ZUBERI KABWE
Mchango wa miamba hii miwili katika kupigana dhidi ya ufisadi hasa katika utawala wa awamu ya 4 unanifanya niwaone wanafaa kukaa nafasi ya 4 katika orodha yangu. Lakini pia MCHANGO wao katika kuleta political awareness ni mkubwa sana. Hii miamba ilikuwa tayari hadi kutoa uhai wao kupigania ulinzi wa rasilimali za nchi yetu.

5. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Mwaka 2021 wakati wa international exhibition maarufi kama EXPO2020 iliyofanyika Dubai(nilikuwepo huko wakati huo) kwa upande wa Tanzania walionyesha mambo haya;
  • Ujenzi wa SGR: MAGUFULI
  • Ujenzi wa Bwawa la Nyerere: MAGUFULI
  • Ujenzi wa kivuko cha Busisi: MAGUFULI
  • Mabasi ya mwendokasi: MAGUFULI
Kwa ufupi yote yaliyoonyeshwa ilikuwa ni legacy ya mwamba huyu. Lakini pia MCHANGO wake mkubwa katika kupigana dhidi ya ufisadi na utawala bora ni kigezo kilichonifanya nimweke nafasi ya 5 katika orodha yangu.

6. REGINALD MENGI na SAID SALIM BAKHRESA
Ukiachana na uzalendo wao na mchango wao mkubwa sana katika uchumi wa nchi hii, watu hawa MCHANGO wao mkubwa katika sekta ya habari ni zaidi ya imagination. Vituo vyao vya radio na television ambavyo vimeanzishwa na miamba hii umekuwa ni chachu kubwa kukuza sekta ya habari, mawasiliano, biashara, michezo na kuzalisha ajira nyingi sana.

7. MELO MAXENCE
Huyu mwamba binafsi namwita Mark Zuckerberg wa Tanzania. Mchango wake katika sekta ya habari, siasa na ULINZI wa taarifa binafsi za watumiaji wa mitandao ni juu ya fikra ya kawaida. Walio wengi bado hawajajua Umuhimu wa ulinzi wa taarifa binafsi na mwamba huyu anajitahidi sana kutoa elimu kupitia mitandao na vyombo vya habari. Binafsi namweka nafasi ya 7 katika orodha yangu.
8.
9.
10.

Wakati mwingine nitakuja na hizi nafasi tatu.
Mwendokasi ni magu ama unamakusudi na JK
 
Back
Top Bottom