Habarini za mchana wana jamvi....
CDM inaonekana kukonga mioyo ya watanzania wengi ambao wamechoka na ufedhuri na dhuruma ya CCM. Hii ni dalili njema kwamba kumekaribia kupambazuka, tuendelee kumwomba sana Mungu wetu wa haki.
Simba wa nyika Tundu Lissu na Heche kila waungurumapo CCM inapagawa kinoma.
Time for change has come.
CDM inaonekana kukonga mioyo ya watanzania wengi ambao wamechoka na ufedhuri na dhuruma ya CCM. Hii ni dalili njema kwamba kumekaribia kupambazuka, tuendelee kumwomba sana Mungu wetu wa haki.
Simba wa nyika Tundu Lissu na Heche kila waungurumapo CCM inapagawa kinoma.
Time for change has come.